Hospitali ya vitanda 1000 kunufaisha kanda ya ziwa
Moja kati ya nyumba 10 zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa Tanzania { NHC } zilizopoa katika eneo la Madewa Veta Mkoani Singida.
Na Othman Ame, Zanzibar
Mikoa Sita ya Kanga ya Kati ya Tanzania inatarajiwa kufaidika na huduma za Afya zilizolengwa kutolewa baada ya kukamilika kwa mradi mkubwa wa Kimataifa wa Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Singida ambayo tayari mwaka uliopita imeshaanza kutoa huduma za akina mama na Watoto.
Hospitali hiyo yenye vitanda 1,000 vya kulazwa wagonjwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi22 Dec
DCB yasaidia vitanda 21 hospitali za Dar
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-g-03eFClYj0/VmWMB_Af17I/AAAAAAAAdHs/ipGejoR5j8E/s72-c/b3.jpg)
PSPF YAIPATIA HOSPITALI YA TEMEKE VITANDA, MAGODORO NA MASHUKA
Msaada huo ambao ni utekelezaji wa maombi ya Mbunge wa viti maalum, Angela Kairuki, alioutoa kwa uongozi wa PSPF, baada ya kutembelea hospitali hiyo wakati akiwa naibu waziri wa Sheria na Katiba, na kukuta akina mama wajawazito waliofika hospitalini hapo kujifungua wengine wakilala chini kutokana na uhaba...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yKSxyS5Ed2w/Xrr648Zvj7I/AAAAAAALp_M/NCH3ThnMSAAK2u779YLAzklKNV0OB7rgwCLcBGAsYHQ/s72-c/0b30eed9-53fd-4404-aee8-0d9d4d1797f3.jpg)
WAUGUZI HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA WATOA ZAWADI YA CHEREHANI KWA HOSPITALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-yKSxyS5Ed2w/Xrr648Zvj7I/AAAAAAALp_M/NCH3ThnMSAAK2u779YLAzklKNV0OB7rgwCLcBGAsYHQ/s640/0b30eed9-53fd-4404-aee8-0d9d4d1797f3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-t-iSku1E-A4/Xrr64wajdSI/AAAAAAALp_Q/v9ggvbcwqQAgHJ79p3D8dTN-pzby39uZwCLcBGAsYHQ/s640/46253368-5df7-4c6f-8fc6-2db91d438d1f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-fABH6vnVGNA/Xrr64IqKMII/AAAAAAALp_I/SVAnEdUVZ8sWTt7s0dgvTEb4TH6RMyqlgCLcBGAsYHQ/s640/c65bc8e3-1bda-4181-bacd-fb3d35945366.jpg)
Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, leo wamekabidhi zawadi ya mashine ya cherehani yenye thamani ya shilingi 1,500,000/= MZRH ikiwa ni mchango wao wa alama ya upendo katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wauguzi duniani.
Akizungumza katika makabidhiano hayo Mwenyekiti wa Chama cha...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oEIndExlq88/VlC_kkNH5WI/AAAAAAAIHsU/lxGL64ZdoPA/s72-c/mm.png)
Agizo la Rais Magufuli kuhusu kununuliwa vitanda hospitali ya Muhimbili latekelezwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-oEIndExlq88/VlC_kkNH5WI/AAAAAAAIHsU/lxGL64ZdoPA/s640/mm.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Agizo alilolitoa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli la kutaka fedha zilizochangwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kugharamia hafla ya wabunge zipelekwe Katika hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya kununulia vitanda na magodoro ya wagonjwa wanaolala chini limetekelezwa.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema fedha hizo zimefanikisha kupatikana vitanda 300 vya wagonjwa pamoja na magodoro yake, shuka 600, Baiskeli za...
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Mashabiki kanda ya Ziwa wastaarabu.
10 years ago
Mwananchi05 Dec
Mbili kutoka Kanda ya Ziwa
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vJSFiOyZSXVQ5DuD1Qace9dDRPZtINoNG22-WYX83HqDgiupkHqnpoqNecrgirS0f8wnmXHo29ODi1eqyT1URYlkPvXSjDCk/3.jpg?width=650)
MAGUFULI GUMZO KANDA YA ZIWA!
10 years ago
Vijimambo"IMETOSHA" YAJITAMBULISHA KANDA YA ZIWA
9 years ago
Habarileo16 Aug
Waandishi Kanda ya Ziwa wafundwa
WAANDISHI wa habari nchini, wametakiwa kutekeleza wajibu wao kwa kufuata maadili na misingi ya uandishi wa habari hususan za uchunguzi wakati huu wa kuelekea Uchaguzi Mkuu.