Lowassa: Polisi msitutafutie sababu bure
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimelaani hatua ya Jeshi la Polisi kuzuia kuagwa kwa mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo na leo kimepanga kufungua kesi katika Mahakama ya Kuu Kanda ya Ziwa jijini Mwanza, kutaka kupewa ufafanuzi wa suala hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo15 Sep
Ukweli elimu bure ya Lowassa huu hapa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Edo-15Sept2015.png)
Lowassa katika uzinduzi wake wa kampeni alitoa ahadi ya kutoa elimu bure kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu iwapo atachaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano-hali iliyozua ubishi kutoka kwa Chama Cha Mapinduzi.
Baadhi ya vigogo wa CCM wanadai ni ndoto kutoa elimu bure kwa kuzingatia hali...
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Lowassa: Mapato ya gesi yatasomesha wanafunzi bure
9 years ago
Vijimambo19 Sep
SERA YA LOWASSA ELIMU YA JUU BURE ‪#‎HAIWEZEKANI‬ KWA SASA
![](https://fbcdn-photos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpl1/v/t1.0-0/s526x395/12038345_611681675636375_2700435521837011316_n.jpg?oh=551b0a75a88c1b11dd091f93a19e82c8&oe=56A1A2B5&__gda__=1449801116_86d06f5e820c2afd18d8c1a6f4c9bc6c)
HOJA ya UKAWA: ELIMU Bure mpaka chuo kikuu! Tanzania ina Vyuo vikuu 54. Tusidanganyike kama Watoto wadogo haiwezekani hata kidogo!!TAFAKARI: tutathmini tu watu wa Shahada ya kwanza! Mwaka 2014/2015 TCU inatarajia kudahili wanafunzi 48, 000.Kwa mwanafunzi mmoja chuo kikuu fani ya Sayansi ya asili (Natural Science) kwa mwaka mmoja anahitaji kiasi kisichopungua Tshs 5,500, 000 (tuition fees, stationary, meal and accommodation, field, Equipments n. k).
Kwa mwaka huu 2014/2015 TCU kwa sayansi...
9 years ago
StarTV09 Oct
Lowassa asema hana shaka na elimu ya bure mpaka chuo kikuu.
Mgombea wa Urais kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA,anayewakilisha pia vyama vya siasa vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA Edward Lowasa, amesema hana shaka juu ya mpango wake wa kutoa elimu ya bure kuanzia gazi ya awali hadi chuo kikuu, kwakuwa rasilimali zilizopo nchini ninajitosheleza kuwahudumia wananchi.
Lowasa amewekea mkazo mpango wake huo katika mkutano wake wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Sinoni Mkoani Arusha, ambapo amesema ikiwa atachaguliwa kuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HIr13vdanzs/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo06 Oct
Polisi yaeleza sababu kifo cha Mtikila
![Mchungaji Christopher Mtikila](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2899050/highRes/1137706/-/maxw/600/-/ipk62u/-/Mtikilaa.jpg)
Mchungaji Mtikila alifariki dunia juzi alfajiri baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka Njombe kwenda Dar es Salaam, likiwa katika mwendo mkali, kuacha njia na kupinduka. Alirushwa nje kupitia kioo cha mbele kutokana na kutofunga mkanda.
Katika ajali...
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Hizi ni sababu dhaifu kwa Jeshi la Polisi
JESHI la Polisi nchini limefuta mikutano na maandamano ya vyama vya upinzani kuhusu mchakato wa Bunge Maalumu linaloendelea, kupitia umoja wao maarufu kama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Marufuku...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FVPeEemDNeY/VJLIp2m2ytI/AAAAAAAG4JE/xHuIvGbK-u8/s72-c/IMG_1612.jpg)
Just in: polisi wachunguza sababu ya kifo cha aisha madinda, mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho Kigamboni
![](http://3.bp.blogspot.com/-FVPeEemDNeY/VJLIp2m2ytI/AAAAAAAG4JE/xHuIvGbK-u8/s1600/IMG_1612.jpg)
9 years ago
Mtanzania23 Nov
Polisi wamtisha Lowassa
Na Frederick Katulanda, Mwanza
ALIYEKUWA mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa ameonekana kutishwa na nguvu kubwa inayotumiwa na polisi kudhibiti wafuasi wa chama hicho.
Lowassa amesema anashangazwa na jeshi hilo kumwaga askari wengi wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, marehemu Alphonce Mawazo.
Alikuwa akizungumza na waandishi wa habari mjini Mwanza jana.
Alisema kitendo cha polisi kudhibiti wafuasi wa...