Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DE GEA MCHEZAJI BORA WA MAN UTD 2014/15

Kipa wa Manchester United, David De Gea (kulia) akiojiwa na Jim Rosethal (katikati) baada ya kushinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2014/15 wa Man Utd usiku wa kuamkia leo. David De Gea (katikati) alipokuwa akiwasili katika tuzo za Mchezaji bora wa mwaka wa Man Utd.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DE GEA AANZA MAZOEZI NA MAN UTD

Kipa wa Manchester Utd, David de Gea akifanya mazoezi. Wayne Rooney (kushoto) na Michael Carrick (kulia) wakiwaongoza wenzao kupasha katika Uwanja wa Seattle, Amerika.…

 

5 years ago

Goal.Com

De Gea future uncertain ahead of Man Utd summer transfer window

De Gea future uncertain ahead of Man Utd summer transfer window  Goal.comView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Mirror Online

Man Utd keeper David de Gea makes €300k donation to fight coronavirus in Madrid

Man Utd keeper David de Gea makes €300k donation to fight coronavirus in Madrid  Mirror OnlineView Full coverage on Google News

 

5 years ago

The Sun

Man Utd news LIVE: Why Dybala move failed, De Gea Real Madrid transfer back on, Chelsea eye Henderson

Man Utd news LIVE: Why Dybala move failed, De Gea Real Madrid transfer back on, Chelsea eye Henderson  The SunSterling addresses 11-game goal drought & awful record against Man Utd ahead of City's derby date  Goal.comManchester City to open Kevin De Bruyne, Raheem Sterling contract talks?  Sports Mole6.30pm Man Utd news LIVE: Pogba’s coronavirus message, Ighalo and players wear masks to training, Prem off u  The SunVideo: Premier League: 5 things - Man United complete league double over...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tuzo ya BBC ya mchezaji bora wa Afrika 2014

Tuzo ya BBC ya mchezaji bora wa Afrika mwaka wa 2014 imetangazwa

 

10 years ago

GPL

MAN UTD YATINGA TATU BORA LIGI KUU ENGLAND

Mshambuliaji wa Manchester United, Van Persie akifunga bao la kwanza dakika ya 12 kipindi cha kwanza dhidi ya Southampton kwenye Uwanja wa St. Marys usiku wa kuamkia leo. Van Persie akiongea na mashabiki baada ya kufunga bao.…

 

10 years ago

GPL

BRAHIMI ASHINDA TUZO YA BBC YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA 2014 AFRIKA

Yacine Brahimi akiwa na tuzo yake ya BBC. MSHINDI wa tuzo ya BBC ya mchezaji bora wa mwaka 2014 Afrika imekwenda kwa mchezaji wa Algeria na nyota wa Porto, Yacine Brahimi. Hapajawahi kutokea katika miaka 23 ya historia ya shindano hilo kwa mchezaji bora kutoka Algeria kuishinda tuzo hiyo, lakini Brahimi amefanikiwa kutwaa tuzo hiyo baada ya mwaka uliokuwa na mbwembwe nyingi. Brahimi amewabwaga wachezaji wengine nyota wakiwemo,...

 

11 years ago

GPL

FIFA YATAJA WACHEZAJI 10 WANAOWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA KOMBE LA DUNIA 2014

Orodha kamili:
- Angel Di Maria (Argentina)
- Mats Hummels (Germany)
- Toni Kroos (Germany)
- Philipp Lahm (Germany)
- Javier Mascherano (Argentina)
- Lionel Messi (Argentina)
- Thomas Muller (Germany)
- Neymar (Brazil)
- Arjen Robben (Netherlands)
- James Rodriguez (Colombia)
Haya ni majina ya washindi wa tuzo hiyo katika mashindano ya Kombe la FIFA la dunia miaka iliyopita:
1982 FIFA World Cup Spain: Paolo Rossi...

 

11 years ago

Bongo5

FIFA yataja wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa kombe la dunia 2014 ‘World Cup Golden Ball Award’, Neymar na Messi waingia

Nyota wa Argentina Lionel Messi na nyota wa Brazil, Neymar ni miongoni mwa wachezaji 10 bora katika michuano ya mwaka huu, waliotajwa kuwania nafasi ya kuwa mchezaji bora wa Kombe la dunia 2014. FIFA jana jioni (July 11) imetoa orodha ya majina ya wachezaji 10 waliotajwa kuwania tuzo hiyo. Wachezaji wengine 7 kwenye orodha hiyo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani