DC MARATHON IMESABABISHA MSONGAMANO MKUBWA WA MAGARI
Wikiend hii kutakuwa na msongamano mkubwa wa magari kwa maeneo ya dc NW leo jumamosi kufuatia mbio za marathon, kama unaratiba ya kuingia mjini kwa kupitia NW barabara maeneo ya U street yote yamefungwa huwezi kuvuka kwanda mjini, na kesho, na kesho itakuwa kama leo ni St patrick' day parade, jipange mapema
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili16 Apr
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Mabasi ya majini kumaliza msongamano wa magari?
>Serikali, mashirika binafsi na wadau wa usafiri ndani na nje ya nchi wamekuwa wakifanya jitihada mbalimbali kukabiliana na msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam.
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Chanzo cha msongamano wa magari Dar chaelezwa
Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe amesema Jiji la Dar es Salaam lilipangwa mwaka 1912 na haliendani na ukuaji wa kiuchumi na ongezeko la watu.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_C7AD3248k8/VCxLoXhY1mI/AAAAAAAGnJE/-Xs_GJdXdKE/s72-c/0L7C2170.jpg)
JK ataja hatua saba za kupunguza msongamano wa magari Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-_C7AD3248k8/VCxLoXhY1mI/AAAAAAAGnJE/-Xs_GJdXdKE/s1600/0L7C2170.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7_nGxaaIjTU/U6hF5sZh5lI/AAAAAAAFsaQ/OHu4QdSzcAI/s72-c/foleni+pix.jpg)
Utaratibu mpya kudhibiti msongamano wa magari Dar njiani kutangazwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-7_nGxaaIjTU/U6hF5sZh5lI/AAAAAAAFsaQ/OHu4QdSzcAI/s1600/foleni+pix.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JIYs43_D7QM/UvKC1HRnD8I/AAAAAAAFLDA/YdukefPihjk/s72-c/Picha+3.jpg)
BARABARA ZAIDI ZA KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI KUENDELEA KUJENGWA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-JIYs43_D7QM/UvKC1HRnD8I/AAAAAAAFLDA/YdukefPihjk/s1600/Picha+3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rzSLqinIQM4/VMd7Dgqgh2I/AAAAAAACyqc/Amzec61bGy4/s72-c/John-Magufuli.jpg)
Trilioni Moja kutumika kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rzSLqinIQM4/VMd7Dgqgh2I/AAAAAAACyqc/Amzec61bGy4/s1600/John-Magufuli.jpg)
SERIKALI imedhamiria kupunguza msongamano wa magari ndani ya jiji la Dar es Salaam kwakujenga barabara sita zitakazo ambazo ujenzi wake utasimamiwa na TANROADS. Ujenzi huo unatarajiwa kugharimu sh. trilioni moja ambapo lengo barabara hizo ni kupunguza adha ya msongamano wa magari katika maeneo mbalimbali ya jijini Dar es saalam.
Waziri wa Ujenzi Dkt.John Magufuli alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akiweka jiwe la msingi kuashiria uzinduzi rasmi wa ujenzi wa...
9 years ago
BBCSwahili22 Dec
UN: Boko Haram imesababisha milioni kutoroka shuleni
UNICEF, linasema kuwa mashambulizi ya Boko Haram Nigeria, yamewalazimu zaidi ya watoto milioni moja kuacha masomo.
5 years ago
LetsRun.Com21 Feb
Ethiopia's Ababel Yeshaneh Upsets Brigid Kosgei and Smashes Half Marathon World Record at 2020 RAK Half Marathon
Ethiopia's Ababel Yeshaneh Upsets Brigid Kosgei and Smashes Half Marathon World Record at 2020 RAK Half Marathon LetsRun.comBrihane shatters half marathon world record, Kandie triumphs Daily NationView Full coverage on Google News
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania