Mzindakaya acharukia operesheni makokoro
MKUU wa Wilaya ya Busega, Paul Mzindakaya, amewaamuru kuondoka mara moja wilayani humo maofisa wa serikali wakiwemo askari polisi waliokuwa wakiendesha kinyemela operesheni ya kusaka makokoro kisha kupiga na kukata...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Wakulima walalamikia Lumbesa, Makokoro
10 years ago
Habarileo31 Jul
DC acharukia Mtendaji wa Kiru
MKUU wa Wilaya ya Babati mkoani Manyara, Chrispin Meela amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati Vijijini, Dominic Kweka kumchukulia hatua za kinidhamu Mtendaji wa Kijiji cha Kokomay Kata ya Kiru, Raphael John kwa tuhuma za kunyanyasa kijinsia wanawake.
10 years ago
Habarileo10 Sep
RC acharukia wanaohusisha CHF na Freemasons
BAADHI ya wakazi wilayani Kyela wanadaiwa kupotosha kuhusu umuhimu wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kwa kuuhusisha na mfumo wa Freemasons.
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Wassira acharukia wataka urais
10 years ago
Habarileo03 Jun
Lubuva acharukia vyama vya siasa
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva amevitaka vyama vya siasa kutogeuza suala la uandikishaji wa wanafunzi vyuoni kwenye daftari la wapiga kura kuwa ajenda ya kisiasa au sehemu ya manifesto ya chama chochote cha siasa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gLRz0qCeA0Ws0dNmnootdv5ru1RG425QFRnN1fiUjlXfEUntKeNbIvT1lr6C4myBsTdLKNqHjfICNlIVAzlMsW4LHemNX6hW/mamaABDUL.jpg)
MAMA ABDUL ACHARUKIA WEZI KWENYE MISIBA
9 years ago
Habarileo04 Nov
Mzindakaya alonga
MWANASIASA mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya amesema wakati umefika wananchi kufurahia Tanzania mpya isiyo na rushwa wala umasikini chini ya uongozi wa Rais John Magufuli.
11 years ago
Government Union Structure10 Feb
Mzindakaya Faults Three
AllAfrica.com
THE three-government union proposed in the second draft of the new constitution will not only lead to the total collapse of the union that gave birth to Tanzania but also result in serious confusion in administrative hierarchy. Mr Chrisant Mzindakaya, who was ...
11 years ago
Habarileo10 Apr
Mzindakaya awalipua Ukawa
MWANASIASA mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya ameutupia kombora Umoja wa Katiba ya Watanzania - nje ya Bunge Maalumu (Ukawa-nje) kwa kuzungumzia mjadala wa katiba nje ya Bunge Maalumu na kuita kitendo hicho kuwa ni uhaini wa kisiasa.