Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LOWASSA ADHIBITIWA NA POLISI MSIBANI

Na Mwandishi Wetu, Moshi Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa jana alidhibitiwa na polisi wakati alipokuwa akienda kwenye msiba wa marehemu Peter Kisumo ambaye alizikwa jana katika Kijiji cha Kighare mkoani Kilimanjaro. Lowassa na msafara wake akiwa na viongozi wa kisiasa akiwemo Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi James Mbatia, mbunge aliyemaliza muda wake wa Jimbo la Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo, ulizuiliwa na polisi baada ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Polisi: Lowassa alisusa kwenda msibani

POLISI mkoani Kilimanjaro imekanusha madai ya kumzuia mgombea urais anayeungwa mkono na vyama vinne vya upinzani vinavyounda kundi la Ukawa, Edward Lowassa, asihudhurie maziko ya mwanasiasa mkongwe, Peter Kisumo yaliyokuwa yakifanyika wilayani Mwanga.

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi adaiwa kuomba ‘mafuta’ msibani

>Askari polisi mmoja wa Kituo cha Polisi cha Nyakarilo, wilayani Sengerema, anatuhumiwa kuomba fedha za mafuta kutoka kwa familia ya mwanamke aliyejinyonga.

 

10 years ago

GPL

MSIBANI WA MTOTO ALIYEFIA KITUO CHA POLISI

Ndugu na jamaa wakiomboleza msiba wa mtoto huyo. KAMERA ya Gpl imefanikiwa kunasa picha za matukio ya msiba wa mtoto aliyefia katika Kituo cha Polisi, Mbezi kwa Msuguri, jijini Dar es Salaam.Kujua mengi tembelea www.globaltvtz.com (Habari/Picha: Gabriel Ng’osha na Denis…

 

9 years ago

Mtanzania

Polisi wamtisha Lowassa

Pg 2Na Frederick Katulanda, Mwanza

ALIYEKUWA mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa ameonekana kutishwa na nguvu kubwa inayotumiwa na   polisi kudhibiti wafuasi wa chama hicho.

Lowassa  amesema anashangazwa na jeshi hilo kumwaga askari wengi wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, marehemu Alphonce Mawazo.

Alikuwa akizungumza na waandishi wa habari mjini Mwanza jana.

Alisema kitendo cha polisi  kudhibiti wafuasi wa...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Polisi: Lowassa mwiko mitaani

Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA, Edward Lowassa akishuka kwenye daladala katika viunga vya Dar es Salaam, katika kujifunza shida na changamoto za maisha wanazokumbana nazo wananchi wa mji wa Dar es Salaam pia, ni sehemu […]

The post Polisi: Lowassa mwiko mitaani appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi yazuia msafara wa Lowassa

Jeshi la Polisi, jana liliuzuia msafara wa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa kwenda Usangi, wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro kushiriki mazishi ya kada wa CCM, Peter Kisumo, likitaka kupunguzwa kwa idadi ya watu.

 

9 years ago

Mtanzania

Polisi wamzuia Lowassa kuzika

MMGL0471Na Waandishi Wetu

MGOMBEA urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amepata kashikashi baada ya polisi kumzuia kumzika mwasisi wa Chama cha TANU na CCM, Peter Kisumo, kwa madai kuwa wamepata maagizo kutoka juu.

Msafara wa Lowassa ulioanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), ulikutana na kizuizi cha polisi katika Kijiji cha Maroro, kilomita moja kutoka Mwanga kuelekea Ugweno, ambako Kisumo alizikwa...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Lowassa atishia kuwaburuza Polisi ICC.

Mgombea wa urais kupitia Chadema, Edward Lowassa. NA JACQUELINE MASSANO 22nd October 2015 Mgombea wa urais kupitia Chadema, Edward Lowassa, jana alihitimisha kampeni zake mkoani hapa huku akiwatahadharisha vigogo wa Jeshi la Polisi kuwa waache ubabe […]

The post Lowassa atishia kuwaburuza Polisi ICC. appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Polisi wapiga marufuku maandamano ya Lowassa:

Polisi Dar yapiga marufuku ziaza za ‘mitaani’ za wagombea Urais: Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limepiga marufuku wagombea Urais wa Tanzania 2015 kufanya mikusanyiko isiyokuwa rasmi kutembelea vituo vya daladala, bodaboda au […]

The post Polisi wapiga marufuku maandamano ya Lowassa: appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani