MAASKOFU WABARIKI UZINDUZI WA ALBAMU YA BONNY MWAITEGE
VIONGOZI wa dini wakiwemo Maaskofu na Wachungaji wa Makanisa mbalimbali hapa nchini wamebariki uzinduzi wa albamu tatu za mwimbaji mahiri wa muziki wa Injili hapa nchini Bonny Mwaitege, unaotarajia kufanyika Agosti 2 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama sababu za viongozi hao wa dini kutoa baraka kwa albamu hizo ni kutokana na umahiri wa muimbaji huyo.
Msama alisema amepokea baraka hizo kutoka kwa viongozi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PUR_CiKR8wE/VbXhrGut2OI/AAAAAAAC8_g/FFrUrK3xs70/s72-c/68408-2.jpg)
BONNY MWAITEGE KUZINDUA ALBAMU TATU KWA MPIGO AGOSTI 2 JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-PUR_CiKR8wE/VbXhrGut2OI/AAAAAAAC8_g/FFrUrK3xs70/s640/68408-2.jpg)
Kwa mujibu wa Msama ambaye ni mdhamini wa uzinduzi huo, Maaskofu watafikisha ujumbe wa neno la Mungu kwa karibu zaidi baada ya waimbaji kumaliza kazi yao jukwaani.
Msama alisema uzinduzi huo unatarajia kusindikizwa na waimbaji mbalimbali wa...
10 years ago
VijimamboUZINDUZI WA ALBAMU TATU ZA MWAITEGE NI KESHO UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE, WAIMBAJI WATAKAO MSINDIKIZA WATAMBULISHWA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2EJLpT64Zi8/VZVMD2UCcaI/AAAAAAAC8HE/I0XpW_yOf14/s72-c/Upendo%2BNkone.jpg)
Upendo Nkone kumsindikiza Bonny Mwaitege
![](http://1.bp.blogspot.com/-2EJLpT64Zi8/VZVMD2UCcaI/AAAAAAAC8HE/I0XpW_yOf14/s320/Upendo%2BNkone.jpg)
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama Nkone amekuwa wa kwanza na ameonesha nia ya kumsindikiza Mwaitege kwa sababu ya ubora wa uzinduzi huo. “Uzinduzi wa Mwaitege utakuwa ni wa aina yake kwa sababu maandalizi yake kwa yamefanywa kwa ustadi mkubwa hasa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-w8U2fm0AxWE/VYwiE1I-ANI/AAAAAAAC7b0/PcGZ9uZ6xVw/s72-c/10853650_783884661659685_182485499_o.jpg)
Waimbaji wa ndani waomba kumsindikiza Bonny Mwaitege
![](http://4.bp.blogspot.com/-w8U2fm0AxWE/VYwiE1I-ANI/AAAAAAAC7b0/PcGZ9uZ6xVw/s320/10853650_783884661659685_182485499_o.jpg)
Uzinduzi huo unaotarajia kufanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam ambao utashirikisha albamu tatu za muimbaji huyo zinazoendelea kurekodiwa jijini Mwanza.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama hivi sasa utaratibu wa kurekodi albamu hizo unaendelea jijini Mwanza. Msama aliyezungumza...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lQ-IMDAM97Q/VZ4vEqafLhI/AAAAAAAC8X4/IOMvZWQ_nOs/s72-c/upendo2.jpg)
UPENDO KILAHIRO KUMPIGA TAFU BONNY MWAITEGE
![](http://3.bp.blogspot.com/-lQ-IMDAM97Q/VZ4vEqafLhI/AAAAAAAC8X4/IOMvZWQ_nOs/s320/upendo2.jpg)
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama, Kilahiro ataungana na Kwaya ya Wakorintho wa pili ya Mufindi mkoani Iringa.Msama alisema Kwaya hiyo ni mojawapo ya watakaomsindikiza mwimbaji huyo kwa sababu hivi sasa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-g779p4aoLDQ/Va4svUc41OI/AAAAAAAC83Y/iprNC0KaCEg/s72-c/p.txt.jpg)
kwaya ya kijitonyama kumpiga tafu Bonny mwaitege
![](http://4.bp.blogspot.com/-g779p4aoLDQ/Va4svUc41OI/AAAAAAAC83Y/iprNC0KaCEg/s320/p.txt.jpg)
10 years ago
GPL![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-7PJ85noR32U%2FVIQaYXaSK9I%2FAAAAAAAAYdY%2F0UXMvsQJAr0%2Fs1600%2F10844541_783456441702507_707133171_o.jpg&container=blogger&gadget=a&rew)
ROSE MUHANDO, BONNY MWAITEGE NA GASTON SAPULA WATINGA OFISI ZA RADIO KASIBANTE
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Waliowaibua Makongorosi, Mwaitege waachia albamu
WAZALISHAJI muziki waliorekodi albamu za kwanza za Kwaya ya Makongorosi na Bony Mwaitege, wameungana na kuingia kazini wenyewe na kufyatua albamu yao inayokwenda kwa jina la ‘Siku za Mwisho’. Akizungumza...