Diamond Platnumz-Burundi 28-12-2014
![](http://img.youtube.com/vi/HCQ9CRLY3tg/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo515 Aug
Diamond Platnumz ashinda tuzo nyingine nchini Burundi
Mwaka 2014 Diamond Platnumz amefanikiwa kuifungua vizuri milango ya kimataifa ambayo matunda tayari yameanza kuonekana. Tumeshuhudia akiwa nominated katika tuzo mbalimbali za kimataifa, na baada ya kushinda tuzo ya AFRIMMA hivi karibuni Platnumz ameshinda tuzo nyingine nchini Burundi kupitia hit yake ya ‘Number 1’. Platnumz amewashukuru mashabiki, wadau na vyombo vya habari kwa kumuwezesha kushinda […]
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-vpfj7PG2oEM/U7BEdVCzNdI/AAAAAAACvxU/KXozgwSrOoM/s1600/f1akqHHcQZxSRUvudOhR2YsI0oVeWUzCWH2wxTC1MwM,DcgHne3HleJHs407hQnovbYbzbG02cnGWf5ffBjwdkc.jpg)
MAKAMUZI YA DIAMOND PLATNUMZ CALIFORNIA JUNI 28, 2014
 Diamond Platnumz mwanamuziki wa Bongo Fleva asiyeshikika sasa hivi ambaye ni maarufu zaidi kwenye wimbo wake wa my number one aliyemshirikisha mwanamuziki mwingine wa Nigeria anayefanya vizuri sasa hivi Davido akifanya show kali jijini Los Angeles, California siku ya Jumamosi June 28, 2014 ikiwa pia akijiandaa kwenye BET award'14 inayofanyika leo jijini humo wimbo wake wa my number one aliyeshirikiana na Davido umekuwa...
10 years ago
Vijimambo13 Jan
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCDgGV261ahOKmg5yAAPXrPQYl03XgwyT6KJ*X7QZ*MGZLHCnMYImrDUCP6e6MPn1EcoaJ9sr4dvRld94Os09Lw0/diamondplatnumz.jpg)
DIAMOND PLATNUMZ AKIMBIZA TUZO ZA BET 2014, MPIGIE KURA ASHINDE
Msanii Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kwa sasa anakimbiza katika mchakato wa upigaji kura katika Tuzo za BET 2014 ambapo mpaka saa 10:55 leo jioni anaongoza katika kundi lake akiwa na asilimia 76.39 ya kura zote akifuatiwa na Mafikizolo wenye kura asilimia 8.17. Tuzo hizo zitatolewa Juni 29 mwaka huu jijini Los Angeles, Marekani. KUMPIGIA KURA DIAMOND, INGIA HAPA: BET AWARD 2014… ...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/v9ru0JE2QMY/default.jpg)
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-85v31MyipRY/Va04meLCh6I/AAAAAAAACrs/Zky4xXx2TM0/s72-c/Screen-Shot-2014-10-02-at-13.24.14.png)
DIAMOND PLATNUMZ PROFILE
![](http://2.bp.blogspot.com/-85v31MyipRY/Va04meLCh6I/AAAAAAAACrs/Zky4xXx2TM0/s1600/Screen-Shot-2014-10-02-at-13.24.14.png)
Nasibu Abdul Juma (born 2 October 1989), popularly known by his stage name Diamond Platnumz (or simply Diamond), is a Bongo Flava recording artist and singer from Tanzania. He is best known for his hit song "Number One". Diamond has won numerous awards at Channel O and the Prestigious HiPipo Music Awards. He performed at
the Big Brother Africa 7 eviction show in May 2012. Diamond is considered influential among his fans, and is said to be the most loved and decorated Tanzanian artist at the...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX4xpwtIoFp3c1yPM2AIV2knCl1VxcHO1x2OpzyRw7cKX6xZTrfHVFyNdAPHCevgBCdLAl9GZUSiwDi0mbpxxH*q/diamond.jpg?width=650)
DIAMOND PLATNUMZ KAZINI
MWANAMUZIKI Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' na vijana wake wakifanya maandalizi kwa ajili ya shoo yao ya kesho Januari 8, 2015 jijini Lagos, Nigeria kwenye hafla ya utoaji Tuzo za Mwanasoka Bora wa Afrika 2014.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuRfhLSoonei5sdkB4bvKVY5p7ngKgIstJOQyS2tqGSVVPk6AWQWQDtXRiFlNNp4pAPLHl0yZtM8ScX5v9gPNHaoI/CHRISTMAS.jpg?width=650)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania