Polisi wakamata wahamiaji haramu 105 Tabata Segerea Dar
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekamata Wahamiaji haramu wapatao 105 katika eneo la Tabata Segerea wilayani Ilala jijini Dar es Salaam baada ya kupata taarifa kutoka kwa wasamaria wema.
Polisi walizunguka nyumba hiyo tangu alfajiri na hatimaye kutumia utaratibu wa kisheria kuingia katika nyumba hiyo na kuipekua ndipo walipokutwa watu 105 wanaume na iligundulika kwamba wanatoka nchini Ethiopia.
Kamishina wa Polisi Kanda Maalum, Suleiman Kova amethibitisha kukamatwa kwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4TUzVtCM4kM/Vlf7l-snhpI/AAAAAAAIIis/Us5237kddxw/s72-c/4%2B%25281%2529.jpg)
Wahamiaji haramu wakamatwa Tabata Segerea
![](http://1.bp.blogspot.com/-4TUzVtCM4kM/Vlf7l-snhpI/AAAAAAAIIis/Us5237kddxw/s400/4%2B%25281%2529.jpg)
Jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam limewakamata wahamiaji haramu 105 raia wa Ethiopia kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha sheria wakiwa wanasafirishwa kwenda nchi nyingine za Afrika.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaamu Kamishna Suleiman Kova amesema wahamiaji hao ambao wote ni wanaume wamekamatwa kutokana na ushirikiano wa wasamaria wema wanaoshi eneo hilo la Tabata Segerea.
Ameongeza...
10 years ago
GPLSAFARI YA MWISHO YA DCP MSTAAFU WA JESHI LA POLISI TANZANIA, TABATA SEGEREA
10 years ago
MichuziSafari ya Mwisho ya DCP Mstaafu wa jeshi la Polisi Tanzania , Mzee Andrew Michael Kumalilwa huko Tabata Segerea.
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Polisi watuhumiwa kuvusha wahamiaji haramu
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RypELKQJJoY/UxmecHoS_6I/AAAAAAAFRtA/ecw1_Y_y6mw/s72-c/IMG_7354.jpg)
WAHAMIAJI HARAMU 46 WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI MKOANI RINGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-RypELKQJJoY/UxmecHoS_6I/AAAAAAAFRtA/ecw1_Y_y6mw/s1600/IMG_7354.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zeQNTX7oMyM/UxmeguzECoI/AAAAAAAFRtI/YYOOsw3KvQc/s1600/IMG_7362.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VhR_gyHHfKg/Uxmeg4bwV2I/AAAAAAAFRtM/ZCRui4_lWd8/s1600/IMG_7370.jpg)
10 years ago
Habarileo13 May
Dar kuanza msako wahamiaji haramu
SERIKALI inakusudia kufanya operesheni maalumu ya kusaka wahamiaji haramu katika jiji la Dar es Salaam lengo likiwa kudhibiti matukio ya kihalifu yanayotajwa kuchangiwa na uwepo wa wahamiaji hao ambao wakati mwingine huingia na silaha.
11 years ago
Michuzi07 Mar
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AnTHWe3tBrU/UwR22MoDq6I/AAAAAAAFN7A/GpMOnlTBweQ/s72-c/unnamed+(59).jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LINAWASHIKILIA WAHAMIAJI HARAMU RAIA WA ETHIOPIA NA MALAWI KWA KOSA LA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-AnTHWe3tBrU/UwR22MoDq6I/AAAAAAAFN7A/GpMOnlTBweQ/s1600/unnamed+(59).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tcFTJYCeRdk/UwR22Y-BxWI/AAAAAAAFN7E/GLm9CGeJqto/s1600/unnamed+(60).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-x-qdOG-2Thw/UwR22WLwZLI/AAAAAAAFN7M/dBSmHZ3IvuI/s1600/unnamed+(61).jpg)
Habari na Sylvester Onesmo, picha
na Peter Simoni wa Jeshi la Polisi Dodoma. ---------------- Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linawashikilia watu wanne raia wa Ethiopia kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha sheria, watu hao walikamatwa kufuatia taarifa ya raia wema waliokuwa wakisafiri nao katika basi hilo. Kamanda wa Polisi...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Polisi Dar waua, wakamata majambazi
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewaua majambazi wawili na kuwakamata wanane katika harakati za kupambana na uhalifu wa kutumia silaha. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...