Waliowaibua Makongorosi, Mwaitege waachia albamu
WAZALISHAJI muziki waliorekodi albamu za kwanza za Kwaya ya Makongorosi na Bony Mwaitege, wameungana na kuingia kazini wenyewe na kufyatua albamu yao inayokwenda kwa jina la ‘Siku za Mwisho’. Akizungumza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi24 Jun
MAASKOFU WABARIKI UZINDUZI WA ALBAMU YA BONNY MWAITEGE

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama sababu za viongozi hao wa dini kutoa baraka kwa albamu hizo ni kutokana na umahiri wa muimbaji huyo.
Msama alisema amepokea baraka hizo kutoka kwa viongozi...
10 years ago
Michuzi
BONNY MWAITEGE KUZINDUA ALBAMU TATU KWA MPIGO AGOSTI 2 JIJINI DAR

Kwa mujibu wa Msama ambaye ni mdhamini wa uzinduzi huo, Maaskofu watafikisha ujumbe wa neno la Mungu kwa karibu zaidi baada ya waimbaji kumaliza kazi yao jukwaani.
Msama alisema uzinduzi huo unatarajia kusindikizwa na waimbaji mbalimbali wa...
10 years ago
VijimamboUZINDUZI WA ALBAMU TATU ZA MWAITEGE NI KESHO UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE, WAIMBAJI WATAKAO MSINDIKIZA WATAMBULISHWA
10 years ago
Michuzi03 Aug
MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI BONNE MWAITEGE AZINDUA ALBAMU ZAKE TATU KWA MPIGO JIJINI DAR




11 years ago
BBCSwahili16 Oct
IS waachia maeneo muhimu Kobane
Wapiganaji wa Islamic State waachia baadhi ya maeneo muhimu katika mji wa Kobane nchini Syria.
10 years ago
Mwananchi12 Aug
Wenyeviti watatu CCM waachia ngazi
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (UVCCM), Manispaa ya Bukoba, Chifu Karumuna amebwaga manyanga na kujiunga na Chadema.
10 years ago
Habarileo22 Jan
Chenge na Ngeleja waachia vyeo bungeni
WENYEVITI wa Kamati za Kudumu za Bunge, waliopendekezwa kuwajibishwa na Bunge hilo katika sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow, wamejiuzulu nyadhifa zao.
11 years ago
Michuzi24 Jul
SKYLIGHT BAND WAACHIA KIBAO KIPYA "PASUA TWENDE"
Bendi Mahiri na Machachari Jijini Dar Skylight Band wametoa wimbo wao wa Tano ikiwa ni muendelezo wa kutoa nyimbo tofauti tofauti kupitia Studio yao ya kisasa ya Skylight Production.Akiongea na Mtandao huu Meneja wa Band hiyo Aneth Kushaba AK47 amesema wimbo huo unaitwa “Pasua Twende” ambo umetungwa na Mkurugenzi Mkuu wa bendi hiyo Dk. Sebastian Ndege akishirikiana na wanamuziki wa Bendi hiyo.Aneth akaongezea kwamba wimbo huo ni wa tano kutolewa katika mtiririko wa nyimbo zao zilizokwisha...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania