Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dimpoz: Manecky amenisaliti

MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amemlalamikia mtayarishaji wa muziki huo, Manecky, kupitia Kampuni yake ya AM Records kutokana na kusambaza kazi yake inayojulikana kwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ROSE NDAUKA, MANECKY LAIVU!

BRIGHTON MASALU
MAHABA niue! Staa wa sinema za Kibongo, Rose Donatus Ndauka na Prodyuza wa Lebo ya AM Records, Emmanuel Saimon Sawando ‘Manecky’ wamenaswa ‘laivu’ wakiwa katika mapozi ya kimahaba mazito jambo lililozua minong’ono miongoni mwa wengi. Staa wa sinema za Kibongo, Rose Donatus Ndauka akiwa na Prodyuza wa Lebo ya AM Records, Emmanuel Saimon Sawando ‘Manecky’. Tukio hilo...

 

10 years ago

CloudsFM

Picha za Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kimahaba zilipigwa usiku ‘mnene’,Dimpoz adai hakuwa na fahamu.

Zile picha za mahaba zilizosambaa kwenye mitandao zikimuonyesha Staa wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kitandani zimezidi kuzua utata baada ya Ommy kusema hakujua alipigwa saa ngapi kwani hakuwa na fahamu bali aulizwe Wema.Ommy amezungumza na Uheard na Soudy Brown alisema kuwa hana maelezo zaidi ya kuzungumza zaidi ya kusema kuwa hajui ni muda upi zilipigwa picha hizo.Wiki hii picha hizo zilisambaa mitandaoni na kuzua maswali kuwa Ommy Dimpoz ameamua kujiweka kwa Wema baada ya...

 

10 years ago

GPL

ROSE NDAUKA, MANECKY PENZI ZITO!

IMEVUJA! Baada ya uhusiano wake na Mbongo Fleva, Malick Bandawe kuvunjika, staa wa sinema Bongo, Rose Ndauka kwa sasa anadaiwa kuzama kwenye penzi zito la Prodyuza wa Bongo Fleva, Emmanuel Saimon Sewando ‘Manecky’. Msanii nyota wa sinema za Bongo Movie, Rose Ndauka. Kwa mujibu wa chanzo, kwa muda mrefu wawili hao wamekuwa wakionekana sambamba kama kumbikumbi hasa nyakati za usiku katika maeneo tofauti ikiwemo studio...

 

11 years ago

GPL

PRODYUZA MANECKY NA MADAI YA KUZAA NA RIYAMA

Na Joseph Shaluwa
NYUMA ya mafanikio ya wasanii wa muziki kuna  wengi wanachangia lakini mara nyingi ni kama hawajulikani. Prodyuza mkali Bongo kutoka AM Records, Emmanuel Saimon Sewando ‘Manecky’. Hata wakijulikana,sifa huenda moja kwa moja kwa msanii tu.Maprodyuza wana mchango mkubwa sana, maana wakitengeneza ngoma mbaya, mwisho wake ni kwamba msanii hawezi kutoka. Leo hapa
kwenye Exclusive Interview...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mapya Yaibuka Kuhusu Rose Ndauka na Manecky

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Rose Ndauka  sasa Ndauka kwa sasa anadaiwa kuzama kwenye penzi zito la Prodyuza wa Bongo Fleva, Emmanuel Saimon Sewando ‘Manecky’ hii ni baada ya mahusina na mzazi mwenzie, Malick Bandawe kuvunjika.

Kwa mujibu wa chanzo cha gazeti la Amani, kwa muda mrefu wawili hao wamekuwa wakionekana sambamba kama kumbikumbi hasa nyakati za usiku katika maeneo tofauti ikiwemo studio ambayo Manecky anafanyia kazi zake na sehemu nyingine. “Rose na Manecky ni wapenzi kwani...

 

9 years ago

Bongo5

Audio: Umeiskia ‘Am Happy’ ya Bob Manecky f/ Quick Rocka, G-Nako, Jux, Ben Pol, Young D na Gelly wa Rhymes?

Producer wa AM Records, Bob Manecky ameachia wimbo uitwao ‘Am Happy’ aliowashirikisha Quick Rocka, G-Nako, Jux, Ben Pol, Young D na Gelly wa Rhymes. Usikilize hapo chini, utaupenda. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani