Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC NDEJEMBI AMPA SIKU SABA MKANDARASI ALIYECHELEWESHA MRADI WA MAJI KUMPA MAELEZO

Charles James, Globu ya Jamii

MKUU wa Wilaya ya Kongwa, Mhe Deo Ndejembi amemuagiza Mhandisi wa Maji wilaya kuanza kumkata kiasi cha fedha anachodai za siku 100 mkandarasi anaejenga mradi wa maji wa kijiji cha Mihingo.

Mradi huo unagharimu kiasi cha Sh Milioni 600 unajengwa na serikali katika kumaliza changamoto ya maji kijijini hapo lakini pia ukienda na sera ya Rais Magufuli ya kumtua ndoo mama kichwani lakini mpaka sasa umekua ukisuasua.

Baada ya kufika katika mradi huo na kujionea maendeleo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA MAJI ATOA SIKU 90, KWA MKANDARASI ANAESAMBAZA BOMBA LA MAJI MRADI WA MLANDIZI

Waziri wa maji ,Jumanne Maghembe (wa kwanza kulia) akizungumza na wakandarasi wanaojenga bomba la maji la Mlandizi Kimara Januari 20, 2015 mkoani Pwani wakati alipotembelea miradi ya maji inayosimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na maji Taka (DAWASA), kwalengo la kupata tathimini ya mradi huo ulipofikia sasa.Waziri wa maji Jumanne Mghembe (wa pili kulia) akiwa ameongozana na meneja mradi Pintu Dutta (watatu kulia) wakati akikagua maendeleo ya mradi wa kituo cha kusafisha maji cha ruvu juu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri wa Maji atoa siku 90 kwa Mkandarasi Megha Engineering anaesambaza bomba la maji mradi wa Mlandizi Kimara

001

Waziri wa maji Jumanne Maghembe (wa kwanza kulia) akizungumza na wakandarasi wanaojenga bomba la maji la Mlandizi Kimara Januari 20, 2015 mkoani Pwani wakati alipotembelea tembelea miradi ya maji inayosimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na maji Taka (DAWASA),  kwa lengo la kupata tathimini ya mradi huo ulipofikia sasa.(Habari Picha na Philemon Solomon).

WAZIRI wa maji Jumanne Maghembe ametoa siku 90, kwa mkandarasi Megha Engineering Infrastructure Limited  anaesambaza bomba la maji mradi wa...

 

5 years ago

Michuzi

AWESO AMWEKA NDANI MKANDARASI WA MAJI MKINGA KUSHINDWA KUSIMAMIA MRADI WA MAJI MBUTA



NAIBU Waziri wa Maji Juma Aweso katika akiwa na Mbunge wa Jimbo la Mkinga (CCM) Dastani Kitandula kulia na Mkuu wa wilaya ya Mkinga Mark Yona wakitoka kukagua moja ya miradi ya maji inayotekelezwa wilayani humo
NAIBU Waziri wa Maji Jumaa Aweso kulia akiteta jamboi na Diwani wa Kata Mwakijembe kushoto kulia ni Mkuu wa wilaya ya Mkinga Mark Yonna
Mhandisi wa Wakala wa Maji Vijiji (Ruwasa) wilaya ya Mkinga Castory Keneth katika akiwa chini ya ulinzi wa askari kufuatia Naibu Waziri wa Maji...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI AWESO AMWEKA NDANI MKANDARASI WA MAJI MKINGA KUSHINDWA KUSIMAMIA MRADI WA MAJI MBUTA


NAIBU Waziri wa Maji Juma Aweso ameliamuru Jeshi la Polisi wilayani Mkinga kumkatama Mhandisi wa Wakala wa Maji Vijiji (Ruwasa) wilaya ya Mkinga Castory Keneth kutokana na kushindwa kusimamia mradi wa maji wa Mbuta na kupelekea kushindwa kukamilika kwa wakati huku wananchi wakiendelea kutekeseka kupata huduma hiyo muhimu.

Mradi huo ulianza 2013 ambapo serikali ilitoa kiasi cha zaidi ya milioni 400 lakini utekelezaji wake ulishindwa kukamilika na kupeleke tatizo la maji kwenye eneo...

 

5 years ago

Michuzi

MKANDARASI UJENZI WA MRADI WA MAJI MKURANGA ATAKIWA KUPUNGUZA GHARAMA

Na Zainab Nyamka,Globu ya Jamiii
Waziri wa Maji  Prof Makame Mbarawa amewaagiza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kukaa chini na mkandarasi anayejenga mradi wa maji Mkuranga kupunguza gharama za ujenzi 
Hayo yamesemwa wakati wa ziara ya kutembelea miradi ya maji katika wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani. Katika ziara hiyo pia ameambatana na Mbunge  wa Jimbo hilo Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega pamoja na wataalamu wa maji.
Mbarawa amesema, Dawasa wakae...

 

10 years ago

GPL

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI AIPA SIKU SABA HOSPITALI YA TMJ KUACHA KUTIRIRISHA MAJI TAKA

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paulo Makonda akimhoji fundi bomba wa Hospitali ya TMJ, Mansool Mramba kuhusiana na hospitali hiyo kutiririsha majitaka. Makonda (katikati) akiangalia moja ya mitaro huku akishuhudiwa na Muhandishi wa Barabara wa Manispaa ya Kinondoni, Ismail Mafita.…

 

9 years ago

Vijimambo

MKURANGA KUFAIDIKA NA MRADI WA MAJI YA KISIMA UTAKAOZALISHA LITA MILIONI 1.8 KWA SIKU

Afisa Uhusiano wa Jamii wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (DAWASA), Mecky Mdaku, akigusa maji yanayotiririka kutoka kwenye kisima kirefu chenye urefu wa mita 541, eneo la Mkwalia, wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani leo Septemba 17, 2015. Kisima hicho kinamechimbwa na Kampuni ya Uchimbaji wa Visima ya ZENTAS kutoka Uturuki.na kinatarajiwa kuzalisha maji lita milioni 1.8 kwa siku.Kiongozi wa waendesha mitambo ya uchimbaji visima wa kampuni ya ZENTAS Bw. Sima Teodor ( kushoto) akitoa maelezo...

 

5 years ago

Michuzi

CCM YATOA SIKU 30 KUKAMILISHWA KWA MRADI WA MAJI KILINDINI – MICHEWENI, KASKAZINI PEMBA

……………………………………………………
Akiwa katika ziara ya kukagua na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2015 – 2020 katika Mkoa wa Kaskazini Pemba, Wilaya ya Micheweni, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi Ndugu Humphrey Polepole amesema Chama Cha Mapinduzi kimetoa siku 30 kukamilishwa kwa mradi wa maji Wilaya...

 

5 years ago

Michuzi

DC ATOA SIKU SABA KWA MHANDISI WA JIJI LA ARUSHA KUWEKA MAJI KWENYE JENGO LA KITUO CHA AFYA MURIET



Mkuu wa wilaya na kamati ya ulinzi na usalama ya Jiji la Arusha wakikagua madarasa kwenye Shule ya Sekondari Sombetini jijini Arusha Jana picha na Ahmed Mahmoud Arusha.
Mkuu wa wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro akiongea mara baada ya kukagua ujenzi wa madarasa kwenye Shule ya Sekondari Sombetini na kutoa siku Saba kwa mhandisi kuhakikisha wanaweka maji kwenye kituo Cha Afya huku akipongeza Ujenzi wa madarasa hayo na kutaka yakamilike kwa wakati picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.

Afisa elimu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani