TigoMusictz @ leaders club January 24, 2015
24/1/2015 ndani ya leaderz club. kutakuwa na bonge la show. wasanii 18 stage moja.instagram @tigomusictz
Diamondali kibalinahvannesa mdeeshaashilolekhadija kopaisha mashauzijoh makininiki wa pilignakofid q mwana faAyprof jay
For more CLICK HERE....
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi10 years ago
Michuzi17 Mar
Imetosha Movement Kufanya Matembezi makubwa ya Hisani Machi 28, 2015 leaders club dar eas salaam
Balozi wa Kujitolea wa Harakati za 'Imetosha Movement', Henry Mdimu (kulia) akizungumza na vyombo vya habari jijini Dar es Salaam. Kulia kwake ni Bi Monica Mara, mmoja wa marafiki wa 'Imetosha Movement' Baadhi ya wajumbe wa kamati ya taasisi ya 'Imetosha Movement' na viongozi wakizungumza na vyombo vya habari hivi karibuni.
Na Mwandishi Wetu
ASASI ya Harakati za Imetosha ilioanzishwa kupinga mauaji na vitendo vya kikatili wanavyofanyiwa watu wenye u-albino inatarajiwa kufanya matembezi...
Na Mwandishi Wetu
ASASI ya Harakati za Imetosha ilioanzishwa kupinga mauaji na vitendo vya kikatili wanavyofanyiwa watu wenye u-albino inatarajiwa kufanya matembezi...
10 years ago
MichuziTamasha La kwanza la The Nyama Choma Festival kwa mwaka 2015 Kufanyika Leaders Club Jumamosi Tarehe 7 February.
TNCF imesogeza mbele ratiba yake kutoka March hadi February kuheshimu kipindi cha Kwa Resma Kwa Jumuiya ya Wakristo.Tamasha hili kwa Dar es Salaam litafanyika mara 3 tu kwa mwaka kuanzia mwaka huu na sio Mara 4 kama ilivyozoeleka ili kulipa nafasi kufanyika mikoa na nchi nyingine za Afrika Mashariki.
10 years ago
Michuzi11 years ago
TheCitizen11 Apr
Mwanza club finally gets new leaders
Mwanza volleyball big guns, Bank of Tanzania (BoT) Club, have ushered in a new team of officials in an election held in Mwanza early this week. John Walter was elected as the club’s chairman, while the vice-chairman post was won by Musa Haruna and David Kakono was elected to the secretary post. Rose Sangu won the treasurer’s post.
11 years ago
GPLMAREHEMU TYSON ALIVYOAGWA LEADERS CLUB
Gari lililobeba mwili wa marehemu George Tyson likiingia ndani ya Viwanja vya Leaders Club tayari kwa shughuli nzima ya kuuaga mwili wa marehemu Tyson. Ndugu wa marehemu Tyson wakiongoza waombolezaji pamoja na watu waliobeba jeneza kwenda katika sehemu maalum iliyoandaliwa.…
11 years ago
GPLDIAMOND APAGAWISHA WATOTO LEADERS CLUB
Diamond akitoa zawadi kwa mshindi wa nne(katikati). Diamond akiwa na washindi kutoka kushoto ni Rama na wa pili kutoka kushoto ni Hamisi wote ni wanafunzi wa darasa la nne ambao atawasomesha kuanzia darasa la nne mpaka watakapomaliza elimu ya shule ya msingi.…
11 years ago
MichuziT.B.L YALIBORESHA BONANZA LA TWANGA PEPETA LEADERS CLUB.
KAMPUNI ya Bia (T.B.L) kupitia Brand ya KILIMANJARO imeamua kuliboresha Bonanza la Twanga Pepeta la kila Jumapili linalofanyika katika viwanja vya Leaders Club.
Maboresho hayo ni kutoa Bia moja ya Kilimanjaro kwa kila atakayelipa kiingilio. Licha ya kupewa Bia moja ya Kilimanjaro, kiingilio cha mlangoni kimepunguzwa sana mpaka kufikia Tshs 2,500. Kwa kawaida kiingilio cha Leaders huwa ni Tshs 5,000/= lakini TBL imeamua kukipunguza mpaka Tsh 2,500 kwa kuwa italipia mapungufu. TBL...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
George Tyson kuagwa Leaders Club leo
MWILI wa aliyekuwa muasisi wa filamu za kibongo nchini, George Otieno ‘George Tyson’, unatarajiwa kuagwa leo katika viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar es Salaam kuanzia saa 3 asubuhi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania