Waimbaji wa ndani waomba kumsindikiza Bonny Mwaitege

IDADI kubwa ya waimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania wameonesha nia ya kumsindikiza mwenzao, Bonny Mwaitege anayetarajia kuzindua albamu yake Agosti 2 mwaka huu.
Uzinduzi huo unaotarajia kufanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam ambao utashirikisha albamu tatu za muimbaji huyo zinazoendelea kurekodiwa jijini Mwanza.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama hivi sasa utaratibu wa kurekodi albamu hizo unaendelea jijini Mwanza. Msama aliyezungumza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
Upendo Nkone kumsindikiza Bonny Mwaitege

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama Nkone amekuwa wa kwanza na ameonesha nia ya kumsindikiza Mwaitege kwa sababu ya ubora wa uzinduzi huo. “Uzinduzi wa Mwaitege utakuwa ni wa aina yake kwa sababu maandalizi yake kwa yamefanywa kwa ustadi mkubwa hasa...
10 years ago
Michuzi
UPENDO KILAHIRO KUMPIGA TAFU BONNY MWAITEGE

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama, Kilahiro ataungana na Kwaya ya Wakorintho wa pili ya Mufindi mkoani Iringa.Msama alisema Kwaya hiyo ni mojawapo ya watakaomsindikiza mwimbaji huyo kwa sababu hivi sasa...
10 years ago
Michuzi
kwaya ya kijitonyama kumpiga tafu Bonny mwaitege

10 years ago
Michuzi24 Jun
MAASKOFU WABARIKI UZINDUZI WA ALBAMU YA BONNY MWAITEGE

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama sababu za viongozi hao wa dini kutoa baraka kwa albamu hizo ni kutokana na umahiri wa muimbaji huyo.
Msama alisema amepokea baraka hizo kutoka kwa viongozi...
10 years ago
Michuzi
Danny Bulenge: Naweza kumsindikiza Mwaitege

10 years ago
GPL
ROSE MUHANDO, BONNY MWAITEGE NA GASTON SAPULA WATINGA OFISI ZA RADIO KASIBANTE
10 years ago
Michuzi
BONNY MWAITEGE KUZINDUA ALBAMU TATU KWA MPIGO AGOSTI 2 JIJINI DAR

Kwa mujibu wa Msama ambaye ni mdhamini wa uzinduzi huo, Maaskofu watafikisha ujumbe wa neno la Mungu kwa karibu zaidi baada ya waimbaji kumaliza kazi yao jukwaani.
Msama alisema uzinduzi huo unatarajia kusindikizwa na waimbaji mbalimbali wa...
10 years ago
VijimamboUZINDUZI WA ALBAMU TATU ZA MWAITEGE NI KESHO UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE, WAIMBAJI WATAKAO MSINDIKIZA WATAMBULISHWA