Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND APAGAWISHA WATOTO LEADERS CLUB

Diamond akitoa zawadi kwa mshindi wa nne(katikati). Diamond akiwa na washindi kutoka kushoto ni Rama na wa pili kutoka kushoto ni Hamisi wote ni wanafunzi wa darasa la nne ambao atawasomesha kuanzia darasa la nne mpaka watakapomaliza elimu ya shule ya msingi.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Diamond kuburudika na watoto Leaders

MSANII nyota wa muziki wa kizazi kipya Nassib Abdul ‘Diamond Platinumz’ na kundi lake la wasafi, kesho watafanya onesho maalumu kwa ajili ya watoto litakalofanyika katika viwanja vya Leaders, jijini...

 

11 years ago

Michuzi

Lady Jay Dee kung’arisha tamasha la watoto ‘Extreme Kids Festival’ May 31 na June 1, uwanja wa Leaders Club

Tamasha kubwa la watoto ‘Extreme Kids Festival’ litakalofanyika May 31 na June 1 katika viwanja vya Leaders Club, Dar es Salaam na litapambwa na mwimbaji mkongwe wa kike anaependwa sana, Lady Jay Dee.
Lady Jay Dee atajumuika na watoto watakaohudhuria tamasha hilo, atawaongoza kuimba nyimbo mbalimbali ili kuwahamasisha kuonesha vipaji vyao na atawapa zawadi wale watakaofanya vizuri zaidi.
“Watoto Mambo vipi, Jay Dee nawakaribisha watoto wote pamoja na wazazi na walezi. Mje basi katika...

 

9 years ago

Dewji Blog

Doris Mollel Foundation (DMF) yaandaa tamasha kubwa la kusaidia watoto Njiti nchini, Nov 8 Leaders Club

DSC_0027

Mwenyekiti wa Mfuko wa Doris Mollel Foundation, Bi. Doris Mollel akiwakaribisha wageni mbalimbali na wanahabari wakati wa utambulisho maalum juu ya tamasha linalotarajiwa kufanyika siku ya Jumapili Novemba 8, katika viwanja vya Leaders Club, jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni  Kaimu Mkurugenzi Mkuu Idara ya Afya, uzazi na watoto,  Bi. Georgina Msemo na kulia kwake ni Dk. Sonal Peter  ambaye ni daktari wa watoto (Pediatrician) kutoka Hospitali ya Agha Khan. (Picha zote na Andrew Chale,...

 

10 years ago

Vijimambo

UNAJUA WATOTO WATATU WA DEMU WA DIAMOND ZARI__WAONE HAPA__PIA KAWAJIBU WALE WANAOSEMA ANAKULA BATA TU NA DIAMOND HUKU KAWAACHA WATOTO WAKE WANATESEKA

ILA tuache utani huyu manzi ni mkaleeeeee Katika kudhihirisha kuwa NI MAMA BORA KWA WATOTO WAKE ZARI AMEWAJIBU WALE WANAODAI KAWATEKELEZA WATOTO WAKE WATATU NA KULA BATA NA DIAMOND__hivi ndivyo alivyopost katika acount yake ya FACEBOOK"Zala ababo obugumba obukatawanya mxxxuuuuiiiiii. I don't owe anyone an explanation but at the same time I have pple who look up to me and get disturbed by some false news out there.I love my soldiers. Out of the 365 days in year am responsible for 300 days and...

 

11 years ago

TheCitizen

Mwanza club finally gets new leaders

Mwanza volleyball big guns, Bank of Tanzania (BoT) Club, have ushered in a new team of officials in an election held in Mwanza early this week. John Walter was elected as the club’s chairman, while the vice-chairman post was won by Musa Haruna and David Kakono was elected to the secretary post. Rose Sangu won the treasurer’s post.

 

10 years ago

Michuzi

TigoMusictz @ leaders club January 24, 2015

24/1/2015 ndani ya leaderz club. kutakuwa na bonge la show. wasanii 18 stage moja.instagram @tigomusictz

Diamondali kibalinahvannesa mdeeshaashilolekhadija kopaisha mashauzijoh makininiki wa pilignakofid q mwana faAyprof jay
For more CLICK HERE....

 

11 years ago

GPL

MAREHEMU TYSON ALIVYOAGWA LEADERS CLUB

Gari lililobeba mwili wa marehemu George Tyson likiingia ndani ya Viwanja vya Leaders Club tayari kwa shughuli nzima ya kuuaga mwili wa marehemu Tyson. Ndugu wa marehemu Tyson wakiongoza waombolezaji pamoja na watu waliobeba jeneza kwenda katika sehemu maalum iliyoandaliwa.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

George Tyson kuagwa Leaders Club leo

MWILI wa aliyekuwa muasisi wa filamu za kibongo nchini, George Otieno ‘George Tyson’, unatarajiwa kuagwa leo katika viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar es Salaam kuanzia saa 3 asubuhi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani