Lowassa atishia kuwaburuza Polisi ICC.
Mgombea wa urais kupitia Chadema, Edward Lowassa. NA JACQUELINE MASSANO 22nd October 2015 Mgombea wa urais kupitia Chadema, Edward Lowassa, jana alihitimisha kampeni zake mkoani hapa huku akiwatahadharisha vigogo wa Jeshi la Polisi kuwa waache ubabe […]
The post Lowassa atishia kuwaburuza Polisi ICC. appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi14 Jan
BREAKING NYUZZZZ...: TAKUKURU YAANZA KUWABURUZA WASHTAKIWA WA ESCROW MAHAKAMANI
Katika kesi ya kwanza, aliyekuwa Mwanasheria wa Mamlaka ya Vizazi na Vifo (Rita) Mujunangoma ambaye kwa sasa ni Mkurugenzi wa Sheria Wizara Ardhi, Nyumba Maendeleo ya Makazi, alisomewa mashitaka yake mbele ya...
9 years ago
Mtanzania23 Nov
Polisi wamtisha Lowassa
Na Frederick Katulanda, Mwanza
ALIYEKUWA mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa ameonekana kutishwa na nguvu kubwa inayotumiwa na polisi kudhibiti wafuasi wa chama hicho.
Lowassa amesema anashangazwa na jeshi hilo kumwaga askari wengi wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, marehemu Alphonce Mawazo.
Alikuwa akizungumza na waandishi wa habari mjini Mwanza jana.
Alisema kitendo cha polisi kudhibiti wafuasi wa...
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
ICC:''Yebei aliwahonga mashahidi ICC''
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/LOWASSA11.jpg)
LOWASSA ADHIBITIWA NA POLISI MSIBANI
9 years ago
Mzalendo Zanzibar26 Aug
Polisi: Lowassa mwiko mitaani
Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA, Edward Lowassa akishuka kwenye daladala katika viunga vya Dar es Salaam, katika kujifunza shida na changamoto za maisha wanazokumbana nazo wananchi wa mji wa Dar es Salaam pia, ni sehemu […]
The post Polisi: Lowassa mwiko mitaani appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mtanzania14 Aug
Polisi wamzuia Lowassa kuzika
Na Waandishi Wetu
MGOMBEA urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amepata kashikashi baada ya polisi kumzuia kumzika mwasisi wa Chama cha TANU na CCM, Peter Kisumo, kwa madai kuwa wamepata maagizo kutoka juu.
Msafara wa Lowassa ulioanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), ulikutana na kizuizi cha polisi katika Kijiji cha Maroro, kilomita moja kutoka Mwanga kuelekea Ugweno, ambako Kisumo alizikwa...
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Polisi yazuia msafara wa Lowassa
9 years ago
Mtanzania27 Oct
Lowassa alalamika kuchezewa rafu na polisi
SHABANI MATUTU NA MAULI MUYENJWA
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amelalamikia rafu alizodai kuchezewa na Jeshi la Polisi kwa nia ya kukibeba Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Malalamiko hayo ameyatoa jana, jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.
Kwa mujibu wa Lowassa, Jeshi la Polisi limewakamata vijana 192 wa chama hicho waliokuwa wakifanya kazi ya kupokea na kujumlisha matokeo ya nchi nzima.
Baada ya vijana hao kukamatwa...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ZDG0L6A9ULY/Vfvii7o-iSI/AAAAAAAA1aU/FiVAnO4K-x0/s72-c/mke%2Bwa%2Blowassa.jpg)
Polisi yazuia mkutano wa mama Lowassa
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZDG0L6A9ULY/Vfvii7o-iSI/AAAAAAAA1aU/FiVAnO4K-x0/s640/mke%2Bwa%2Blowassa.jpg)
Mbali na kuzuiwa huko, pia wanawake sita kutoka vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), waliokuwa katika mchakato huo wa matembezi ya kuombea amani, walikamatwa kwa madai ya kufanya maandamano bila kibali cha polisi.
Tukio...