DARASA APOTEZA ‘EXTERNAL HARD DISK’ AMBAYO ILIKUWA NA NGOMA ZAKE AMBAZO HAZIJATOKA
MSANII wa Hip Hop Bongo,Darasa jana amepoteza kitu muhimu sana kwa muziki wake wakati akiwa kwenye matembezi mida ya usiku pande za Sinza Kwa Wajanja, kitu hicho ni ‘external hard disk’ yenye ngoma zake ambazo hazijatoka na kuhofia ngoma hizo kuvuja, na anaomba kwa yeyote atakayefanikiwa kuona mali yake basi amtafute.
Darasa Huyu hapa anafunguka.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
5 years ago
GameSpot11 Apr
The Best External Hard Drive Deals For PS4 And Xbox One
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Cheki video ya magoli ya Azam FC dhidi ya Yanga katika mechi ambayo ilikuwa ya kukamiana …
Mtu wangu wa nguvu kama kawaida naendelea kukusogezea kila kitu kinachonifikia kutoka Zanzibar katika michuano ya Kombe la Mapinduzi. Usiku wa January 5 ulipigwa mchezo wa nne wa Kundi B kwa kuzikutanisha timu za Yanga dhidi ya Azam FC katika dimba la Amaan. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusoogezee video ya magoli ya mchezo huo […]
The post Cheki video ya magoli ya Azam FC dhidi ya Yanga katika mechi ambayo ilikuwa ya kukamiana … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Bongo530 Sep
Diamond aitaja ‘Kesho’ kama ngoma yake ambayo hajawahi kuipenda
10 years ago
Bongo512 Mar
Matonya ataja sababu za kwanini ngoma zake hazihit kama zamani
9 years ago
Bongo514 Dec
Dully awakusanya Diamond, Christian Bella na Mzee Yusuf kwenye ngoma zake mbili mpya
![Dully](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Dully-300x194.jpg)
Baada ya kuachia kolabo yake akiwa na vijana wa Yamoto Band, Dully Sykes anatarajia kuachia kolabo zake nyingine mbili ambapo moja akiwa na Diamond na nyingine akiwa na Christian Bella na Mzee Yusuf.
Akizungumza na kipindi cha Siz Kitaa kinachoruka kupitia Clouds TV, Dully alisema tayari ameshafanya nyimbo nyingi akiwa peke yake na wakati huu ni wa kolabo.
“Mimi nimefanya nyimbo nyingi sana mwenyewe na nyingi zimefanya vizuri. Kwahiyo sasa hivi mimi natoa nyimbo ambazo nimeshirikiana. Baada...
9 years ago
Bongo530 Sep
BASATA ianze kukagua nyimbo kabla hazijatoka — Roma