Kampeni ya "Najiamini Naweza" Ya Mitandao Ya Jamii
![](http://1.bp.blogspot.com/-EjO6qaYQGxw/U8qzfoO3lII/AAAAAAAF3w4/4xZk-f1Nw40/s72-c/images+(1).jpg)
Napenda kukutambulisha juhudi yetu mpya inayoitwa “Najiamini Naweza” - ambayo ni matokeo ya ushirikiano kati ya Maanisha! Limited (http://www.maanisha.co.tz/) na Hivos Twaweza (http://www.twaweza.org/).
Kampeni hii imelenga kuonyesha harakati za kila siku za maisha ya Watanzania. Kampeni inahamasisha wananchi kutambua uwezo na wajibu walio nao katika kutafuta suluhu za kero/changamoto wanazokumbana nazo. Tunafahamu kwamba mabadiliko huanza na mtu mmoja na pia jinsi huyo mmoja anavyoweza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania10 Aug
Jamii yashauriwa kuzingatia matumizi salama ya mitandao
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
WATAALAMU wa mitandao wametoa wito kwa jamii juu ya matumizi salama ya mitandao ili kupunguza uhalifu katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa mawasiliano, mtaalamu wa usalama katika mitandao na uchunguzi wa makosa ya digitali, Yusuph Kileo, alisema matumizi mabaya ya mitandao yasipodhibitiwa yanaweza kuchangia kuyumba kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dgzwOEfqrCo/Uw4Tem5epyI/AAAAAAAAGxc/EAscPd8D0lE/s72-c/IMG-20140224-WA0008.jpg)
Mjadala kuhusu Mitandao ya kijamii kutoka Jamii Production
![](http://3.bp.blogspot.com/-dgzwOEfqrCo/Uw4Tem5epyI/AAAAAAAAGxc/EAscPd8D0lE/s1600/IMG-20140224-WA0008.jpg)
Mzee Emmanuel Muganda. Mtangazaji mkongwe aliyefanya kazi zaidi ya miaka 30 katika Idhaa za Sauti ya Amerika (VOA) na pia Denzel Musumba. Mmiliki wa Border Media Group ambaye kwa miaka mingi amekuwa akitangaza kupitia ...
9 years ago
Mwananchi19 Sep
Kampeni zatawala mitandao ya kijamii
10 years ago
Dewji Blog08 May
Tahadhari ya Tsunami inayosambazwa kwenye mitandao ya Jamii sio ya kweli
Tsunami.pdf by zainul_mzige21
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/AWFi-iAZInE/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Kampeni ya 2 Get Noted kujumuisha simu, mitandao ya kijamii na matangazo ya nje
Kwa kawaida matangazo ya nje vya habari huwa na muingiliano wenye kushika hatamu, kuunganisha, matokeo mazuri na ushawishi mkubwa. Hali kadhalika, matangazo ya nje yanapojumuishwa na teknolijia ya kidigitali, mitandao ya kijamii na simu za kiganjani hufanikisha wepesi wa maudhui kufikia wahusika wanapokuwa mbali na makazi yao kwa kuwa njia nyingine sio mbadala kufika huko. Samsung Electronics Tanzania ikishirikiana na Continental Outdoor Media Ltd wameanzisha kampeni madhubuti inayohusisha...
10 years ago
Bongo508 Jan
New Video: Nandy — Najiamini
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
NHIF kuendesha kampeni jamii kujiunga CHF
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) unatarajia kuendesha kampeni ya siku 60 nchini kuhamasisha jamii kujiunga na huduma za mfuko wa Afya ya Jamii (CHF/Tika). Kampeni hiyo ambayo...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9n1nSifpLSk/UxN56ZBSOAI/AAAAAAAALJE/kzR9e6v8Tmw/s72-c/1..jpg)
CHADEMA WAENDELEA NA KAMPENI KALENGA,WATEMBELEA JAMII YA WAMASAI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-9n1nSifpLSk/UxN56ZBSOAI/AAAAAAAALJE/kzR9e6v8Tmw/s1600/1..jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5g6tTZzPUbQ/UxN57Y-TJII/AAAAAAAALJQ/vcIn04Wx0ek/s1600/3.jpg)