Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bongo Tambarare: mkeka wa tegeta

Hapa ni njia panga ya Kawe na Bagamoyo Road jijini Dar es salaam. 
Foleni kwishnei

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

Bongo tambarare: Maendeleo ya Ujenzi wa Barabara ya Morocco road

Hapa ni barabara ya Morocco (sasa Kawawa Road) mitaa ya Kimnondoni. Hivi sasa barabara hii iko katika ujenzi mpya kwa ajili ya mabasi yaendayo haraka. Na hiyo ngoma unayosikia ni ya Kundi la Sisi Tambala

 

11 years ago

Michuzi

CD mpya "Bongo Tambarare" ya Ngoma Africa Band aka FFU ndani ya Ethopia !

Addis Ababa,Ethopia, Kiongozi wa bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU aka Anunnaki Alien Kamanda Ras Makunja amewasili nchini Ethopia kwa ziara ya siku tatu ya kikazi,kwa ajili ya kuiporomoti CD mpya "Bongo Tambarare" ,baada  ya wadau wa muziki nchini humo kuomba CD hiyo iweze kupigwa katika vituo vya redio nchini humo. Wadau wa Ethopia wamevutiwa sana na mdundo uliomo ndani ya CD ya "Bongo Tambarare" yenye nyimbo tatu ambayo inasikika...

 

11 years ago

GPL

MIRROR, MASTAA BONGO MUVI WACHENGUA CLUB 71 TEGETA

Wema na Kajala wakishindana kunengua jukwaani. Wema Sepetu akiimba na Mirror.…

 

9 years ago

Habarileo

Ndoa za mkeka zatishia elimu Zanzibar

KUONGEZEKA kwa tatizo la ndoa za mkeka Zanzibar kumetajwa kuchangia kuzorota kwa maendeleo ya elimu, hasa kwa watoto wa kike Unguja na Pemba.

 

11 years ago

Michuzi

Dar tambarare

Hii ni sehemu ya jiji la Dar es salaam, hususan maeneo ya Mchafukoge na Kariakoo ambako kunaonekana Busatani ya Mnazi Mmoja Garden kuzitenganisha. Awali majengo ya upande wa kulia mwa bustani hiyo yalikuwa ya mbavu za mbwa.

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

Mkeka wanukia barabara ya Mikocheni Tanesco mpaka Msasani

 Maandalizi ya kutandika Mkeka wa nguvu katika Barabara ya kutotea Tanesco Mikocheni A mpaka Msasani  kama inavyoonekana pichani.hii ni sehemu ya maendeleo yanayofanywa na Serikali yetu sikivu. Siku si nyingi mambo yatakuwa mswano na watu watakuwa wanaleza tu jamvini.Mmoja wa wataalam wa ujenzi wa barabara hiyo akiangalia kama mambo yako vyema.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani