Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC acharukia Mtendaji wa Kiru

MKUU wa Wilaya ya Babati mkoani Manyara, Chrispin Meela amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati Vijijini, Dominic Kweka kumchukulia hatua za kinidhamu Mtendaji wa Kijiji cha Kokomay Kata ya Kiru, Raphael John kwa tuhuma za kunyanyasa kijinsia wanawake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

RC acharukia wanaohusisha CHF na Freemasons

BAADHI ya wakazi wilayani Kyela wanadaiwa kupotosha kuhusu umuhimu wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kwa kuuhusisha na mfumo wa Freemasons.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mzindakaya acharukia operesheni makokoro

MKUU wa Wilaya ya Busega, Paul Mzindakaya, amewaamuru kuondoka mara moja wilayani humo maofisa wa serikali wakiwemo askari polisi waliokuwa wakiendesha kinyemela operesheni ya kusaka makokoro kisha kupiga na kukata...

 

10 years ago

Mwananchi

Wassira acharukia wataka urais

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu, Steven Wassira amewataka wote wanaotumia suala la ripoti ya Kamati ya Bunge ya Hesabu ya Serikali (PAC) kwa vigezo vya kuwaondoa wenzao katika mbio za urais hawastahili kupewa nafasi hiyo

 

10 years ago

Habarileo

Lubuva acharukia vyama vya siasa

MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva amevitaka vyama vya siasa kutogeuza suala la uandikishaji wa wanafunzi vyuoni kwenye daftari la wapiga kura kuwa ajenda ya kisiasa au sehemu ya manifesto ya chama chochote cha siasa.

 

11 years ago

GPL

MAMA ABDUL ACHARUKIA WEZI KWENYE MISIBA

Stori: Hamida Hassan
STAA wa filamu ya Kigodoro, Mama Abdul ‘Kantangaze’ hivi karibuni alitoa kali ya mwaka baada ya kuwacharukia wezi wa nyama misibani, hasa akina mama. Staa wa filamu ya Kigodoro, Mama Abdul ‘Kantangaze’. Mama Abdul alitoa kauli hiyo baada ya kuwaona akina mama wakidokoa nyama kwenye sahani za vyakula zilipokuwa zikipitishwa wakati wa msiba wa Mc Chimamy, eneo la Sinza jijini Dar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani