Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi wamtisha Lowassa

Pg 2Na Frederick Katulanda, Mwanza

ALIYEKUWA mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa ameonekana kutishwa na nguvu kubwa inayotumiwa na   polisi kudhibiti wafuasi wa chama hicho.

Lowassa  amesema anashangazwa na jeshi hilo kumwaga askari wengi wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, marehemu Alphonce Mawazo.

Alikuwa akizungumza na waandishi wa habari mjini Mwanza jana.

Alisema kitendo cha polisi  kudhibiti wafuasi wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Utitiri wa wasanii wamtisha Madee

KIONGOZI wa kundi la Tip Top Connection lenye maskani yake Manzese jijini Dar es Salaam, Ahmad Ally ‘Madee’, amesema muziki wa sasa ni mgumu kutokana na utitiri wa wasanii, hivyo...

 

10 years ago

Mtanzania

Wafugaji wamtisha Rais Kikwete

wafugajiNa Debora Sanja, Dodoma

WAFUGAJI wa Kanda ya Magharibi, wanakusudia kufanya maandamano kwenda Ikulu kwa ajili ya kudai haki yao iwapo Rais Jakaya Kikwete hataitoa kwa umma ripoti ya uchunguzi wa Operesheni Tokomeza.

Wamesema katika kuidai ripoti hiyo ya Tume ya Kijaji, pia watafunga minada yote ya mifugo ya Kanda ya Magharibi inayoundwa na mikoa ya Kigoma, Tabora, Katavi na Rukwa.

Kusudio hilo la kufanya maandamano lilitangazwa jana mjini Dodoma mbele ya waandishi wa habari na Katibu wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi wamtisha Chris Ramsey

Meneja wa timu ya QPR Chris Ramsey amesema asili yake ya rangi nyeusi itampa wakati mgumu kupata kazi

 

9 years ago

Mwananchi

Ukali wa Van Gaal wamtisha Pedro kutua Manchester Utd

Ndoto za Manchester United kumsajili winga Pedro aliyeichagua Chelsea zinasemekana kuwa ziliyeyushwa na ukali wa kocha Louis Van Gaal.

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi yazuia msafara wa Lowassa

Jeshi la Polisi, jana liliuzuia msafara wa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa kwenda Usangi, wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro kushiriki mazishi ya kada wa CCM, Peter Kisumo, likitaka kupunguzwa kwa idadi ya watu.

 

9 years ago

Mtanzania

Polisi wamzuia Lowassa kuzika

MMGL0471Na Waandishi Wetu

MGOMBEA urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amepata kashikashi baada ya polisi kumzuia kumzika mwasisi wa Chama cha TANU na CCM, Peter Kisumo, kwa madai kuwa wamepata maagizo kutoka juu.

Msafara wa Lowassa ulioanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), ulikutana na kizuizi cha polisi katika Kijiji cha Maroro, kilomita moja kutoka Mwanga kuelekea Ugweno, ambako Kisumo alizikwa...

 

9 years ago

GPL

LOWASSA ADHIBITIWA NA POLISI MSIBANI

Na Mwandishi Wetu, Moshi Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa jana alidhibitiwa na polisi wakati alipokuwa akienda kwenye msiba wa marehemu Peter Kisumo ambaye alizikwa jana katika Kijiji cha Kighare mkoani Kilimanjaro. Lowassa na msafara wake akiwa na viongozi wa kisiasa akiwemo Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi James Mbatia, mbunge aliyemaliza muda wake wa Jimbo la Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo, ulizuiliwa na polisi baada ya...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Polisi: Lowassa mwiko mitaani

Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA, Edward Lowassa akishuka kwenye daladala katika viunga vya Dar es Salaam, katika kujifunza shida na changamoto za maisha wanazokumbana nazo wananchi wa mji wa Dar es Salaam pia, ni sehemu […]

The post Polisi: Lowassa mwiko mitaani appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

CHADEMA Blog

Lowassa awapa masharti magumu polisi

ALIYEKUWA mgombea Urais wa Chadema, Edward lowassa, amelitaka jeshi la Polisi nchini kuwachukulia hatua wale wote wanadaiwa kumuua, aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo na kwamba kama hawatafanya hivyo, watachukua hatua wao wenyewe.Anaandika Moses Mseti, Mwanza … (endelea). Kauli hiyo ameitoa ikiwa ni siku mbili sasa tangu Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, kutoa hukumu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani