DIAMOND, ZARI NDANI YA RUVUMA HUKU SHEREHE YA MIAKA 38 YA CCM AINOGESHA VILIVYO
Mwanamuziki Diamond Platnumz na mpenzi wake Zari wakiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Songea tayari kwa kufanya onesho kubwa kwenye sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM zinazofanyika kwenye uwanja wa Majimaji mjini Songea leo ambapo viongozi mbalimbali wakiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho Dr. Jakaya Kikwete.PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-SONGEA.
Diamonda Plutnamz akiongozana na mpenzi wake Zari wakiondoka kwenye uwanja wa ndege wa Songea kuelekea hotelini.
Mkuu wa wilaya ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboTASWIRA YA VIVAZI VILIVYO TAMBA KWENYE SHEREHE YA MIAKA 38 YA KUZALIWA KWA CCM ZILIZOFANYIKA NEW YORK
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-k5h7FfvC13k/VM7ppSuj7_I/AAAAAAAAWn8/KWPRi_mFM64/s72-c/06.jpg)
HOTUBA YA MWENYEKITI WA CCM TAIFA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, KATIKA SHEREHE ZA KUTIMIZA MIAKA 38 YA CCM, KWENYE UWANJA WA MAJIMAJI, SONGEA - RUVUMA, TAREHE 01 FEBRUARI, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-k5h7FfvC13k/VM7ppSuj7_I/AAAAAAAAWn8/KWPRi_mFM64/s1600/06.jpg)
HOTUBA YA MWENYEKITI WA CCM TAIFA SIKU YA SHEREHE ZA KUZALIWA KWA CCM
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/6.jpg)
DIAMOND PLATNUMZ ATUA NA ZARI MJINI SONGEA, APIGA SHOO KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 38 YA CCM
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sePHT-Eu2jI/VKq1THSpipI/AAAAAAAAaJ0/pllBMBgQOLA/s72-c/D.png)
PESA NOMA HATIMAYE DIAMOND AGEUZWA BUSHOKE NA ZARI...ABEBESHWA POCHI HUKU BAUNSA WAKE AKIMCHEKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sePHT-Eu2jI/VKq1THSpipI/AAAAAAAAaJ0/pllBMBgQOLA/s640/D.png)
10 years ago
Bongo Movies14 Feb
PICHA: Timbwili Mitandaoni, Diamond Akiwa na Zari Huku Wema Akiwa na Ommy
Kweli mafahari wikigombana nyasi ndio uumia! Picha za mwanamziki Diamond akiwa na mpenzi wake Zari wakiwa ndani ya gari alizoziweka mtandao usiku wa kuamkia leo siku ya wapendanao na kuandika kwa maneno ya lugha ya kingreza kuwa wanaelekea siku ya Valentine “Road to Valentine...”
Zilizua timbwili la maneno miongoni mwa mashabiki wa Diamond ambao walikuwa wakisifia “Project hii” na wale wa Wema aka TeamWema walikuwa wakiponda na kumshabulia sana mwanadada Zari ikiwemo kumuiga mtindo wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iOZRi9*a6ImwnJJDeSKilOGgFI6eOeGEaG4lsF7XseKoQg*VgEIKQlBLniBgv*ZKmflPBsQ-VkeZCHw2yaYdgwHfyGiZhTHv/diamondnazari.jpg)
DIAMOND, ZARI NDANI YA SONGEA
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-LdKMMlojVkM/VUD8UurMTDI/AAAAAAAHUHQ/R8yFGHMOszc/s1600/ZARI%26DIAMOND-Excl-Interview-FIN.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GeTeYoBYCYQ/VMU_ZpwjzCI/AAAAAAACyfo/TuCiMkIzBFM/s72-c/_MG_2135.jpg)
MAKAMU MWENYEKITI WA CCM NA RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AZINDUA SHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUZALIWA CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-GeTeYoBYCYQ/VMU_ZpwjzCI/AAAAAAACyfo/TuCiMkIzBFM/s1600/_MG_2135.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1xv00UHX1T8/VMU_ZrBqsGI/AAAAAAACyfk/VGOa02-DC9o/s1600/_MG_2107.jpg)