DC afunga chuo feki cha Uuguzi Huruma ya Mungu Yatosha Sengerema
Wanafunzi wa Chuo cha Uuguzi cha Huruma ya Mungu Yatosha kilichogundulika kuwa ni feki katika kata ya Nyehunge wilayani Sengerema wakiwa ndani ya darasa lao huku wakiwa wamejawa na majonzi baada ya kutapeliwa.(picha na Daniel Makaka Sengerema).
Na Daniel Makaka, Sengerema
MKUU wa wilaya ya Sengerema, Bi Kalen Yunus amekifunga chuo cha uuguzi cha Huruma ya Mungu Yatosha baada ya kukiukwa kwa taratibu za usajili.
Mkuu huyo aliamua kukifunga chuo baada ya kupata taarifa za chuo hicho...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
CHUO FEKI CHA UUGUZI CHAFUNGWA, WANAFUNZI WAHAHA
10 years ago
MichuziPSPF YATOA SEMINA KWA WANAFUNZI WA CHUO CHA UUGUZI MANYARA
11 years ago
GPL
JK ATEMBELEA CHUO CHA SAYANSI YA AFYA UDOM, AFUNGA KIKAO KAZI CHA VIONGOZI DODOMA
10 years ago
VijimamboSerikali yakifunga kile chuo 'feki' cha Kilimo
Serikal imekifunga Chuo cha Kilimo na Mifugo cha Nice Dream kilichopo mtaa wa Mapelele Kata ya Ilemi Jijini na kuwataka wanachuo wa chuo hicho kuondoka chuoni hapo baada ya siku tatu.
Agizo hilo lilitolewa na Kaimu Katibu Tawala Wilaya ya Mbeya Bi. Quip Mbeyela aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Daktari Norman Sigala na kwamba Serikali itagharamia chakula kwa siku tatu ambapo...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGA MAFUNZO YA ZIMAMOTO NA UOKOAJI CHUO CHA UONGOZI JKT KIMBIJI
11 years ago
MichuziNews Alert:WANAFUNZI 212 WA UASKARI CHUO CHA TAALUMA YA POLISI MOSHI WAFUKUZWA BAADA YA KUBAINIKA KUTUMIA VYETI FEKI
CHUO cha mafunzo ya taaluma ya Jeshi la polisi Moshi (MPA), kimewafukuzisha mafunzo jumla ya wanafunzi wa uaskari 212, kutokana na sababu za kughushi vyeti vya elimu ya sekondari..
Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Taaluma na Utumishi wa jeshi la Polisi, Kamishna wa Polisi Thobias Andengenye katika kikao na waandishi wa habari kilichofanyika kwenye ukumbi wa chuo cha mafunzo ya taluma ya Polisi mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro.
Kamishna...
10 years ago
Michuzi
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA UONGOZI DARAJA LA KWANZA CHUO CHA MAGEREZA KIWIRA, MKOANI MBEYA


10 years ago
GPL
HUSSEIN MACHOZI AFUNGA NDOA FEKI KENYA
11 years ago
Habarileo21 Mar
Aliyeghushi cheti cha uuguzi jela miaka 28
MUUGUZI Lucia Ilomo (44) amehukumiwa kifungo cha miaka 28 jela katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam baada ya kupatikana na hatia ya kughushi vyeti vya Uuguzi na Ukunga.