DCB yasaidia vitanda 21 hospitali za Dar
Benki ya DCB imetoa vitanda 21 vya wajawazito vyenye thamani ya Sh17.5 milioni kwa hospitali za Amana, Temeke na Mwananyamala za jijini Dar es Salaam. Kila hospitali imepatiwa vitanda saba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-5YEgIlUuWio/VnRp0W844lI/AAAAAAAAsYY/FzxdmWsnDZ4/s72-c/17.jpg)
CHINA YASAIDIA VITANDA 60 VYA KUJIFUNGULIA WAKINA MAMA KWA MKOA WA LINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-5YEgIlUuWio/VnRp0W844lI/AAAAAAAAsYY/FzxdmWsnDZ4/s640/17.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iR5eIh20-SI/VnRpzgNXVQI/AAAAAAAAsYQ/_4mh77TAMV0/s640/18.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Cu9zZBMLJwA/VnRp1LZAawI/AAAAAAAAsYg/Y8Wu_9Hq2EI/s640/20.jpg)
11 years ago
Dewji Blog09 Jul
DCB Benki watambulisha DCB Jirani na DCB Mobile Sabasaba
Baadhi ya wananchi waliotembelea Banda la DCB Commercial Bank kwenye maonesho ya kimataifa ya biashara maarufu kama SabaSaba wakipata maelezo juu ya huduma mbalimbali za DCB Commercial Bank.
Baadhi ya wananchi waliotembelea Banda la DCB Commercial Bank kwenye maonesho ya kimataifa ya biashara maarufu kama SabaSaba wakipata maelezo juu ya huduma mbalimbali za DCB Commercial Bank.
Baadhi ya wananchi wakitembelea Banda la DCB Commercial Bank kwenye maonesho ya kimataifa ya biashara maarufu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_gNKJEddIsQ/XtZnZ1LJYMI/AAAAAAALsWQ/2-1LUc2ZQvsEvPqCqrvXNHlw31TppmvbACLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-Ukerewe1AAA-768x512.jpg)
Asasi ya Vodacom Tanzania Foundation yasaidia wanafunzi Ukerewe, yatoa msaada wa vitanda, magodoro na vifaa vya kukabiliana na majanga
![](https://1.bp.blogspot.com/-_gNKJEddIsQ/XtZnZ1LJYMI/AAAAAAALsWQ/2-1LUc2ZQvsEvPqCqrvXNHlw31TppmvbACLcBGAsYHQ/s640/Pic-Ukerewe1AAA-768x512.jpg)
5 years ago
MichuziDCB FURSA MPYA YA ELIMU KWA WATANZANIA HADI CHUO KIKUU KUPITIA AKAUNTI ZA DCB SKONGA NA DCB MINI SKONGA.
======= ======== ========
KATIKA kuhakikisha wazazi na walezi wanakuwa na uhakika wa elimu ya watoto wao, Benki ya Biashara ya DCB imeongeza fursa zaidi kupitia akaunti yake DCB SKONGA kwa kuongeza DCB MINI SKONGA Ili kuunga mkono...
10 years ago
Dewji Blog03 Sep
Hospitali ya vitanda 1000 kunufaisha kanda ya ziwa
Moja kati ya nyumba 10 zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa Tanzania { NHC } zilizopoa katika eneo la Madewa Veta Mkoani Singida.
Na Othman Ame, Zanzibar
Mikoa Sita ya Kanga ya Kati ya Tanzania inatarajiwa kufaidika na huduma za Afya zilizolengwa kutolewa baada ya kukamilika kwa mradi mkubwa wa Kimataifa wa Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Singida ambayo tayari mwaka uliopita imeshaanza kutoa huduma za akina mama na Watoto.
Hospitali hiyo yenye vitanda 1,000 vya kulazwa wagonjwa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-g-03eFClYj0/VmWMB_Af17I/AAAAAAAAdHs/ipGejoR5j8E/s72-c/b3.jpg)
PSPF YAIPATIA HOSPITALI YA TEMEKE VITANDA, MAGODORO NA MASHUKA
Msaada huo ambao ni utekelezaji wa maombi ya Mbunge wa viti maalum, Angela Kairuki, alioutoa kwa uongozi wa PSPF, baada ya kutembelea hospitali hiyo wakati akiwa naibu waziri wa Sheria na Katiba, na kukuta akina mama wajawazito waliofika hospitalini hapo kujifungua wengine wakilala chini kutokana na uhaba...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oEIndExlq88/VlC_kkNH5WI/AAAAAAAIHsU/lxGL64ZdoPA/s72-c/mm.png)
Agizo la Rais Magufuli kuhusu kununuliwa vitanda hospitali ya Muhimbili latekelezwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-oEIndExlq88/VlC_kkNH5WI/AAAAAAAIHsU/lxGL64ZdoPA/s640/mm.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Agizo alilolitoa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli la kutaka fedha zilizochangwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kugharamia hafla ya wabunge zipelekwe Katika hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya kununulia vitanda na magodoro ya wagonjwa wanaolala chini limetekelezwa.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema fedha hizo zimefanikisha kupatikana vitanda 300 vya wagonjwa pamoja na magodoro yake, shuka 600, Baiskeli za...
10 years ago
Michuzi13 Nov
NHIF yasaidia ujenzi wa wodi ya watoto ya hospitali teule ya Dr. Artiman,Sumbawanga
![](https://2.bp.blogspot.com/-1MeQ6K3BAXE/VGTGqOmOsqI/AAAAAAAGxAM/xdhBfZ365rw/s640/DV6A0028.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-sqnD9M7ijxM/VGTGrF_VTMI/AAAAAAAGxAU/N-mD3TF7QBU/s640/DV6A0084.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-aFGLjZuIs8c/VGTGqCIOQeI/AAAAAAAGxAE/SjkDNerhKic/s640/DV6A0031.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bLBTh9i3Y2Q/VN372NKE5nI/AAAAAAAHDh4/8GYokPjduf8/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
DCB yang'arisha Kongamano la Wajasiriamali Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-bLBTh9i3Y2Q/VN372NKE5nI/AAAAAAAHDh4/8GYokPjduf8/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0XTycMVaNBw/VN372N4vWgI/AAAAAAAHDh8/TYebnJcWRRg/s1600/unnamed%2B(31).jpg)