Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa: Polisi msitutafutie sababu bure

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimelaani hatua ya Jeshi la Polisi kuzuia kuagwa kwa mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo na leo kimepanga kufungua kesi katika Mahakama ya Kuu Kanda ya Ziwa jijini Mwanza, kutaka kupewa ufafanuzi wa suala hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

Ukweli elimu bure ya Lowassa huu hapa.

Ahadi aliyoitoa mgombea urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), ya kutoa elimu ya Chuo Kikuu bure inaweza kugharimu Taifa kiasi cha Sh. trilioni 1.35($675millioni) kwa mwaka, Nipashe limebaini.

Lowassa katika uzinduzi wake wa kampeni alitoa ahadi ya kutoa elimu bure kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu iwapo atachaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano-hali iliyozua ubishi kutoka kwa Chama Cha Mapinduzi.

Baadhi ya vigogo wa CCM wanadai ni ndoto kutoa elimu bure kwa kuzingatia hali...

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Mapato ya gesi yatasomesha wanafunzi bure

Mgombea urais wa Chadema kwa mwavuli wa Ukawa, Edward Lowassa amesema akichaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano atatumia fedha itakayopatikana katika uzalishaji wa gesi kama sehemu ya kutekeleza ahadi ya elimu bure kuanzia shule ya msingi hadi Chuo Kikuu ambayo ipo katika ilani ya uchaguzi ya Ukawa, huku akisisitza, “Msiogope.”

 

9 years ago

Vijimambo

SERA YA LOWASSA ELIMU YA JUU BURE ‪#‎HAIWEZEKANI‬ KWA SASA


HOJA ya UKAWA: ELIMU Bure mpaka chuo kikuu! Tanzania ina Vyuo vikuu 54. Tusidanganyike kama Watoto wadogo haiwezekani hata kidogo!!TAFAKARI: tutathmini tu watu wa Shahada ya kwanza! Mwaka 2014/2015 TCU inatarajia kudahili wanafunzi 48, 000.Kwa mwanafunzi mmoja chuo kikuu fani ya Sayansi ya asili (Natural Science) kwa mwaka mmoja anahitaji kiasi kisichopungua Tshs 5,500, 000 (tuition fees, stationary, meal and accommodation, field, Equipments n. k).
Kwa mwaka huu 2014/2015 TCU kwa sayansi...

 

9 years ago

StarTV

Lowassa asema hana shaka na elimu ya bure mpaka chuo kikuu.

Mgombea wa Urais kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA,anayewakilisha pia vyama vya siasa vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA Edward Lowasa, amesema hana shaka juu ya mpango wake wa kutoa elimu ya bure kuanzia gazi ya awali hadi chuo kikuu, kwakuwa rasilimali zilizopo nchini ninajitosheleza kuwahudumia wananchi.

Lowasa amewekea mkazo mpango wake huo katika mkutano wake wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Sinoni Mkoani Arusha, ambapo amesema ikiwa atachaguliwa kuwa...

 

9 years ago

Vijimambo

Polisi yaeleza sababu kifo cha Mtikila

  Mchungaji Christopher MtikilaKibaha/Dar. Polisi mkoani Pwani, imeweka bayana sababu za kitaalamu za kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa DP, Mchungaji Christopher Mtikila ikisema alivunjika mbavu nane upande wa kushoto, damu kuingia kwenye mfumo wa hewa na kushindwa kupumua.

Mchungaji Mtikila alifariki dunia juzi alfajiri baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka Njombe kwenda Dar es Salaam, likiwa katika mwendo mkali, kuacha njia na kupinduka. Alirushwa nje kupitia kioo cha mbele kutokana na kutofunga mkanda.

Katika ajali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hizi ni sababu dhaifu kwa Jeshi la Polisi

JESHI la Polisi nchini limefuta mikutano na maandamano ya vyama vya upinzani kuhusu mchakato wa Bunge Maalumu linaloendelea, kupitia umoja wao maarufu kama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Marufuku...

 

10 years ago

Michuzi

Just in: polisi wachunguza sababu ya kifo cha aisha madinda, mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho Kigamboni

Jeshi la Polisi leo limezuia mazishi ya aliyekuwa mnenguaji nguli wa bendi Aisha Mohammed Mbegu (Aisha Madinda) ili kujua mimi kilichosababisha kifo chake. Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya The African Stars Entertainment (ASET) Bi. Asha Baraka amethibitisha hilo na kusema  kwamba mwili ndiyo ulikua unapelekwa Muhimbili kwa ajili ya uchunguzi. “Mjomba wa marehemu amejaribu kuwaomba sana Polisi waache kuuchunguza mwili wa Aisha kwani wamemshukuru Mungu kwa yote lakini wamekataa hivyo hadi...

 

9 years ago

Mtanzania

Polisi wamtisha Lowassa

Pg 2Na Frederick Katulanda, Mwanza

ALIYEKUWA mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa ameonekana kutishwa na nguvu kubwa inayotumiwa na   polisi kudhibiti wafuasi wa chama hicho.

Lowassa  amesema anashangazwa na jeshi hilo kumwaga askari wengi wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, marehemu Alphonce Mawazo.

Alikuwa akizungumza na waandishi wa habari mjini Mwanza jana.

Alisema kitendo cha polisi  kudhibiti wafuasi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani