Safari ya Mwisho ya Mzee Andrew Michael Kumalilwa
Jeneza lenye Mwili wa marehemu Mzee Andrew Michael Kumalilwa ukiwa tayari kushushwa nyumbani kwake Tabata Segerea ambapo misa ya kumuombea na kutoa heshima za mwisho zilifanyika kabla ya Kwenda kuupumzisha Mwili wake katika Nyumba yake ya Milele.
Askari wa Jeshi la Polisi Tanzania wakiwa wamebeba jeneza lenye Mwili wa aliyekuwa DCP Mstaafu wa Jeshi la Polisi Tanzania Mzee Andrew Michael Kumalilwa wakiingia katika nyumba yake iliyopo Tabata Segerea kwaajili ya Misa na ndugu, jamaa na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSafari ya Mwisho ya DCP Mstaafu wa jeshi la Polisi Tanzania , Mzee Andrew Michael Kumalilwa huko Tabata Segerea.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-QiFqeBjeCDM/VN35MB31KoI/AAAAAAAAeq0/XCOXA7t76pk/s72-c/IMG-20150213-WA0033.jpg)
TANGAZO LA MSIBA WA NDG ANDREW MICHAEL KUMALILWA (DCP MSTAAFU).
![](http://1.bp.blogspot.com/-QiFqeBjeCDM/VN35MB31KoI/AAAAAAAAeq0/XCOXA7t76pk/s1600/IMG-20150213-WA0033.jpg)
11 years ago
Dewji Blog18 May
Safari ya mwisho ya Mwanasheria Luke Seyayi
Mchungaji wa kanisa la AIC la Magomeni akiongoza ibada maalumu ya kuuaga mwili.
Mmoja wa wafanyakazi wenzake akitoa shukurani kwa niaba ya wafanyakazi wenzake.
Shemeji yake Marehemu Judith Mtania (katikati)akilia kwa uchungu.
Ndugu jamaa na marafiki wakiwa na majonzi wakati wa ibada maalumu ya kuuaga mwili wa aliyekuwa mwanasheria wa Wizara ya Maliasili na Utalii marehemu Luke Seyayi iliyofanyika katika kanisa la AIC Magomeni.
Baadhi ya wafanyakazi wenzake wakitoa heshima za...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-syPVR2kbMXI/VapNZ3hhO1I/AAAAAAAHqUs/cQkc6RwzLx0/s72-c/ArWBAjf5czyy_LMzr73Z49qwLy-Fu_dhXM7q9rRtyU_B.jpg)
Safari ya Mwisho ya Mwanamuziki Banza Stone
![](http://1.bp.blogspot.com/-syPVR2kbMXI/VapNZ3hhO1I/AAAAAAAHqUs/cQkc6RwzLx0/s640/ArWBAjf5czyy_LMzr73Z49qwLy-Fu_dhXM7q9rRtyU_B.jpg)
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-XdVLR_CUpRI/U00C6EwDyAI/AAAAAAAAFw0/qeP0RnFFYyw/s1600/10249173_227498430776023_2019706339_n.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CKLGcusiihM/U4X9n3mRskI/AAAAAAAFlyU/ulKw1RReCNU/s72-c/1.jpg)
SAFARI YA MWISHO YA MAREHEMU MAXMILIAN NGUBE
![](http://3.bp.blogspot.com/-CKLGcusiihM/U4X9n3mRskI/AAAAAAAFlyU/ulKw1RReCNU/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TnYHYAm7HeQ/U4X9bkQeIeI/AAAAAAAFlyI/r-qKqS2g5KQ/s1600/0L7C0040.jpg)
Risala fupi ikisomwa wakati wa Shughuli hiyo na Kuangwa kwa Marehemu Max Ngobe mmoja wa wanahabari wakongwe Tanzania.
![](http://2.bp.blogspot.com/-qVayd4Ue338/U4X-gTYoW8I/AAAAAAAFlzw/6cNsuNMyvZk/s1600/9.jpg)
Wanahabari wakirekodi tukio la kuaga Mwili wa Marehemu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhKaa56BSVVjnwxIgTDAQVFmMHSjCh0*BCUlGLA*RmbsISBczKZKbwQ9yrIiiHZlgFucnT-VUGbAQOow*tu0BKEd3pXobyWj/IMG20140524WA0013.jpg?width=650)
SAFARI YA MWISHO YA MAREHEMU AMINA NGALUMA
11 years ago
GPLSAFARI YA MWISHO YA GURUMO DUNIANI LEO
10 years ago
Michuzisafari ya mwisho ya Mpiganaji Bernard Rwebangira
Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Bernard Rwebangira likiwa tayari kwa safari ya kwenda kwenye nyumba yake ya milele kwenye Makaburi ya Kawe,Jijini Dar es salaam leo.Marehemu Bernard Rwebangira aliwahi kuwa Mpiga picha wa Kampuni ya TSN wachapishaji wa Magazeti ya Daily News, Sunday News pamoja na Habari leo.Mungu aiweke roho ya Marehemu mahapa pema Peponi, Amin.
Sehemu ya Ndugu wa Marehemu Bernard Rwebangira wakiwa ni wenye huzuni kubwa kuondokewa na Mpendwa wao, wakati wa Ibada ya kuaga mwili...