Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzindakaya acharukia operesheni makokoro

MKUU wa Wilaya ya Busega, Paul Mzindakaya, amewaamuru kuondoka mara moja wilayani humo maofisa wa serikali wakiwemo askari polisi waliokuwa wakiendesha kinyemela operesheni ya kusaka makokoro kisha kupiga na kukata...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wakulima walalamikia Lumbesa, Makokoro

Wakulima wa vijiji vya Ibingu na Kisongwe, Kata ya Lumbiji wilayani hapa wamelalamikia kukithiri kwa vitendo vya wafanyabiashara kununua mazao kwa kutumia vipimo visivyokubalika kisheria.

 

10 years ago

Habarileo

DC acharukia Mtendaji wa Kiru

MKUU wa Wilaya ya Babati mkoani Manyara, Chrispin Meela amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati Vijijini, Dominic Kweka kumchukulia hatua za kinidhamu Mtendaji wa Kijiji cha Kokomay Kata ya Kiru, Raphael John kwa tuhuma za kunyanyasa kijinsia wanawake.

 

10 years ago

Habarileo

RC acharukia wanaohusisha CHF na Freemasons

BAADHI ya wakazi wilayani Kyela wanadaiwa kupotosha kuhusu umuhimu wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kwa kuuhusisha na mfumo wa Freemasons.

 

10 years ago

Mwananchi

Wassira acharukia wataka urais

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu, Steven Wassira amewataka wote wanaotumia suala la ripoti ya Kamati ya Bunge ya Hesabu ya Serikali (PAC) kwa vigezo vya kuwaondoa wenzao katika mbio za urais hawastahili kupewa nafasi hiyo

 

10 years ago

Habarileo

Lubuva acharukia vyama vya siasa

MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva amevitaka vyama vya siasa kutogeuza suala la uandikishaji wa wanafunzi vyuoni kwenye daftari la wapiga kura kuwa ajenda ya kisiasa au sehemu ya manifesto ya chama chochote cha siasa.

 

10 years ago

GPL

MAMA ABDUL ACHARUKIA WEZI KWENYE MISIBA

Stori: Hamida Hassan
STAA wa filamu ya Kigodoro, Mama Abdul ‘Kantangaze’ hivi karibuni alitoa kali ya mwaka baada ya kuwacharukia wezi wa nyama misibani, hasa akina mama. Staa wa filamu ya Kigodoro, Mama Abdul ‘Kantangaze’. Mama Abdul alitoa kauli hiyo baada ya kuwaona akina mama wakidokoa nyama kwenye sahani za vyakula zilipokuwa zikipitishwa wakati wa msiba wa Mc Chimamy, eneo la Sinza jijini Dar...

 

9 years ago

Habarileo

Mzindakaya alonga

MWANASIASA mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya amesema wakati umefika wananchi kufurahia Tanzania mpya isiyo na rushwa wala umasikini chini ya uongozi wa Rais John Magufuli.

 

11 years ago

Government Union Structure

Mzindakaya Faults Three


Mzindakaya Faults Three-Government Union Structure
AllAfrica.com
THE three-government union proposed in the second draft of the new constitution will not only lead to the total collapse of the union that gave birth to Tanzania but also result in serious confusion in administrative hierarchy. Mr Chrisant Mzindakaya, who was ...

 

11 years ago

Habarileo

Mzindakaya awalipua Ukawa

Dk Chrisant MzindakayaMWANASIASA mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya ameutupia kombora Umoja wa Katiba ya Watanzania - nje ya Bunge Maalumu (Ukawa-nje) kwa kuzungumzia mjadala wa katiba nje ya Bunge Maalumu na kuita kitendo hicho kuwa ni uhaini wa kisiasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani