Safari ya Mwisho ya DCP Mstaafu wa jeshi la Polisi Tanzania , Mzee Andrew Michael Kumalilwa huko Tabata Segerea.
Baadhi ya Askari wa Jeshi la Polisi Tanzania wakitoa heshima mbele ya jeneza lililobeba Mwili wa Marehemu Mzee Andrew Michael Kumalilwa ambae alikuwa mstaafu wa jeshi la Polisi kwa ngazi ya DCP
Ndugu wa marehemu akijadiliana jambo na Mmoja wa Askari wa Jeshi la Polisi wakati wa Kutoa Heshima za mwisho kabla ya kwenda kuupumzisha mwili wa Mzee Andrew Kumalilwa ambae alizikwa nyumbani kwake Tabata Segerea tarehe 14 Februari 2015.
Mwakilishi kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani na Jeshi la Polisi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLSAFARI YA MWISHO YA DCP MSTAAFU WA JESHI LA POLISI TANZANIA, TABATA SEGEREA
10 years ago
VijimamboSafari ya Mwisho ya Mzee Andrew Michael Kumalilwa
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-QiFqeBjeCDM/VN35MB31KoI/AAAAAAAAeq0/XCOXA7t76pk/s72-c/IMG-20150213-WA0033.jpg)
TANGAZO LA MSIBA WA NDG ANDREW MICHAEL KUMALILWA (DCP MSTAAFU).
![](http://1.bp.blogspot.com/-QiFqeBjeCDM/VN35MB31KoI/AAAAAAAAeq0/XCOXA7t76pk/s1600/IMG-20150213-WA0033.jpg)
9 years ago
StarTV27 Nov
Polisi wakamata wahamiaji haramu 105 Tabata Segerea Dar
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekamata Wahamiaji haramu wapatao 105 katika eneo la Tabata Segerea wilayani Ilala jijini Dar es Salaam baada ya kupata taarifa kutoka kwa wasamaria wema.
Polisi walizunguka nyumba hiyo tangu alfajiri na hatimaye kutumia utaratibu wa kisheria kuingia katika nyumba hiyo na kuipekua ndipo walipokutwa watu 105 wanaume na iligundulika kwamba wanatoka nchini Ethiopia.
Kamishina wa Polisi Kanda Maalum, Suleiman Kova amethibitisha kukamatwa kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KVZh4Q2sHlI/Uvh3g5i7CiI/AAAAAAAFMBw/UiiGb6H5Sqs/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Mkuu wa jeshi la polisi mstaafu ashinda kwenye promosheni ya Airtel Tanzania Mimi ni Bingwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-KVZh4Q2sHlI/Uvh3g5i7CiI/AAAAAAAFMBw/UiiGb6H5Sqs/s1600/unnamed+(1).jpg)
---------------------------- MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP) mstaafu Mzee Philemon Nathaniel Mgaya anakila sababu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5Y36hMbSNo9XBnii83VxJVV*noDhWLF-2vlmodcY-2RQKLAZN2EbpoR35W9Uqhc9OH5YQHQUIU9JYeaXSXpPFY6mfFvdGrMQ/1Mshindi4.jpg?width=650)
MKUU WA JESHI LA POLISI MSTAAFU ASHINDA KWENYE PROMOSHENI YA AIRTEL TANZANIA MIMI NI BINGWA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e0d8fddpW1Y/Xq1RDZcZbYI/AAAAAAALo1Q/RXet2-3e9YYExqZbVWuaf2_P6BeA0N7FQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-02%2Bat%2B13.52.15.jpeg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4TUzVtCM4kM/Vlf7l-snhpI/AAAAAAAIIis/Us5237kddxw/s72-c/4%2B%25281%2529.jpg)
Wahamiaji haramu wakamatwa Tabata Segerea
![](http://1.bp.blogspot.com/-4TUzVtCM4kM/Vlf7l-snhpI/AAAAAAAIIis/Us5237kddxw/s400/4%2B%25281%2529.jpg)
Jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam limewakamata wahamiaji haramu 105 raia wa Ethiopia kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha sheria wakiwa wanasafirishwa kwenda nchi nyingine za Afrika.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaamu Kamishna Suleiman Kova amesema wahamiaji hao ambao wote ni wanaume wamekamatwa kutokana na ushirikiano wa wasamaria wema wanaoshi eneo hilo la Tabata Segerea.
Ameongeza...