Waomba fedha ujenzi wa zahanati kukaguliwa
WANANCHI wa Kata na Kijiji cha Chanya katika Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera wameomba Serikali kuwapatia Mkaguzi wa Ndani wa Hesabu za Serikali awasaidie kutambua matumizi mabaya ya fedha za ujenzi wa zahanati ambazo hazijulikani zilipo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV09 Jan
Wakazi Golimba Manyara waomba kujengewa Zahanati.
Na Zacharia Mtigandi,
Manyara.
Baadhi ya wakazi wanaoishi maeneo ya vijijini mkoani Manyara wanaopata huduma za matibabu kwa njia ya ndege wameiomba Serikali kuwajengea vituo vya afya na zahanati ili kuepusha vifo vinavyoweza kuepukika.
Wamesema utaratibu wa ndege kuwaletea dawa kila mwisho wa mwezi hauokoi maisha yao hasa kwa wagonjwa wanaougua magonjwa yanayohitaji matibabu ya haraka.
Wakati Serikali ikionyesha kupiga hatua kubwa katika sekta ya afya kwa kujenga hospitali, vituo vya...
10 years ago
Dewji Blog08 Jan
Waomba kituo maalumu cha watoto walemavu Buhangija kusaidiwa zahanati
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Bi. Anne Rose Nyamubi mara baada ya kuwasili ofisini kwake kwa ajili ya mazungumzo kabla ya kuelekea kwenye kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum wakiwemo walemavu wa ngozi cha Buhangija Jumuishi kilichopo mkoani Shinyanga.
Na mwandishi wetu, Shinyanga
MKUU wa wilaya ya Shinyanga AnneRose Nyamubi...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/DSC_0002.jpg)
WAOMBA KITUO MAALUMU CHA WATOTO WALEMAVU BUHANGIJA KUSAIDIWA ZAHANATI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0im5XrYR-po/XkwQYLEhSbI/AAAAAAALeF0/Uu3ZyBNrG_oF5dEfkHgNP9JEkpTPPzl-ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WANANCHI WAFURAHIA UJENZI WA ZAHANATI
Wananchi wameonyesha kufurahishwa na kitendo cha Serikali kuendeleza ujenzi wa Zahanati ambazo zilisimama ujenzi kwa muda mrefu.
Hayo yamejitokeza kwenye ziara aliyoifanya Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu ya kufuatilia ujenzi wa Zahanati ya Mitondi iliyopo Kijiji cha Mitondi B kata ya Kitama pamoja na Zahanati ya Miuta iliyopo Kijiji cha Miuta kata ya Miuta ambapo alikuta ujenzi ukiendelea kwa kasi hali inayowafurahisha Wananchi kiasi cha kuamua kujitoa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-daKOt2hadpU/XqvJx2P4nTI/AAAAAAALovU/rpsTZHrtxf80D2aa0ln91qmPVtP3G570wCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1588275537666.jpg)
WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI UJENZI ZAHANATI
~ Kuwaondolea kero ya afya
~ Waridhishwa na ujenzi
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Wananchi wa Kijiji cha Miuta kata ya Miuta wamemshukuru Rais Magufuli na Serikali yake kuwajengea Zahanati ya Miuta ambayo inaenda Kuwaondolea kero ya kupata huduma ya afya.
Wananchi hao ambao awali wameridhishwa na kasi na kiwango cha ujenzi wa Zahanati hiyo wameomba Zahanati hiyo...
11 years ago
Dewji Blog10 Jul
DC Iramba ahamia kijijini kufanikisha Ujenzi wa Zahanati
Mkuu wa wilaya ya Iramba mkoani Singida, Yahaya Nawanda.
Na Mwandishi wetu
MKUU wa wilaya ya Iramba mkoa wa Singida,Yahaya Nawanda, ameahidi kuishi kwa siku tano katika nyumba za kabila la kisukuma kijiji cha Kizonzo tarafa ya Shelui, ili kuhakikisha zoezi la kukusanya michango ya ujenzi wa zahanati ya kijiji hicho linafanikiwa.
Nawanda ametoa ahadi hiyo wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara wa uhamasishaji wananchi kujiunga na mfuko wa afya ya jamii (CHF),uliofanyika kwenye kijiji...
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Ujenzi wa Zahanati kugharimu 384 Milioni Singida
Mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina akitoa taarifa ya ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Mtisi kata ya Mtamaa,inayokadiriwa kukamilika katika mwaka wa fedha wa 2014/2015. (Picha na Maktaba).
Na Nathaniel Limu, Singida
Halmashauri ya Manispaa ya Singida, inatarajia kutumia zaidi ya shilingi 384.4 milioni, kugharamia ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Mtisi kata ya Mtamaa,inayokadiriwa kukamilika katika mwaka wa fedha wa 2014/2015.
Mkurugenzi wa manispaa hiyo, Joseph Mchina, alisema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-muoiv6jjX8A/XmvlgWqs_CI/AAAAAAALjAc/XHtEaFUlXygYRB3N-I871mtN0UKz8brAACLcBGAsYHQ/s72-c/C.png)
Magereza makete wapigwa jeki ujenzi wa zahanati
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0MQPlqBv6WA/VVchAulunSI/AAAAAAAHXmk/DjIqEh15GV8/s72-c/1.jpg)
MEYA WA ILALA AFUNGUA UZINDUZI WA UJENZI WA ZAHANATI YA MBONDOLE, MSONGOLA
![](http://2.bp.blogspot.com/-0MQPlqBv6WA/VVchAulunSI/AAAAAAAHXmk/DjIqEh15GV8/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xl6xogcYjsY/VVchAmaep8I/AAAAAAAHXm4/y94Ap0f2l78/s640/2.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI