Diamond Platnumz aivamia Taarabu...
Star wa muziki wa Bongo Flava Diamond Platnumz ambae kwasasa anayo heshima kubwa kwenye Industry ya muziki, kutokana na muziki wake pamoja na kuingia kwenye tuzo za MTV MAMA na BET leo alikuwa kwenye kipindi cha LEO TENA cha Clouds Fm ameuongelea muziki wa Taarabu ambao pia anaweza kuuimba na alishawai kuomba na nafasi Jahazi Morden Taarab ya kuimba kabla hajawa
Diamond Platnumz....
Hii ni video clip inayomuonesha akiimba muziki wa taarabu....
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/v9ru0JE2QMY/default.jpg)
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-85v31MyipRY/Va04meLCh6I/AAAAAAAACrs/Zky4xXx2TM0/s72-c/Screen-Shot-2014-10-02-at-13.24.14.png)
DIAMOND PLATNUMZ PROFILE
![](http://2.bp.blogspot.com/-85v31MyipRY/Va04meLCh6I/AAAAAAAACrs/Zky4xXx2TM0/s1600/Screen-Shot-2014-10-02-at-13.24.14.png)
Nasibu Abdul Juma (born 2 October 1989), popularly known by his stage name Diamond Platnumz (or simply Diamond), is a Bongo Flava recording artist and singer from Tanzania. He is best known for his hit song "Number One". Diamond has won numerous awards at Channel O and the Prestigious HiPipo Music Awards. He performed at
the Big Brother Africa 7 eviction show in May 2012. Diamond is considered influential among his fans, and is said to be the most loved and decorated Tanzanian artist at the...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX4xpwtIoFp3c1yPM2AIV2knCl1VxcHO1x2OpzyRw7cKX6xZTrfHVFyNdAPHCevgBCdLAl9GZUSiwDi0mbpxxH*q/diamond.jpg?width=650)
DIAMOND PLATNUMZ KAZINI
MWANAMUZIKI Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' na vijana wake wakifanya maandalizi kwa ajili ya shoo yao ya kesho Januari 8, 2015 jijini Lagos, Nigeria kwenye hafla ya utoaji Tuzo za Mwanasoka Bora wa Afrika 2014.
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Kocha Mkwasa aivamia Al Ahly
Mabingwa wa Tanzania, Yanga katika kuhakikisha wanavunja mwiko wa kufungwa na Waarabu, watamtuma kocha msaidizi Boniface Mkwasa kuishuhudia mechi ya Super Cup Afrika kati ya Al Ahly na CS Sfaxien.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/HCQ9CRLY3tg/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MuEFkifYx5o/VWjY_Cc_09I/AAAAAAAHawQ/GwKh0_o4ZZ8/s72-c/20150529141110.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIkSnIoLXWGv2fLuXtzAJCnxW-V6p3bVC0AVxyWhfLQmb1dZtn-dtxyP-ECSpMCVicgx0e7ratcAIFtoCXHH*WRT/DIAMOND.png?width=750)
THIS IS DIAMOND PLATNUMZ! CHEKI ANAVYOWAKIMBIZA!
Msanii wa muziki wa Bongo Flava kutoka Tanzania Diamond Platnumz, amekuwa akiwakimbiza katika upigiwaji wa kura kuwania tuzo za Muziki wa Televisheni ya Watu Weusi Marekani (Black Entertainment Television-BET) katika kipengele cha Best International Act: Africa. Tuzo hizo zitatolewa jijini Los Angeles, Marekani Juni 29, 2014. Mpaka jioni hii, Mei 19, Diamond anaongoza kwa asilimia 75.79 akiwa amewaacha wengine nyuma...
11 years ago
GPL29 Mar
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania