Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daraja la waendao kwa miguu kimara lavutia

Magari yakipita chini ya daraja la watembea kwa miguu eneo la Kimara, Dar es Salaam, lililojengwa na Kampuni ya Ujenzi ya Strabag eneo la Kimara katika mradi wa ujenzi wa barabara za mabasi yaendayo Kasi Dar es Salaam. (PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA)

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Ukuta kuadhibu waendao haja ndogo ovyo

Manispaa moja jijini London imeanza kutekeleza mbinu mpya ya kukabiliana na waendao haja ndogo ovyo ovyo kwa kuweka rangi yenye uwezo wa kurushia anayekojoa mkojo wake kwenye kuta.

 

10 years ago

GPL

WATANO WANUSURIKA KUFA KWA AJALI KIMARA, DAR

Gari aina ya Mitsubishi Canter likiwa pembezoni mwa barabara baada ya ajali hiyo. Muonekana wa gari hilo baada ya ajali.…

 

11 years ago

Michuzi

aliyejiunganishia maji kinyume na sheria Kimara kwa musuguri matatani

 Wafanyakazi wa kampuni ya Majembe Auction Mart wakifungua mashine ya kutengenezea matofali katika eneo la Kwa Msuguri, Kimara jijini Dar es Salaam.Wizara ya Maji iliamrisha kukamatwa kwa vifaa na mali mbalimbali za Martin Kessy aliyekuwa amejiunganishia maji kinyume na sheria na kufanya biashara ya kufyatua matofali.  Zoezi hilo linaendelea. Zoezi hilo limefanyika jana katika eneo la Kwa Msuguri, Kimara jijini Dar es Salaam jana.  .

 Mwenyekiti wa kamati maalum ya Wizara ya Maji, Eng. Hamis...

 

11 years ago

GPL

LORI LA LAPINDUKA KIMARA WATU WANAJISEVIA MAFUTA KWA NDOO

LORI la mafuta ambalo namba za usajili hazijatambuliwa wala kampuni inayolimiki, limepinduka mchana huu maeneo ya Kimara-Stop Over jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa shuhuda wa ajali hiyo, kondakta ameokolewa isipokuwa dereva ambaye inasadikiwa amekufa bado mwili wake umekandamizwa na lori hilo, polisi kwa kushirikiana na wananchi wanafanya jitihada za kumtoa. Shuhuda huyo amesema vijana ‘wahuni’ wa maeneo hayo,...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA KUKOSEKANA HUDUMA YA MAJI KWA WAKAZI WA MLANDIZI, KIMARA NA TABATA

Shirika la Maji Safi na Majitaka Dar-es-salaam (DAWASCO), linawatangazia  wakazi wa KIMARA na TABATA; Miji ya Kibaha na Mlandizi mkoani Pwani  kuwa, Mtambo wa kuzalisha Maji wa Ruvu Juu umepata hitilafu kuanza siku ya Jumatano ya tarehe 03.12.2014 baada ya kuharibika kwa pampu moja ya kusukuma Maji (Pre-lift pump). 
Hali hii imelazimisha kupungua kwa uzalishaji Maji. 
Mafundi wa DAWASCO wanaendelea na matengenezo na kuhakikisha Pampu hii inafanya kazi na Huduma ya  Maji itarejea katika hali ya...

 

10 years ago

Michuzi

UJENZI WA BARABARA YA CHUO KIKUU KUTOKEA MBEZI YA KIMARA UKIENDELEA KWA KASI

Pichani juu ni sehemu ya kipande cha barabara ya lami ambacho tayari kimekwisha kamilika,kama kilivyonaswa na Globu ya Jamii wakati ikivinjari katika barabara hiyo jana na kujionea ujenzi huo ukienda kwa kasi,barabara hiyo ambayo imeonekana kuwa na umuhimu mkubwa katika jitihada za kupambana na msongamano wa magari ambao umekuwa kero kubwa kwa wakazi wa jiji la Dar na kwingineko.Barabara hiyo almaarufu kwa jina la barabara ya chuo kikuu ambayo pia unaweza kwenda Goba ama kuchepuka na kutokea...

 

9 years ago

BBCSwahili

Watembea kwa miguu hatarini Uganda

Watembea kwa miguu jijini Kampala nchini Uganda wako hatarini kupata ajali kutokana na changamoto ya Barabara

 

5 years ago

CCM Blog

DC UBUNGO ATEMBELEA KATA ZA KIMARA NA SARANGA KUONA ATHARI NA KUWAPA POLE WANANCHI KWA MAAFA YA MVUA YALIYOWAPATA

UBUNGO, Dar es Salaam
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori ametembelea Kata za Kimara na Saranga ili kuona athari na kuwapa pole wananchi kutokana maafa yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo ya Wilaya ya Ubungo, jijini Dar es Salaam, juzi.

Mkuu wa Wilaya aliongozana na viongozi mbalimbali akiwemo Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya ya Ubungo Diana Nkarage.

DC Makori aliwaambia wananchi wa Mtaa wa Golani Kata ya Kimara kuwa amefika kwao ili kujuliana hali na kuwapa pole wale wote...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akionesha sehemu ambazo daraja hilo jipya litakapojengwa pembezoni mwa daraja Selander kuanzia hospitali ya Aghakan hadi barabara Kenyata. Sehemu ya Daraja hilo pekee litakuwa na urefu wa km 1.03 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka Serikali ya Korea Kusini pamoja na Wizara ya Ujenzi mara baada ya kusaini Mkataba wa Muhtasari wa Majadiliano leo jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani