DC Iramba ahamia kijijini kufanikisha Ujenzi wa Zahanati
Mkuu wa wilaya ya Iramba mkoani Singida, Yahaya Nawanda.
Na Mwandishi wetu
MKUU wa wilaya ya Iramba mkoa wa Singida,Yahaya Nawanda, ameahidi kuishi kwa siku tano katika nyumba za kabila la kisukuma kijiji cha Kizonzo tarafa ya Shelui, ili kuhakikisha zoezi la kukusanya michango ya ujenzi wa zahanati ya kijiji hicho linafanikiwa.
Nawanda ametoa ahadi hiyo wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara wa uhamasishaji wananchi kujiunga na mfuko wa afya ya jamii (CHF),uliofanyika kwenye kijiji...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf0LuKzS2*QN*oQKntFRguncrk6NUlCoG6dNvW1mAJBnEePDla0cK577vGIZEkAnCYaS4UBHD1bIneJBzw-yfnMY/6WaziriMagufulikatikamtambo.jpg?width=650)
DK MAGUFULI AHAMIA MOROGORO KUSIMAMIA UJENZI DARAJA LA DUMILA LILILOSOMBWA NA MAJI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0im5XrYR-po/XkwQYLEhSbI/AAAAAAALeF0/Uu3ZyBNrG_oF5dEfkHgNP9JEkpTPPzl-ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WANANCHI WAFURAHIA UJENZI WA ZAHANATI
Wananchi wameonyesha kufurahishwa na kitendo cha Serikali kuendeleza ujenzi wa Zahanati ambazo zilisimama ujenzi kwa muda mrefu.
Hayo yamejitokeza kwenye ziara aliyoifanya Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu ya kufuatilia ujenzi wa Zahanati ya Mitondi iliyopo Kijiji cha Mitondi B kata ya Kitama pamoja na Zahanati ya Miuta iliyopo Kijiji cha Miuta kata ya Miuta ambapo alikuta ujenzi ukiendelea kwa kasi hali inayowafurahisha Wananchi kiasi cha kuamua kujitoa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-G2HiKbs4EEM/XvMKr9QGCBI/AAAAAAALvMU/jkbKtH5GrakycSZ8UXayooaeluNijey_ACLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%252822%2529.jpeg)
TARI- NALIENDELE MTWARA KUFANIKISHA MPANGO WA UJENZI WA UCHUMI WA VIWANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-G2HiKbs4EEM/XvMKr9QGCBI/AAAAAAALvMU/jkbKtH5GrakycSZ8UXayooaeluNijey_ACLcBGAsYHQ/s640/images%2B%252822%2529.jpeg)
Dhamira hiyo inatokana na ukweli kuwa sekta ya kilimo kuwa mhimili muhimu katika maendeleo ya uchumi wa taifa letu ambapo Pato la Taifa linalotokana na kilimo, kwa kutumia bei za mwaka 2015 limeongezeka kwa ...
10 years ago
Habarileo26 Jan
Waomba fedha ujenzi wa zahanati kukaguliwa
WANANCHI wa Kata na Kijiji cha Chanya katika Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera wameomba Serikali kuwapatia Mkaguzi wa Ndani wa Hesabu za Serikali awasaidie kutambua matumizi mabaya ya fedha za ujenzi wa zahanati ambazo hazijulikani zilipo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-daKOt2hadpU/XqvJx2P4nTI/AAAAAAALovU/rpsTZHrtxf80D2aa0ln91qmPVtP3G570wCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1588275537666.jpg)
WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI UJENZI ZAHANATI
~ Kuwaondolea kero ya afya
~ Waridhishwa na ujenzi
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Wananchi wa Kijiji cha Miuta kata ya Miuta wamemshukuru Rais Magufuli na Serikali yake kuwajengea Zahanati ya Miuta ambayo inaenda Kuwaondolea kero ya kupata huduma ya afya.
Wananchi hao ambao awali wameridhishwa na kasi na kiwango cha ujenzi wa Zahanati hiyo wameomba Zahanati hiyo...
10 years ago
Dewji Blog11 May
TASAF yashindwa kukamilisha ujenzi wa meza za soko la kijiji cha Ndago, wilayani Iramba
Soko la Kijiji cha Ndago,wilayani Iramba lililoshindikana kukamilishwa kwa meza za kufanyia biashara kwa wananchi wa Kijiji hicho kutokana na TASAF awamu ya pili kujitoa kukamilisha ujenzi wa meza hizo kwa kukosa fedha za kufanyikazi hiyo,baada ya kutotengwa kwa fedha za kazi hiyo.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na Jumbe Ismailly, Iramba
MFUKO wa Maendeleo ya jamii (TASAF) Wilaya ya Iramba,Mkoani Singida umeshindwa kukamilisha ujenzi wa meza za soko la Kijiji cha Ndago kwa zaidi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-muoiv6jjX8A/XmvlgWqs_CI/AAAAAAALjAc/XHtEaFUlXygYRB3N-I871mtN0UKz8brAACLcBGAsYHQ/s72-c/C.png)
Magereza makete wapigwa jeki ujenzi wa zahanati
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Ujenzi wa Zahanati kugharimu 384 Milioni Singida
Mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina akitoa taarifa ya ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Mtisi kata ya Mtamaa,inayokadiriwa kukamilika katika mwaka wa fedha wa 2014/2015. (Picha na Maktaba).
Na Nathaniel Limu, Singida
Halmashauri ya Manispaa ya Singida, inatarajia kutumia zaidi ya shilingi 384.4 milioni, kugharamia ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Mtisi kata ya Mtamaa,inayokadiriwa kukamilika katika mwaka wa fedha wa 2014/2015.
Mkurugenzi wa manispaa hiyo, Joseph Mchina, alisema...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0MQPlqBv6WA/VVchAulunSI/AAAAAAAHXmk/DjIqEh15GV8/s72-c/1.jpg)
MEYA WA ILALA AFUNGUA UZINDUZI WA UJENZI WA ZAHANATI YA MBONDOLE, MSONGOLA
![](http://2.bp.blogspot.com/-0MQPlqBv6WA/VVchAulunSI/AAAAAAAHXmk/DjIqEh15GV8/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xl6xogcYjsY/VVchAmaep8I/AAAAAAAHXm4/y94Ap0f2l78/s640/2.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI