Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dar kuanza msako wahamiaji haramu

SERIKALI inakusudia kufanya operesheni maalumu ya kusaka wahamiaji haramu katika jiji la Dar es Salaam lengo likiwa kudhibiti matukio ya kihalifu yanayotajwa kuchangiwa na uwepo wa wahamiaji hao ambao wakati mwingine huingia na silaha.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Polisi wakamata wahamiaji haramu 105 Tabata Segerea Dar

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekamata Wahamiaji haramu wapatao 105  katika eneo la Tabata Segerea wilayani Ilala jijini Dar es Salaam baada ya kupata taarifa kutoka kwa wasamaria wema.

Polisi walizunguka nyumba hiyo tangu alfajiri na hatimaye kutumia utaratibu wa kisheria kuingia katika nyumba hiyo na kuipekua ndipo walipokutwa watu 105 wanaume na iligundulika kwamba wanatoka nchini Ethiopia.

 Kamishina wa Polisi Kanda Maalum, Suleiman Kova   amethibitisha kukamatwa kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

EU kupambana na wahamiaji haramu

EU imekubali kuunda kikosi cha wanamaji ili kupambana na wafanyabiashara wa binadamu kupitia bahari ya mediterania

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wahamiaji haramu 21 wakamatwa

IDARA ya Uhamiaji mkoani hapa, imewakamata wahamiaji haramu 21 kutoka nchi ya Ethiopia walioingia nchini kwa kutumia roli la kubebea saruji katika eneo Mashujaa mjini Makambako. Naibu Kamishna wa Idara...

 

11 years ago

Habarileo

JK aonya wahamiaji haramu

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete ameonya wahamiaji haramu wanaorejea nchini baada ya Operesheni Kimbunga kumalizika na kusema kama wanafanya hivyo, wanajisumbua, hawatadumu nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Msihifadhi wahamiaji haramu’

KIONGOZI wa mbio za mwenge wa uhuru, Rachel Kassanda, amewataka Watanzania kuacha tabia ya kuwahifadhi wahamiaji haramu, kwani kwa kufanya hivyo ni kuhatarisha amani na usalama wa nchi. Akizungumza baada...

 

10 years ago

Habarileo

Wakala wa wahamiaji haramu anaswa

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David MisimeMKAZI wa Mwanza aliyetambulika kwa jina la Sultan Said Ramadhani (31) maarufu kama Kusharunga, amekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kusafirisha wahamiaji haramu kutoka Ethiopia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaowaajiri wahamiaji haramu kuadhibiwa

Biashara zinazoowaajiri wahamiaji haramu zitachukuliwa hatua kali kulingana na waziri wa uhamiaji nchini Uingereza.

 

11 years ago

Mwananchi

Wahamiaji haramu 57 wakamatwa K’njaro

Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Kilimanjaro inawashikilia wahamiaji haramu 57 raia wa Ethiopia kwa tuhuma za kuingia nchini kinyume cha sheria.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wahamiaji haramu 69 wakamatwa Kilimanjaro

IDARA ya Uhamiaji mkoani Kilimanjaro inawashikilia raia 69 wa Ethiopia wanaodaiwa kuingia nchini kwa njia za panya katika wilaya za Mwanga na Moshi Vijijini. Akizungumza na TanzaniaDima jana, Ofisa Uhamijaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani