Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UPENDO WOMEN'S GROUP BRUSSELS UBELGIJI WAICHANGIA HOSPITALI YA MWANANYAMALA‏

Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, Dk. Diodorus Kamala akifungua hotuba yake katika hafla ya uchangishaji wa fedha kwa ajili ya akina mama na watoto waliopo katika wakati mgumu hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Balozi wa Kenya nchini Ubelgiji Johson Uweru na pembeni yake ni Mwakilishi kutoka Madagascar Norbet Richard Ibrahim. Kulia kwa Dk. Kamala ni Balozi wa Burundi Dk. Felix.
Upendo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KIKUNDI CHA UPENDO WOMEN'S GROUP KILICHOPO BRUSSEL UBELGIJI CHACHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA HOSPITALI YA MWANANYAMALA

Balozi wa Tanzania nchini ubelgiji Dr. Diodorus Kamala akisoma hotuba yake katika ghafla ya uchangishaji wa fedha kwa ajili ya kina mama na watoto waliopo katika wakati mgumu hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam Tanzania,Kushoto kwa balozi ni Balozi wa Kenya nchi Belgium Mh:Johson Uweru na pembeni wa balozi wa Kenya ni mwakilishi kutoka Madagasca mh: Norbet Richard Ibrahim,kulia kwa balozi Dr. Kamala ni balozi wa Burundi Dr.Felix. Wana Upendo Group wakiingia ukumbini katika...

 

11 years ago

GPL

MWAKILISHI WA UPENDO WOMEN'S GROUP BELGIUM AFUTURISHA WATOTO YATIMA

    Waumini wa dini ya Kiislamu wakisoma dua.    Waumini na watoto yatima wakiwa katika dua.     Baadhi ya waumini wakisikiliza neno kutoka kwa…

 

11 years ago

GPL

WALIONG'ARA KWENYE RED CARPET YA UZINDUZI WA ZANZIBALICIOUS WOMEN GROUP @ ZANZIBAR OCEAN VIEW

Mgeni rasmi Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Bi. Mwanaidi Salehe (kushoto) akiwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Uwezeshaji, Bi. Fatma Gharib Bilal wakati wa sherehe za uzinduzi wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious uliofanyika mwishoni mwa juma ndani ya Zanzibar Ocean View.(Picha na Zainul Mzige). Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious, Bi. Umul-kulthum Ansel (kulia) akipozi na MC wa shughuli Bi....

 

10 years ago

GPL

NJOO UPUNGUZE 'STRESS' ZA WIKI NZIMA KWA BURUDANI YA 'LIVE MUSIC' NA SKYLIGHT BAND LEO, THAI VILLAGE-MASAKI‏

John Music (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti ya Back vocal na Ashura Kitenge (kushoto) pamoja na Sam Mapenzi. It's Friday and its on #TGIF, Skylight friday, wadau na wapenzi wa muziki wa live na wa kiwango cha juu,wote tunakutana Thai village Masaki, jioni hii kwa burudani safii toka kwa wakali wa town vijana wa Skylight Band, Karibuni sana...

 

11 years ago

GPL

HOYCE TEMU AMONG TOP MISA'S WOMEN TO WATCH 2014‏

Hoyce Temu a communication specialist at the United Nations in Tanzania has been selected as one of the inspirational southern African women and a rising star in the region. Temu has been involved in the social works by helping the communities in various ways and sharing what she has to make the world a better living for everyone. On the International Women’s Day, the MISA announced the first annual MISA’s Women...

 

11 years ago

GPL

MKURUGENZI MKUU WA TANZANIA WOMEN'S BANK MS MARGARETH CHACHA AKUTANA NA WAKINA MAMA WA DMV‏

Mama Anna Mukami akiwakaribisha wakina mama wa DMV na kumtambulisha mkurugenzi mkuu wa Tanzania Women's Bank wakati Ms Margareth Chacha alipokutana na wakina mama DMV na kuwaelezea sababu za kuanzishwa Benki ya akina mama.
Mkuu wa Utawala na Fedha Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani Mama Lily Munanka akifuatilia maelezo ya Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Women's Bank kulia ni D .… ...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA ATEMBELEA MTAA UNAOITWA TABORA ULIOPO JIJINI BRUSSELS UBELGIJI

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwa katika picha ya pamoja na Bwana. Rodgriguez Lionel anayemiliki duka katika mtaa unaoitwa Tabora uliopo jijini Brussels Ubelgiji. Mtaa huo ulipewa jina la Tabora mwaka 1916 kama ishara ya kumbukumbu ya ushindi wa majeshi ya nchi mbalimbali dhidi jeshi la Ujerumani katika mapigano ya Tabora - Tanzania ya vita Kuu ya Kwanza ya Dunia.

 

9 years ago

GPL

WASHINDI WA SHINDANO LA 'GENIUS-CUP' WAZAWADIWA‏

Mwanafunzi Fuad Thabit kutoka Feza Boys Secondary aliyeibuka mshindi wa kwanza shule za sekondari katika Shindano la Genius-Cup akipokea cheti na zawadi yake ya shilingi 300,000 toka kwa  mgeni rasmi wa hafla hiyo, Ofisa Mkuu  wa Utafiti taasisi ya COSTECH, Athman Mgumia.…

 

11 years ago

GPL

ERICK 'MSENGII' NATIANOTA NA HERIETH WAMEREMETA‏

Bwana Harusi Erick 'Msengii' Natianota akimlisha keki mke wake kipenzi Herieth Kashangaki siku waliyoamua kuachana na ukapela hapo jana.
Mambo ya kwaito hayo…saaafi .
Wadogo zake…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani