Dar, Z’bar zatwaa ubingwa wavu
Kanda ya Zanzibar na Dar es Salaam zimetwaa ubingwa baada ya kuibuka washindi kwenye fainali ya mpira wa mikono na wavu katika michuano ya Umoja wa Michezo kwa Shule za Sekondari Tanzania (Umisseta).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLDAR LIVE YAFURIKA KATIKA KILELE CHA EFM BAR KWA BAR MUZIKI MNENE
Inspector Haroun 'Babu' akifanya makamuzi wakati wa kilele cha EFM Bar kwa Bar Muziki Mnene ndani ya Dar Lve jana.…
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Tanzania kuhodhi ligi ya mpira wa wavu
Tanzania imechaguliwa tena kuwa wenyeji wa michuano ya mpira wa wavu ya mataifa ya Afrika
10 years ago
BBCSwahili07 May
Michuano ya wavu Afrika Ijumaa- Mombasa
Michuano ya Afrika ya mpira wa wavu wa ufukuweni kwa wanawake yanaanza Ijumaa wiki hii katika Pwani ya Mombasa nchini Kenya.
10 years ago
BBCSwahili12 May
Afrika Mashariki yafuzu wavu ya ufukweni
Rwanda ndio mabingwa wa michuano ya mpira wa wavu wa ufukweni kwa wanawake yaliyofanyika katika Pwani ya Mombasa, nchini Kenya.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2pJZ0JZMXAA/Vd85_bxeqxI/AAAAAAAAPcw/RSKCJI-Fu0s/s72-c/DSC00223.jpg)
MICHUANO YA WAVU YAANZA KURINDIMA ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2pJZ0JZMXAA/Vd85_bxeqxI/AAAAAAAAPcw/RSKCJI-Fu0s/s640/DSC00223.jpg)
Iliovaa bluu ikiwa inachezana wachezaji wa timu ya tanga katika
MICHUANO yamchezo wa wavu
klabu bingwa taifa inaendelea kutimua vumbi jijini hapa ambapo timu ya
mchezo wa wavu ya tanga iliibuka kidedea kwa kuifunga timu ya
pentagoni seti 3-1
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bb9o2xM3w6k/Vd86U3vzmoI/AAAAAAAAPc4/_sWmaX3XTIs/s640/DSC00231.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sREeXqLxno0/Vd86yDVn_SI/AAAAAAAAPdI/w-ymlRgfxFs/s640/DSC00230.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BygalsDppvA/Vd87ZOXH4NI/AAAAAAAAPdg/pmYsfdYRpHg/s640/DSC00218.jpg)
MICHUANO yamchezo wa wavuklabu bingwa taifa inaendelea kutimua vumbi jijini Arusha hukuikizishuhudia timu...
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Mkwawa yapongezwa kung’ara katika wavu
WAZIRI wa michezo mstaafu wa serikali ya wanafunzi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Mkwawa, Henry Mlipano, ameupokea kwa shangwe ushindi wa chuo hicho katika mashindano ya michezo ya vyuo vikuu...
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Kenya yaifunga Burundi wavu ufukweni Tanzania
Kenya (wanaume) imeifunga Burundi kwa seti 2-1 katika michuamo ya wavu ya ufukweni .
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Burundi,Kenya zafuzu wavu kanda ya Tano
Timu za taifa za Burundi na Kenya zimefuzu kucheza hatua ya makundi kutoka kanda ya tano ya mpira wa wavu Afrika
10 years ago
TheCitizen20 Sep
Armed robbers ambush Dar bar
>Armed robbers closed a road for about 30 minutes as they frisked patrons at Dar es Salaam’s popular bar on Wednesday night.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania