Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dar tambarare

Hii ni sehemu ya jiji la Dar es salaam, hususan maeneo ya Mchafukoge na Kariakoo ambako kunaonekana Busatani ya Mnazi Mmoja Garden kuzitenganisha. Awali majengo ya upande wa kulia mwa bustani hiyo yalikuwa ya mbavu za mbwa.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

Bongo Tambarare: mkeka wa tegeta

Hapa ni njia panga ya Kawe na Bagamoyo Road jijini Dar es salaam. 
Foleni kwishnei

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

Bongo tambarare: Maendeleo ya Ujenzi wa Barabara ya Morocco road

Hapa ni barabara ya Morocco (sasa Kawawa Road) mitaa ya Kimnondoni. Hivi sasa barabara hii iko katika ujenzi mpya kwa ajili ya mabasi yaendayo haraka. Na hiyo ngoma unayosikia ni ya Kundi la Sisi Tambala

 

11 years ago

Michuzi

CD mpya "Bongo Tambarare" ya Ngoma Africa Band aka FFU ndani ya Ethopia !

Addis Ababa,Ethopia, Kiongozi wa bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU aka Anunnaki Alien Kamanda Ras Makunja amewasili nchini Ethopia kwa ziara ya siku tatu ya kikazi,kwa ajili ya kuiporomoti CD mpya "Bongo Tambarare" ,baada  ya wadau wa muziki nchini humo kuomba CD hiyo iweze kupigwa katika vituo vya redio nchini humo. Wadau wa Ethopia wamevutiwa sana na mdundo uliomo ndani ya CD ya "Bongo Tambarare" yenye nyimbo tatu ambayo inasikika...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE WA JIMBO LA HAI ATEMBELEA ENEO LA TAMBARARE WILAYANI HAI KUJIONEA ATHARI ZA MAFURIKO NA KUTOA POLE KWA WAATHIRIKA

Mbunge wa Jimbo la Hai  Mhe. Freeman Mbowe akiwa na mkuu wa wilaya ya Hai Mhe. Anthony Mtaka walipotembelea katika ukanda wa Tambarare kujionea athari za mafuriko yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha.Mbunge Mbowe akiwa na biongozi wengine wa wilaya ya Hai wakitazama miundombuni ya reli ilivyochukuliwa na mafuriko.Baadhi ya wananchi wakisalimiana na Mbunge Mbowe katika eneo la mafuriko yaliyosomba reli.Viongozi wa Chama cha mapinduzi wakiwa katika mkutano wa hadhara wa kutoa pole...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani