Diamond kuburudika na watoto Leaders
MSANII nyota wa muziki wa kizazi kipya Nassib Abdul ‘Diamond Platinumz’ na kundi lake la wasafi, kesho watafanya onesho maalumu kwa ajili ya watoto litakalofanyika katika viwanja vya Leaders, jijini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLDIAMOND APAGAWISHA WATOTO LEADERS CLUB
10 years ago
Vijimambo16 Jan
UNAJUA WATOTO WATATU WA DEMU WA DIAMOND ZARI__WAONE HAPA__PIA KAWAJIBU WALE WANAOSEMA ANAKULA BATA TU NA DIAMOND HUKU KAWAACHA WATOTO WAKE WANATESEKA

5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Virusi vya corona: Jinsi unavyoweza kuburudika wakati unapokuwa umejitenga
10 years ago
TheCitizen12 Aug
Hats, batons, walking sticks: soft features of leaders leaders op political leaders
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Vijimambo25 Jan
HABARI NDIYO HII ALIKIBA NA DIAMOND KWENYE SHOW YA TIGO LEADERS


Kiba 4ril waliotaka kuanza kumrushia MAKOPO akawatuliza kwa bonge la show lililojaa ril VOKAL siku hizi anajua kudance pia, Mwisho wa siku wote wako poa kuna tofauti kati ya USHINDANI na BEEF wa tz wengi hatuelewi, ikifa SIMBA timu YANGA itacheza na nani? BE GUD!
10 years ago
Dewji Blog04 Nov
Doris Mollel Foundation (DMF) yaandaa tamasha kubwa la kusaidia watoto Njiti nchini, Nov 8 Leaders Club
Mwenyekiti wa Mfuko wa Doris Mollel Foundation, Bi. Doris Mollel akiwakaribisha wageni mbalimbali na wanahabari wakati wa utambulisho maalum juu ya tamasha linalotarajiwa kufanyika siku ya Jumapili Novemba 8, katika viwanja vya Leaders Club, jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu Idara ya Afya, uzazi na watoto, Bi. Georgina Msemo na kulia kwake ni Dk. Sonal Peter ambaye ni daktari wa watoto (Pediatrician) kutoka Hospitali ya Agha Khan. (Picha zote na Andrew Chale,...
11 years ago
Michuzi
Lady Jay Dee kung’arisha tamasha la watoto ‘Extreme Kids Festival’ May 31 na June 1, uwanja wa Leaders Club

Lady Jay Dee atajumuika na watoto watakaohudhuria tamasha hilo, atawaongoza kuimba nyimbo mbalimbali ili kuwahamasisha kuonesha vipaji vyao na atawapa zawadi wale watakaofanya vizuri zaidi.
“Watoto Mambo vipi, Jay Dee nawakaribisha watoto wote pamoja na wazazi na walezi. Mje basi katika...
10 years ago
Vijimambo08 Jul
‘WATOTO’ WA DIAMOND WARUDISHWA SHULENI

Gladness Mallya na Gabriel Ng’osha GPL
BAADA ya vuta nikuvute ya wazazi wa wanafunzi, Hilary na Hamis ‘watoto wa Diamond’ walioshinda katika shindano la kucheza Ngololo mwaka jana na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuahidi kuwasomesha katika shule ya East Africa International iliyopo Mikocheni, Dar huku akishindwa kuwalipia ada na watoto hao kurudishwa nyumbani, hatimaye wamerejeshwa tena shuleni.
Baada ya gazeti hili kuripoti habari...