Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PRODYUZA MANECKY NA MADAI YA KUZAA NA RIYAMA

Na Joseph Shaluwa
NYUMA ya mafanikio ya wasanii wa muziki kuna  wengi wanachangia lakini mara nyingi ni kama hawajulikani. Prodyuza mkali Bongo kutoka AM Records, Emmanuel Saimon Sewando ‘Manecky’. Hata wakijulikana,sifa huenda moja kwa moja kwa msanii tu.Maprodyuza wana mchango mkubwa sana, maana wakitengeneza ngoma mbaya, mwisho wake ni kwamba msanii hawezi kutoka. Leo hapa
kwenye Exclusive Interview...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Dimpoz: Manecky amenisaliti

MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amemlalamikia mtayarishaji wa muziki huo, Manecky, kupitia Kampuni yake ya AM Records kutokana na kusambaza kazi yake inayojulikana kwa...

 

9 years ago

StarTV

Mwili waharibika kwa madai ya kuhifadhiwa chini kwa  madai ya uzembe Sekou Toure

Mwili wa kijana aliyekuwa akiishi mitaani jijini Mwanza marehemu Baraka Hamisi hatimaye umezikwa baada ya kukosa hifadhi katika jokofu la maiti kwa takribani siku sita katika Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure

Marehemu Bakari Hamisi mwenye umri wa miaka 22 kijana wa mitaani aliyekuwa akijishughulisha na biashara ndogondogo alifariki dunia alipokuwa akipelekwa hospitalini hapo na vijana wenzake wa mitaani kwa ajili ya kupata matibabu.

Awali kabla ya kufikwa na mauti, vijana wenzake wa...

 

10 years ago

GPL

ROSE NDAUKA, MANECKY LAIVU!

BRIGHTON MASALU
MAHABA niue! Staa wa sinema za Kibongo, Rose Donatus Ndauka na Prodyuza wa Lebo ya AM Records, Emmanuel Saimon Sawando ‘Manecky’ wamenaswa ‘laivu’ wakiwa katika mapozi ya kimahaba mazito jambo lililozua minong’ono miongoni mwa wengi. Staa wa sinema za Kibongo, Rose Donatus Ndauka akiwa na Prodyuza wa Lebo ya AM Records, Emmanuel Saimon Sawando ‘Manecky’. Tukio hilo...

 

10 years ago

GPL

ROSE NDAUKA, MANECKY PENZI ZITO!

IMEVUJA! Baada ya uhusiano wake na Mbongo Fleva, Malick Bandawe kuvunjika, staa wa sinema Bongo, Rose Ndauka kwa sasa anadaiwa kuzama kwenye penzi zito la Prodyuza wa Bongo Fleva, Emmanuel Saimon Sewando ‘Manecky’. Msanii nyota wa sinema za Bongo Movie, Rose Ndauka. Kwa mujibu wa chanzo, kwa muda mrefu wawili hao wamekuwa wakionekana sambamba kama kumbikumbi hasa nyakati za usiku katika maeneo tofauti ikiwemo studio...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mapya Yaibuka Kuhusu Rose Ndauka na Manecky

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Rose Ndauka  sasa Ndauka kwa sasa anadaiwa kuzama kwenye penzi zito la Prodyuza wa Bongo Fleva, Emmanuel Saimon Sewando ‘Manecky’ hii ni baada ya mahusina na mzazi mwenzie, Malick Bandawe kuvunjika.

Kwa mujibu wa chanzo cha gazeti la Amani, kwa muda mrefu wawili hao wamekuwa wakionekana sambamba kama kumbikumbi hasa nyakati za usiku katika maeneo tofauti ikiwemo studio ambayo Manecky anafanyia kazi zake na sehemu nyingine. “Rose na Manecky ni wapenzi kwani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prodyuza: Vipaji mikoani havithaminiwi

IMEELEZWA kuwa licha ya wasanii wengi wa mikoani kuwa na vipaji vya kuimba, lakini hawathaminiwi katika kazi zao. Hayo yalisemwa jana na prodyuza Abdulaziz Issa ‘EiZER BiTZ’ wa mkoani Tabora,...

 

11 years ago

GPL

PRODYUZA: WEMA ALITAKA NIWE KUWADI

Na Stori: Shakoor Jongo
BAADA  ya kudaiwa kufanya ngono katika magari ya Kampuni ya Endless Fame inayoongozwa na Wema Issac Sepetu, Prodyuza, Rashid Mohammed ‘Chid Classic’ amefunguka na kusema chanzo cha yote ni mshahara  na ukuwadi ndani ya kampuni hiyo wala siyo uzinzi, Amani linakujuza. Prodyuza Rashid Mohammed ‘Chid Classic’. Akizungumza na mwandishi wa gazeti hili, Chid amesema hajafukuzwa...

 

11 years ago

GPL

PRODYUZA BAUCHA ATEMBELEA GLOBAL TV ONLINE

Prodyuza mkongwe nchini, Ally Baucha akijibu maswali ya waandishi wa habari (hawapo pichani). Mkongwe huyo ndiye aliyezalisha ngoma kali kama Neila, Fid Q.  Com na Usiulize wa Rado. ...Akipiga picha na Mhariri wa Gazeti la Ijumaa, Amrani Kaima.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani