DCB KUFANYA MKUTANO WA WANAHISA JUNI 27 JIJINI DAR
Takriban wanahisa 7,000 wa Benki ya DCB wanatarajiwa kufanya Mkutano Mkuu wa Mwaka Jumamosi ya Juni 27 mwaka huu kwa njia ya mtandao.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Godfrey Ndalahwa, amesema hiyo itakuwa ni mara ya kwanza kwa mkutano huo kufanyika kidijitali.
“Ninawakaribisha wanahisa wote katika mkutano huo utakaoanza saa nne asubuhi, utakaotoa fursa kwa Benki na wanahisa kutathimini mkakati wa miaka mitano tuliojiwekea,” anasema Ndalahwa.
Hatua ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Klvx9YpDpUs/VUsh9mKoCVI/AAAAAAABY80/bx0zT25HN30/s72-c/kimei.jpg)
BENKI YA CRDB KUFANYA MKUTANO WA ISHIRINI WA WANAHISA JIJINI ARUSHA
Kufuatia anguko la shilingi ya Tanzania dhidi ya dola wafanyabiashara nchini wametakiwa kuona kuwa ni fursa ya wao kijiinua kiuchumi katika biashara zao ndani na nje ya nchi na kuachana na propaganda za wanasiasa ambapo wanalalamikia anguko hilo.
Ambapo hali hiyo imesababisha kupanda kwa bidhaa mbalimbali nchini hali inayotajwa kuongeza ugumu wa maisha ya wananchi sambamba na wafanyabiashara nchini ambao wananunua na kuagiza bizaa kutika nje ya nchi. Hayo yameelezwa...
10 years ago
Dewji Blog07 May
Benki ya CRDB kufanya mkutano wa ishirini wa wanahisa Jijini Arusha kesho
Mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB Dr,Charles Kimei akiongea na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini Arusha akitoa taarifa ya mkutano mkuu wa ishirini wa wanahisa wa Benki ya Crdb unatarajia kufanyika kesho jijini Arusha. (Habari Picha na Pamela Mollel wa Jamiiblog).
Mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB, Dr. Charles Kimei, akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari jijini Arusha. Kushoto ni Naibu Mkurugenzi mtendaji huduma mtambuka benki ya CRDB Bi.Esther...
10 years ago
GPLMKUTANO MKUU WA MWAKA WA WANAHISA WA TPCC WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-La-xeaSTh3Q/VTcvS2Ztt5I/AAAAAAAHSZg/I9E17UIepAc/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
MKUTANO MKUU WA MWAKA WA WANAHISA WA TANZANIA PORTLAND CEMENT COMPANY(TPCC)WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-La-xeaSTh3Q/VTcvS2Ztt5I/AAAAAAAHSZg/I9E17UIepAc/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9VADKfYJI38/VTcvS8bXXgI/AAAAAAAHSZs/RILBHWW4FZc/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KfmR_To1vGg/VTcvS8REWdI/AAAAAAAHSZk/RwVkbFlslfw/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
UTT-PID yashiriki mkutano wa mwaka wa Wanahisa wa UTT-AMIS jijini Dar es Salaam!
Maafisa masoko wa UTT-PID, Laurence Nzuki (kushoto) na Martin Mchanjila (katikati) wakitoa maelezo kwa baadhi ya watu waliotembelea kwenye banda hilo la UTT-PID wakati wa mkutano huo wa mwaka wa Wanahisa wa UTT-AMIS uliofanyika mwishoni mwa wiki, Novemba 21-22.2015, Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) inafanya miradi mbalimbali ikiwemo huduma za uuzwaji wa viwanja katika...
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAFANYA MKUTANO MKUU WA 19 WA WANAHISA WAKE JIJINI ARUSHA
9 years ago
VijimamboMSUYA AONGOZA MKUTANO MKUU WA 42 WA WANAHISA DAR
5 years ago
MichuziKamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma kufanya mkutano wake wa kisheria mwaka wa fedha 2019/2020 jijini dar
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bapb0hcR0Yg/Xnixt20uv8I/AAAAAAALkyY/ghAkPEwG_-8HMXhaqiJjnfV5N_Cj3l84ACLcBGAsYHQ/s1600/PRESS%2BRELEASE%2BMKUTANO%2BWA%2BTUME%2BNAMBA%2B%2B3%2B-%2B2019-20.jpg)
9 years ago
MichuziBENKI YA DCB YAKUTANISHA VIONGOZI WA SACCOS JIJINI DAR ES SALAAM
Amesema wataendelea kushirikiana na SACCOs kuangalia watavyoweza kusaidiana katika kuimarisha saccos pamoja na...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10