Polisi: Lowassa alisusa kwenda msibani
POLISI mkoani Kilimanjaro imekanusha madai ya kumzuia mgombea urais anayeungwa mkono na vyama vinne vya upinzani vinavyounda kundi la Ukawa, Edward Lowassa, asihudhurie maziko ya mwanasiasa mkongwe, Peter Kisumo yaliyokuwa yakifanyika wilayani Mwanga.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/LOWASSA11.jpg)
LOWASSA ADHIBITIWA NA POLISI MSIBANI
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Polisi adaiwa kuomba ‘mafuta’ msibani
10 years ago
GPLMSIBANI WA MTOTO ALIYEFIA KITUO CHA POLISI
10 years ago
Bongo Movies15 Dec
Wema Sepetu Alisusa Gari Alilopewa na Diamond Platnumz
Stori: Musa Mateja
LILE ndinga aina ya Nissan Murano alilozawadiwa supastaa Wema Sepetu na aliyekuwa mchumba wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’, limeanza kumchefua mrembo huyo kiasi cha kulisusa.
Tukio hilo lilijidhihirisha wazi mbele ya paparazi wetu juzikati nyumbani kwa staa huyo, Kijitonyama jijini Dar, ambapo Wema alitamka hadharani kuwa kwa sasa analichukia kupita maelezo gari hilo alilozawadiwa na Diamond kwenye sherehe yake ya kuzaliwa.
“Bwana acha nitumie hili gari lingine kwenda...
10 years ago
Mwananchi09 Aug
Lowassa kwenda NEC kupitia CUF
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/11221720_1245486758810207_348775349991625397_n.jpg)
LOWASSA APANDA DALADALA KWENDA GONGO LA MBOTO, DAR
10 years ago
GPLKUNDUCHI WAANDAMANA KWENDA POLISI
10 years ago
Vijimambo31 Jul
LOWASSA KWENDA UKAWA SAWA ILA WANASIASA SIYO WA KUWAAMINI!
![](http://api.ning.com/files/NQ48wH9Dt2S7tbojn0lFTm*KtRBJ9uPFs1OH-bfgRfm*SOSwlQsiIYEThvDWtpCrk9pkHdeefQH6SSt*v65UlZaiwwT41oMz/lowassaakizungumza.jpg?width=650)
HAKUNA adui wala rafiki wa kudumu katika siasa. Huu ni msemo ulioasisiwa na mwanadiplomasia wa Israel, Avil Primor ambaye amepata kufanya kazi katika nchi mbalimbali duniani, ikiwemo ubalozi wa nchi yake nchini Ujerumani (1993-99) na katika Umoja wa Ulaya (1987-91).
Alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumzia urafiki kati ya nchi yake na Iran ulivyokuwa. Kabla ya mapinduzi ya nchi hiyo ya Kiarabu ambayo ni taifa la Kiislamu mwaka 1979 yaliyomuweka...
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Bulembo ageukwa na wajumbe wake sakata la kwenda kwa Lowassa
![](http://3.bp.blogspot.com/-2eXGfPtE2EU/VRFVm_oo63I/AAAAAAAAcFc/BkPtsqCkNHI/s1600/1.jpg)
Mjumbe wa Baraza la Wazazi, Taifa na Mbunge wa Korogwe, Steven Ngonyani ‘Prof .Maji Marefu’ akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma hii leo juu ya tuhuma za yeye kutajwa na mmoja wa wajumbe wa baraza hilo kuwa aliratibu na kulazimisha baadhi ya wajumbe wa baraza hilo kwenda kumuona Mbunge wa Munduli na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa.
Naye Mbunge wa Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani, alisema yeye alielezwa kuhusiana na safari hiyo na rafiki yake Vioroka Kajoko.
“Nimekuwa katika...