DIAMOND PLATNUMZ ACHENGUA UBELGIJI
Msanii Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' pamoja na madansa wake wakiwapagawisha mashabiki waliohudhuria shoo yake jijini Brussel nchini Ubelgiji. Diamond Platnumz akizidi kuwachizisha mashabiki wake jijini Brussel. (Picha na Maganga One…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-vpfj7PG2oEM/U7BEdVCzNdI/AAAAAAACvxU/KXozgwSrOoM/s1600/f1akqHHcQZxSRUvudOhR2YsI0oVeWUzCWH2wxTC1MwM,DcgHne3HleJHs407hQnovbYbzbG02cnGWf5ffBjwdkc.jpg)
MAKAMUZI YA DIAMOND PLATNUMZ CALIFORNIA JUNI 28, 2014
 Diamond Platnumz mwanamuziki wa Bongo Fleva asiyeshikika sasa hivi ambaye ni maarufu zaidi kwenye wimbo wake wa my number one aliyemshirikisha mwanamuziki mwingine wa Nigeria anayefanya vizuri sasa hivi Davido akifanya show kali jijini Los Angeles, California siku ya Jumamosi June 28, 2014 ikiwa pia akijiandaa kwenye BET award'14 inayofanyika leo jijini humo wimbo wake wa my number one aliyeshirikiana na Davido umekuwa...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_7330.jpg)
MO, DIAMOND PLATNUMZ KUTIKISA SINGIDA MJINI MCHANA HUU
Mbunge wa Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji akishuka kwenye ndege mara tu baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Singida. Mwanamuziki wa kimataifa, Diamond Platnumz akilakiwa na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Singida, Jumanne Hamis Nguli. Mh. Mohammed Dewji akilakiwa na Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa manispaa ya Singida, Hassan Mazala mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Singida mjini kwa ajili...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XxljNrmdEYL3MqhRzTeQFS8fw2EI0XXvoI8bO6gQctayERHnZew9WxiXdcdTGbm6hXPQSejYZW8bYAaXm6lrGzoENmxHrA*0/DIAMONDNEWJERSEY.png?width=650)
11 years ago
GPLDIAMOND PLATNUMZ ATINGA NDANI YA STUDIO ZA GENN ONLINE RADIO JIJINI KANSAS,MAREKANI
Mtangazaji wa GENN Radio AJ (mwenye kofia nyeusi wapili toka kulia) akimfanyia mahojiano Diamond Platnumz ndani ya Studio ya Radio hiyo ambayo inapatikana mtandaoni wengine ni Dj Romy Jons Poromota DMK na Dj Bston (kulia) Dj Boston na AJ wakimsikiliza Diamond Platnumz wakati ajibu moja ya maswali waliyomuuliza.…
10 years ago
GPLSHILOLE ALIVYONOGESHA UBELGIJI
 Shishi Baby akifanya mambo yake huku mashabiki wakiwa na midadi . Msanii Shilole akiburudika vyema na dada yetu aliyekuja toka Norway kujumuika nasi katika kupata burudani ya Shishi Beibii .
 Wachaa weeee .…
11 years ago
GPLBALOZI KAMALA ATEMBELEA KAMPUNI YA TRACTEBEL ENGINEERING S.A. YA UBELGIJI
Balozi wa Tanzania  Ubelgiji, Luxembourg na Jumuiya  ya Ulaya Dr. Diodorus  Kamala akiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi pamoja na wadau kutoka Tanzania katika sekta mbalimbali za usafirishaji wa majini ,anga na reli.Kulia kwa Dr Kamala ni Mkurugenzi wa Tractebel Engineering nchini Ubelgiji bwana Hein Dirix na kushoto kwa Balozi Kamala ni Mh:Nazir Karamagi mkurugenzi mtendaji wa Tanzania International Container...
11 years ago
GPLUPENDO WOMEN'S GROUP BRUSSELS UBELGIJI WAICHANGIA HOSPITALI YA MWANANYAMALA
Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, Dk. Diodorus Kamala akifungua hotuba yake katika hafla ya uchangishaji wa fedha kwa ajili ya akina mama na watoto waliopo katika wakati mgumu hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Balozi wa Kenya nchini Ubelgiji Johson Uweru na pembeni yake ni Mwakilishi kutoka Madagascar Norbet Richard Ibrahim. Kulia kwa Dk. Kamala ni Balozi wa Burundi Dk. Felix.
Upendo...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/v9ru0JE2QMY/default.jpg)
11 years ago
MichuziBALOZI WA TANZANIA UBELGIJI AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI LIEGE - UBELGIJI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania