Diamond Atoa Kiapo, Wema Ajibu Mapigo
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ amefungukia msimamo wake juu ya mwandani wake wa zamani, Wema Sepetu ‘Madam’ kwa kusema kuwa kamwe hawezi kumrudia tena.
Licha ya Diamond kufunguka hayo, wawili hao wamekuwa na mapenzi ya vipindi, kuna wakati waliwahi kumwagana kisha kurudiana na hakuna aliyewahi kutoa tamko zito lakini safari hii Diamond amesema ndiyo basi tena!
Kwa mujibu wa chanzo makini cha gazeti la Risasi kilicho karibu na staa huyo, mara kwa mara Diamond amekuwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWAKATI DIAMOND AKIMTESA NA ZALI, WEMA AJIBU MAPIGO
10 years ago
Vijimambo10 Jun
SUPER STAR DIAMOND AFUNGUKA LIVE: BORA NIFE KULIKO KUMRUDIA WEMA, WEMA NAYE AJIBU MASHAMBULIZI ILE MBAYA
KIAPO! Kuonesha kwamba hana mpango wa kurudi nyuma, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ amefungukia msimamo wake juu ya mwandani wake wa zamani, Wema Sepetu ‘Madam’ kwa kusema kuwa kamwe hawezi kumrudia tena, Risasi Jumamosi lina mkanda kamili.Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’.Licha ya Diamond kufunguka hayo, wawili hao wamekuwa na mapenzi ya vipindi, kuna wakati waliwahi kumwagana kisha kurudiana na hakuna aliyewahi kutoa tamko zito lakini safari hii...
10 years ago
Bongo Movies17 Feb
Zari Ajibu Kejeli za Wema Kuhusu Ujauzito Aliyopewa na Diamond!
Mrembo na mjasiliamali kutoka Uganda, Zari Hassan ameonekana kushangazwa na kitendo cha mwigizaji Wema Sepetu kukejeli ujauzizo alionao ambao amepewa na Diamond ambae alikuwa mpezi wa Wema.
Mbali na watu kadhaa ambao wamejinasibisha mitandao kuwa wao hawayapendi mahusiano ya Zari na Diamond kusambaza mtandaoni picha ya Zari ikiwa na maneno ya kejeli kuhusu mimba aliyonayo, Wema nae alishiriki kuiweka picha hiyo yenye maneno ya kejeli yanayosomeka ‘Mimba My Foot” kama yanavyosomeka kwenye...
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Manji ajibu mapigo
9 years ago
Mwananchi30 Aug
Sumaye ajibu mapigo ya CCM
9 years ago
Vijimambo21 Sep
Kiiza ajibu mapigo Yanga
Yanga juzi iliifunga JKT Ruvu mabao 4-1 na kufikisha pointi tisa, sawa na Simba zikiwa zimetofautiana uwiano wa mabao. Mechi hiyo ilianza kwa kushambuliana kwa zamu na Kiiza...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Sugu ajibu mapigo ya CCM
BAADA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), kumshambulia Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (CHADEMA), ukimuita mpangaji katika jimbo hilo, amewajibu akisema kuwa wanaota ndoto za mchana....
11 years ago
Tanzania Daima08 Aug
Chiku Abwao ajibu mapigo
MBUNGE wa Viti Maalum, Chiku Abwao (Chadema), amewashukia wanaomzushia kuwa amewasaliti wenzake wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), na kuhudhuria vikao vya Bunge Maalum la Katiba linaloendelea mjini hapa....