DC NDEJEMBI AMPA SIKU SABA MKANDARASI ALIYECHELEWESHA MRADI WA MAJI KUMPA MAELEZO
![](https://1.bp.blogspot.com/-d1VcTAykja8/XncGTf2lk3I/AAAAAAALkrU/inxdFQ3ggOI8vTsCben0r6NEYyiELDNXACLcBGAsYHQ/s72-c/0809acc4-02b1-436e-ab6b-170b58a53eb1.jpg)
Charles James, Globu ya Jamii
MKUU wa Wilaya ya Kongwa, Mhe Deo Ndejembi amemuagiza Mhandisi wa Maji wilaya kuanza kumkata kiasi cha fedha anachodai za siku 100 mkandarasi anaejenga mradi wa maji wa kijiji cha Mihingo.
Mradi huo unagharimu kiasi cha Sh Milioni 600 unajengwa na serikali katika kumaliza changamoto ya maji kijijini hapo lakini pia ukienda na sera ya Rais Magufuli ya kumtua ndoo mama kichwani lakini mpaka sasa umekua ukisuasua.
Baada ya kufika katika mradi huo na kujionea maendeleo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rx2rCE2749A/VL9UYEL7LjI/AAAAAAAG-l8/aJYNqs2Rb_g/s72-c/001.jpg)
WAZIRI WA MAJI ATOA SIKU 90, KWA MKANDARASI ANAESAMBAZA BOMBA LA MAJI MRADI WA MLANDIZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-rx2rCE2749A/VL9UYEL7LjI/AAAAAAAG-l8/aJYNqs2Rb_g/s1600/001.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Jan
Waziri wa Maji atoa siku 90 kwa Mkandarasi Megha Engineering anaesambaza bomba la maji mradi wa Mlandizi Kimara
Waziri wa maji Jumanne Maghembe (wa kwanza kulia) akizungumza na wakandarasi wanaojenga bomba la maji la Mlandizi Kimara Januari 20, 2015 mkoani Pwani wakati alipotembelea tembelea miradi ya maji inayosimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na maji Taka (DAWASA), kwa lengo la kupata tathimini ya mradi huo ulipofikia sasa.(Habari Picha na Philemon Solomon).
WAZIRI wa maji Jumanne Maghembe ametoa siku 90, kwa mkandarasi Megha Engineering Infrastructure Limited anaesambaza bomba la maji mradi wa...
5 years ago
MichuziAWESO AMWEKA NDANI MKANDARASI WA MAJI MKINGA KUSHINDWA KUSIMAMIA MRADI WA MAJI MBUTA
NAIBU Waziri wa Maji Juma Aweso katika akiwa na Mbunge wa Jimbo la Mkinga (CCM) Dastani Kitandula kulia na Mkuu wa wilaya ya Mkinga Mark Yona wakitoka kukagua moja ya miradi ya maji inayotekelezwa wilayani humo
NAIBU Waziri wa Maji Jumaa Aweso kulia akiteta jamboi na Diwani wa Kata Mwakijembe kushoto kulia ni Mkuu wa wilaya ya Mkinga Mark Yonna
Mhandisi wa Wakala wa Maji Vijiji (Ruwasa) wilaya ya Mkinga Castory Keneth katika akiwa chini ya ulinzi wa askari kufuatia Naibu Waziri wa Maji...
5 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI AWESO AMWEKA NDANI MKANDARASI WA MAJI MKINGA KUSHINDWA KUSIMAMIA MRADI WA MAJI MBUTA
NAIBU Waziri wa Maji Juma Aweso ameliamuru Jeshi la Polisi wilayani Mkinga kumkatama Mhandisi wa Wakala wa Maji Vijiji (Ruwasa) wilaya ya Mkinga Castory Keneth kutokana na kushindwa kusimamia mradi wa maji wa Mbuta na kupelekea kushindwa kukamilika kwa wakati huku wananchi wakiendelea kutekeseka kupata huduma hiyo muhimu.
Mradi huo ulianza 2013 ambapo serikali ilitoa kiasi cha zaidi ya milioni 400 lakini utekelezaji wake ulishindwa kukamilika na kupeleke tatizo la maji kwenye eneo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yjjke11COdo/XkWGfaDhM9I/AAAAAAABKc0/4cQB69w_HGU5muWYZsilKoaNcGtKt56uwCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200213-WA0102.jpg)
MKANDARASI UJENZI WA MRADI WA MAJI MKURANGA ATAKIWA KUPUNGUZA GHARAMA
Waziri wa Maji Prof Makame Mbarawa amewaagiza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kukaa chini na mkandarasi anayejenga mradi wa maji Mkuranga kupunguza gharama za ujenzi
Hayo yamesemwa wakati wa ziara ya kutembelea miradi ya maji katika wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani. Katika ziara hiyo pia ameambatana na Mbunge wa Jimbo hilo Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega pamoja na wataalamu wa maji.
Mbarawa amesema, Dawasa wakae...
10 years ago
GPLMKUU WA WILAYA YA KINONDONI AIPA SIKU SABA HOSPITALI YA TMJ KUACHA KUTIRIRISHA MAJI TAKA
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-dAJnCH7SeEY/VfsBGDy_lxI/AAAAAAAAZc0/CA9CwhMTHbU/s72-c/image%2B%25282%2529.jpg)
MKURANGA KUFAIDIKA NA MRADI WA MAJI YA KISIMA UTAKAOZALISHA LITA MILIONI 1.8 KWA SIKU
![](http://2.bp.blogspot.com/-dAJnCH7SeEY/VfsBGDy_lxI/AAAAAAAAZc0/CA9CwhMTHbU/s640/image%2B%25282%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ggd6H9aRbxw/VfsBHA-8WPI/AAAAAAAAZc8/cRQSiqCgrMg/s640/image%2B%25283%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pNoX8vioChw/Xk_nlThycaI/AAAAAAALess/xcONPgfkcd0QfLqqbu8kFU-jt6ApqEyhwCLcBGAsYHQ/s72-c/5R7A9709AA-1024x682.jpg)
CCM YATOA SIKU 30 KUKAMILISHWA KWA MRADI WA MAJI KILINDINI – MICHEWENI, KASKAZINI PEMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-pNoX8vioChw/Xk_nlThycaI/AAAAAAALess/xcONPgfkcd0QfLqqbu8kFU-jt6ApqEyhwCLcBGAsYHQ/s640/5R7A9709AA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/5R7A9727AA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/5R7A9763AA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/5R7A9781AA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/5R7A9800AA-1024x682.jpg)
Akiwa katika ziara ya kukagua na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2015 – 2020 katika Mkoa wa Kaskazini Pemba, Wilaya ya Micheweni, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi Ndugu Humphrey Polepole amesema Chama Cha Mapinduzi kimetoa siku 30 kukamilishwa kwa mradi wa maji Wilaya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bcR5gI3u_Bc/XqBwJ7w5nCI/AAAAAAALn2M/SBP5e8FfrmEd1OFPBtogYY8yGCiQck44QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200422-WA0049.jpg)
DC ATOA SIKU SABA KWA MHANDISI WA JIJI LA ARUSHA KUWEKA MAJI KWENYE JENGO LA KITUO CHA AFYA MURIET
![](https://1.bp.blogspot.com/-bcR5gI3u_Bc/XqBwJ7w5nCI/AAAAAAALn2M/SBP5e8FfrmEd1OFPBtogYY8yGCiQck44QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200422-WA0049.jpg)
Mkuu wa wilaya na kamati ya ulinzi na usalama ya Jiji la Arusha wakikagua madarasa kwenye Shule ya Sekondari Sombetini jijini Arusha Jana picha na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG-20200422-WA0046.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro akiongea mara baada ya kukagua ujenzi wa madarasa kwenye Shule ya Sekondari Sombetini na kutoa siku Saba kwa mhandisi kuhakikisha wanaweka maji kwenye kituo Cha Afya huku akipongeza Ujenzi wa madarasa hayo na kutaka yakamilike kwa wakati picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG-20200422-WA0043.jpg)
Afisa elimu...