BALOZI KAMALA ATEMBELEA MTAA UNAOITWA TABORA ULIOPO JIJINI BRUSSELS UBELGIJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-zwvfqLid9AY/U_X334GivRI/AAAAAAAGBLw/KAMkcKRlBZw/s72-c/unnamed%2B(90).jpg)
Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwa katika picha ya pamoja na Bwana. Rodgriguez Lionel anayemiliki duka katika mtaa unaoitwa Tabora uliopo jijini Brussels Ubelgiji. Mtaa huo ulipewa jina la Tabora mwaka 1916 kama ishara ya kumbukumbu ya ushindi wa majeshi ya nchi mbalimbali dhidi jeshi la Ujerumani katika mapigano ya Tabora - Tanzania ya vita Kuu ya Kwanza ya Dunia.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xxar-j2IrZk/UvZxtd-bALI/AAAAAAAFLzU/fVdOl1pX3yI/s72-c/unnamed+(67).jpg)
BALOZI KAMALA ATEMBELEA MAONYESHO YA UTALII BRUSSELS
![](http://1.bp.blogspot.com/-xxar-j2IrZk/UvZxtd-bALI/AAAAAAAFLzU/fVdOl1pX3yI/s1600/unnamed+(67).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oAwEPI_w9bE/UvZyIcDbbfI/AAAAAAAFLzc/M0Bxdx0_N2I/s1600/unnamed+(68).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xssYoAogLV0/VNnE-NTf8WI/AAAAAAAHCuc/8UFVSgmd_aQ/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
BALOZI KAMALA ATEMBELEA MAONESHO YA UTALII BRUSSELS
![](http://1.bp.blogspot.com/-xssYoAogLV0/VNnE-NTf8WI/AAAAAAAHCuc/8UFVSgmd_aQ/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-p10tRNocO58/VNnE-MYfvXI/AAAAAAAHCug/zTmV3m95Bbg/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
11 years ago
MichuziBALOZI KAMALA ATEMBELEA KAMPUNI YA TRACTEBEL ENGINEERING S.A. YA UBELGIJI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RGmKJuvW03Q/U346X4bWrQI/AAAAAAAFkj8/D64GozB_zAE/s72-c/unnamed+(29).jpg)
BALOZI KAMALA ATEMBELEA KIWANDA CHA KAMPUNI YA ABC UBELGIJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-RGmKJuvW03Q/U346X4bWrQI/AAAAAAAFkj8/D64GozB_zAE/s1600/unnamed+(29).jpg)
11 years ago
GPLBALOZI KAMALA ATEMBELEA KAMPUNI YA TRACTEBEL ENGINEERING S.A. YA UBELGIJI
Balozi wa Tanzania  Ubelgiji, Luxembourg na Jumuiya  ya Ulaya Dr. Diodorus  Kamala akiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi pamoja na wadau kutoka Tanzania katika sekta mbalimbali za usafirishaji wa majini ,anga na reli.Kulia kwa Dr Kamala ni Mkurugenzi wa Tractebel Engineering nchini Ubelgiji bwana Hein Dirix na kushoto kwa Balozi Kamala ni Mh:Nazir Karamagi mkurugenzi mtendaji wa Tanzania International Container...
9 years ago
MichuziBALOZI KAMALA ATUNUKIWA NISHANI YA BALOZI BORA WA AFRIKA BRUSSELS
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3LyUftqWQTM/U2wfHuzZV1I/AAAAAAAFgag/khC7zAklDas/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Balozi kamala akutana na balozi wa ubelgiji nchini tanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-3LyUftqWQTM/U2wfHuzZV1I/AAAAAAAFgag/khC7zAklDas/s1600/unnamed+(26).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZldVSHebVj8/VQs5hC9ciVI/AAAAAAAHLlo/xhVzG-hwAIE/s72-c/unnamed.jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA KAMPUNI YA BRUSSELS AIRLINE
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZldVSHebVj8/VQs5hC9ciVI/AAAAAAAHLlo/xhVzG-hwAIE/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6o-Xc5A_0d0/VC6fnCsfsEI/AAAAAAAGnkg/nxtwhCUFOqk/s72-c/unnamed%2B(42).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA WAZIRI WA UCHUMI NA BIASHARA WA SERIKALI YA BRUSSELS
![](http://4.bp.blogspot.com/-6o-Xc5A_0d0/VC6fnCsfsEI/AAAAAAAGnkg/nxtwhCUFOqk/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania