Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC Iramba ahamia kijijini kufanikisha Ujenzi wa Zahanati

2

Mkuu wa wilaya ya Iramba mkoani Singida, Yahaya Nawanda.

Na Mwandishi wetu

MKUU wa wilaya ya Iramba mkoa wa Singida,Yahaya Nawanda, ameahidi kuishi kwa siku tano katika nyumba za kabila la kisukuma kijiji cha Kizonzo tarafa ya Shelui, ili kuhakikisha zoezi la kukusanya michango ya ujenzi wa zahanati ya kijiji hicho linafanikiwa.

Nawanda ametoa ahadi hiyo wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara wa uhamasishaji wananchi kujiunga na mfuko wa afya ya jamii (CHF),uliofanyika kwenye kijiji...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

DK MAGUFULI AHAMIA MOROGORO KUSIMAMIA UJENZI DARAJA LA DUMILA LILILOSOMBWA NA MAJI

Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli akiwa katika gari linaloendelea na ujenzi wa daraja la Dumila.
Waziri Magufuli akitoa maelekezo kwa watendaji wa Tanroads.…

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WAFURAHIA UJENZI WA ZAHANATI

Na Mwandishi wetu Mihambwe

Wananchi wameonyesha kufurahishwa na kitendo cha Serikali kuendeleza ujenzi wa Zahanati ambazo zilisimama ujenzi kwa muda mrefu.

Hayo yamejitokeza kwenye ziara aliyoifanya Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu ya kufuatilia ujenzi wa Zahanati ya Mitondi iliyopo Kijiji cha Mitondi B kata ya Kitama pamoja na Zahanati ya Miuta iliyopo Kijiji cha Miuta kata ya Miuta ambapo alikuta ujenzi ukiendelea kwa kasi hali inayowafurahisha Wananchi kiasi cha kuamua kujitoa...

 

5 years ago

Michuzi

TARI- NALIENDELE MTWARA KUFANIKISHA MPANGO WA UJENZI WA UCHUMI WA VIWANDA

Na Mwandishi Wetu, MAELEZOSERIKALI ya Awamu ya Tano kupitia Wizara ya Kilimo imeendelea kuweka mazingira rafiki kwa wakulima na wafanyabiashara na pia kuboresha miundombinu ili kuwezesha upatikanaji wa chakula na masoko ya mazao ya kilimo, mifugo na uvuvi katika maeneo yote nchini.
Dhamira hiyo inatokana na ukweli kuwa sekta ya kilimo  kuwa mhimili muhimu  katika  maendeleo  ya uchumi wa taifa letu ambapo Pato la Taifa linalotokana na kilimo, kwa kutumia bei za mwaka 2015 limeongezeka  kwa ...

 

10 years ago

Habarileo

Waomba fedha ujenzi wa zahanati kukaguliwa

WANANCHI wa Kata na Kijiji cha Chanya katika Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera wameomba Serikali kuwapatia Mkaguzi wa Ndani wa Hesabu za Serikali awasaidie kutambua matumizi mabaya ya fedha za ujenzi wa zahanati ambazo hazijulikani zilipo.

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI UJENZI ZAHANATI


~ Kuwaondolea kero ya afya
~ Waridhishwa na ujenzi
 Na Mwandishi wetu Mihambwe 
Wananchi wa Kijiji cha Miuta kata ya Miuta wamemshukuru Rais Magufuli na Serikali yake kuwajengea Zahanati ya Miuta ambayo inaenda Kuwaondolea kero ya kupata huduma ya afya. 
Wananchi hao ambao awali wameridhishwa na kasi na kiwango cha ujenzi wa Zahanati hiyo wameomba Zahanati hiyo...

 

10 years ago

Dewji Blog

TASAF yashindwa kukamilisha ujenzi wa meza za soko la kijiji cha Ndago, wilayani Iramba

SAM_2012

Soko la Kijiji cha Ndago,wilayani Iramba lililoshindikana kukamilishwa kwa meza za kufanyia biashara kwa wananchi wa Kijiji hicho kutokana na TASAF awamu ya pili kujitoa kukamilisha ujenzi wa meza hizo kwa kukosa fedha za kufanyikazi hiyo,baada ya kutotengwa kwa fedha za kazi hiyo.(Picha zote na Jumbe Ismailly).

SAM_2010

SAM_2014

Na Jumbe Ismailly, Iramba     

MFUKO wa Maendeleo ya jamii (TASAF) Wilaya ya Iramba,Mkoani Singida umeshindwa kukamilisha ujenzi wa meza za soko la Kijiji cha Ndago kwa zaidi ya...

 

5 years ago

Michuzi

Magereza makete wapigwa jeki ujenzi wa zahanati

Na Amiri kilagalila,Njombe Mkuu wa Gereza la Ndulamo wilayani Makete mkoani Njombe amewaomba wadau mbali mbali kujitokeza kusaidia ukamilishwaji wa ujenzi wa zahanati ya gereza hilo ili kuokoa maisha na kuimarisha usalama kwa wafungwa na mahabusu ndani ya gereza. Gereza la wilaya ya Mkete (Ndulamo) lililopo wilayani Makete, ni moja kati ya magereza yanayopatikana ndani ya mkoa wa Njombe.Moja ya changamoto kubwa hapa inayoelezwa na Aloyce kayela mrakibu mwandamizi wa magereza wilaya ya Makete...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ujenzi wa Zahanati kugharimu 384 Milioni Singida

MANISPAA

Mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina akitoa taarifa ya ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Mtisi kata ya Mtamaa,inayokadiriwa kukamilika katika mwaka wa fedha wa 2014/2015. (Picha na Maktaba).

Na Nathaniel Limu, Singida

Halmashauri  ya Manispaa ya Singida, inatarajia kutumia zaidi ya shilingi 384.4 milioni, kugharamia ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Mtisi kata ya Mtamaa,inayokadiriwa kukamilika katika mwaka wa fedha wa 2014/2015.

Mkurugenzi wa manispaa hiyo, Joseph Mchina, alisema...

 

10 years ago

Michuzi

MEYA WA ILALA AFUNGUA UZINDUZI WA UJENZI WA ZAHANATI YA MBONDOLE, MSONGOLA

Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa akizungumza na wananchi wa Kata ya Msongola, Kijiji cha Mbondole katika uzinduzi wa Ujenzi wa Zahanati katika Kijiji hicho jijini Dar es Salaam.Diwani wa Kata ya Msongola, Angelina Makembeka akimshukuru Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa kwa kutembelea kijiji cha Mbondole jijini Dar es Salaam.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani