Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi: Lowassa alisusa kwenda msibani

POLISI mkoani Kilimanjaro imekanusha madai ya kumzuia mgombea urais anayeungwa mkono na vyama vinne vya upinzani vinavyounda kundi la Ukawa, Edward Lowassa, asihudhurie maziko ya mwanasiasa mkongwe, Peter Kisumo yaliyokuwa yakifanyika wilayani Mwanga.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

LOWASSA ADHIBITIWA NA POLISI MSIBANI

Na Mwandishi Wetu, Moshi Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa jana alidhibitiwa na polisi wakati alipokuwa akienda kwenye msiba wa marehemu Peter Kisumo ambaye alizikwa jana katika Kijiji cha Kighare mkoani Kilimanjaro. Lowassa na msafara wake akiwa na viongozi wa kisiasa akiwemo Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi James Mbatia, mbunge aliyemaliza muda wake wa Jimbo la Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo, ulizuiliwa na polisi baada ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi adaiwa kuomba ‘mafuta’ msibani

>Askari polisi mmoja wa Kituo cha Polisi cha Nyakarilo, wilayani Sengerema, anatuhumiwa kuomba fedha za mafuta kutoka kwa familia ya mwanamke aliyejinyonga.

 

10 years ago

GPL

MSIBANI WA MTOTO ALIYEFIA KITUO CHA POLISI

Ndugu na jamaa wakiomboleza msiba wa mtoto huyo. KAMERA ya Gpl imefanikiwa kunasa picha za matukio ya msiba wa mtoto aliyefia katika Kituo cha Polisi, Mbezi kwa Msuguri, jijini Dar es Salaam.Kujua mengi tembelea www.globaltvtz.com (Habari/Picha: Gabriel Ng’osha na Denis…

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema Sepetu Alisusa Gari Alilopewa na Diamond Platnumz

Stori: Musa Mateja

LILE ndinga aina ya Nissan Murano alilozawadiwa supastaa Wema Sepetu na aliyekuwa mchumba wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’, limeanza kumchefua mrembo huyo kiasi cha kulisusa.

Tukio hilo lilijidhihirisha wazi mbele ya paparazi wetu juzikati nyumbani kwa staa huyo, Kijitonyama jijini Dar, ambapo Wema alitamka hadharani kuwa kwa sasa analichukia kupita maelezo gari hilo alilozawadiwa na Diamond kwenye sherehe yake ya kuzaliwa.

“Bwana acha nitumie hili gari lingine kwenda...

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa kwenda NEC kupitia CUF

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kesho atachukua fomu za kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati msafara wake utakapoanzia ofisi za makao makuu ya CUF kuelekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na baadaye kwenda kumalizia makao makuu ya Chadema yaliyoko Kinondoni.

 

9 years ago

GPL

LOWASSA APANDA DALADALA KWENDA GONGO LA MBOTO, DAR

Mgombea urais kwa tiketi ya Ukawa Mh Edward Lowassa akiwa kwenye daladala kuangalia kero za wananchi maeneo ya Gongo la mboto kuelekea Chanika jijini Dar es Salaam leo. Akiongea na wananchi.…

 

10 years ago

GPL

KUNDUCHI WAANDAMANA KWENDA POLISI

Picha za waandamanaji wakielekea kituo cha polisi. KAMERA ya GPL imewashuhudia wakazi wa Kunduchi jijini Dar es Salaam, wakiandamana kuelekea vituo vya Polisi vya Wazo na Mtongani, baada ya kudai kuwa ndugu zao wamekamatwa wakiwa hawana makosa na kupelekwa kituoni. Wakizungumza na GPL baadhi ya waandamanaji walisema difenda tano za Polisi zilikwenda eneo hilo na kuanza kukamata watu ovyo kwa madai kuwa ni wahuni na wavuta...

 

10 years ago

Vijimambo

LOWASSA KWENDA UKAWA SAWA ILA WANASIASA SIYO WA KUWAAMINI!

Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Ngoyai Lowassa.
HAKUNA adui wala rafiki wa kudumu katika siasa. Huu ni msemo ulioasisiwa na mwanadiplomasia wa Israel, Avil Primor ambaye amepata kufanya kazi katika nchi mbalimbali duniani, ikiwemo ubalozi wa nchi yake nchini Ujerumani (1993-99) na katika Umoja wa Ulaya (1987-91).

Alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumzia urafiki kati ya nchi yake na Iran ulivyokuwa. Kabla ya mapinduzi ya nchi hiyo ya Kiarabu ambayo ni taifa la Kiislamu mwaka 1979 yaliyomuweka...

 

10 years ago

Dewji Blog

Bulembo ageukwa na wajumbe wake sakata la kwenda kwa Lowassa

Mjumbe wa Baraza la Wazazi, Taifa na Mbunge wa Korogwe, Steven Ngonyani ‘Prof .Maji Marefu’ akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma hii leo juu ya tuhuma za yeye kutajwa na mmoja wa wajumbe wa baraza hilo kuwa aliratibu na kulazimisha baadhi ya wajumbe wa baraza hilo kwenda kumuona Mbunge wa Munduli na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa.

Naye Mbunge wa Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani, alisema yeye alielezwa kuhusiana na safari hiyo na rafiki yake Vioroka Kajoko.

“Nimekuwa katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani