Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndoa za mkeka zatishia elimu Zanzibar

KUONGEZEKA kwa tatizo la ndoa za mkeka Zanzibar kumetajwa kuchangia kuzorota kwa maendeleo ya elimu, hasa kwa watoto wa kike Unguja na Pemba.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mawaziri wa Elimu Tanzania Bara na Zanzibar wakutana na waandishi wa habari kuelezea maendeleo ya Elimu

Waziri wa Elimu na Ufundi, Shukuru Kawambwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Ali Juma Shamuhuna kwa pamoja wamekutana kujadili mwenendo wa elimu Tanzania na kuchambua matokeo ya Kidato cha nne hususani viwango vya kufaulu na kufeli na hatimae kuwasilisha taarifa ya mkutano wao kwenye Baraza la Mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Baraza la Mapinduzi Zanzibar.
Mawaziri hao walikutana jana mjini Zanzibar na kuongea na waandishi wa habari kuhusu maendeleo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Malaysia:Familia zatishia kususia chakula

Jamaa za abiria wa China waliokuwa kwenye ndege ya Malaysia,wametisha kususia chakula ikiwa Malaysia haitasema ukweli kuhusu ndege iliyotoweka

 

10 years ago

Vijimambo

KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA ZANZIBAR (ZLSC) WATOA ELIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA WANANCHI ZANZIBAR.

 Taswira mbalimbali za kituo cha huduma za sheria9ZLSC) kikitoa elimu ya katiba iliyopendekezwa kwa wananchi Zanzibar.


 

10 years ago

BBCSwahili

Ndoa za mapema zadumaza elimu TZ.

Serikali ya Tanzania imeihimizwa kuweka umri wa mwisho kwa ndoa kwa wasichana na wavulana uwe miaka 18 kuondosha ndoa za utotoni.

 

11 years ago

Mwananchi

UTAFITI: ‘Sheria ya elimu inachochea ndoa za utotoni’

>Ofisa Elimu na Michezo Wilaya ya Kusini Unguja, Nassor Simba Hassan amesema sheria ya elimu inachangia wazee kuwaozesha vijana wao walio chini ya miaka 18.

 

11 years ago

Michuzi

Bongo Tambarare: mkeka wa tegeta

Hapa ni njia panga ya Kawe na Bagamoyo Road jijini Dar es salaam. 
Foleni kwishnei

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

Mkeka wanukia barabara ya Mikocheni Tanesco mpaka Msasani

 Maandalizi ya kutandika Mkeka wa nguvu katika Barabara ya kutotea Tanesco Mikocheni A mpaka Msasani  kama inavyoonekana pichani.hii ni sehemu ya maendeleo yanayofanywa na Serikali yetu sikivu. Siku si nyingi mambo yatakuwa mswano na watu watakuwa wanaleza tu jamvini.Mmoja wa wataalam wa ujenzi wa barabara hiyo akiangalia kama mambo yako vyema.

 

10 years ago

Michuzi

MKEKA WAENDELEA KUTANDAZWA BARABARA YA HEDARU MPAKA SAME MKOANI KILIMANJARO

 Maandalizi ya kutandaza mkeka wa uhakika katika Barabara ya kutokea Hedaru mpaka Same mkoani Kilimanjaro umekuwa ukienda vyema kadri siku zinavyokwenda na kuleta matumaini ya safari njema na ya uhakika kwa watumiani wa barabara hiyo, pichani ni moja ya gari likipita kwenye barabara ya muda wakati mkema wa ukweli ukiendelea kutandandazwa. Mafundi wa Ujenzi wa barabara hiyo wakiendela na kazi, ili kuhakikisha mkeka wa uhakika unapatikana haraka iwezekanavyo. Sehemu ya mchekupuko. Muonekano wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani