Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIMPOZ, VANESSA ON DA STAGE

Wanamuziki Ommy Dimpoz na Vanessa Mdee wakifanya vitu vyao…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DIMPOZ, VANESSA MDEE MAHABA NIUE!

SIKU chache baada ya mkali wa Bongo Fleva, Omar Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ kuripotiwa kuwa anatembea na mwanamitindo Jokate Mwegelo, imedaiwa kuwa amemmwaga na kuhamishia ‘mahaba niue’ kwa mtoto mzuri anayefanya muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee. Mbongo Fleva, Omar Nyembo ‘Ommy Dimpoz’,  na Vanessa Mdee wakila 'good time'. Tukio la kudhihirisha kwamba wawili hao ni wapendanao lilitokea...

 

9 years ago

GPL

DIAMOND, VANESSA, OMMY DIMPOZ WALIVYOIPAISHA TZ, AFRIMMA

Diamond Platnumz akiwa na moja ya tuzo alizoshinda pamoja na mchekeshaji kutoka Nigeria Basketmouth. Tuzo tatu alizoshinda Diamond Platnumz. Vanessa Mdee akiwa na tuzo. Hii ni orodha ya washindi. Best Male (South Africa) – AKA
Best Male…

 

9 years ago

MillardAyo

ON STAGE: WEUSI, Maua, FA, AY, Blue, Belle 9, Dimpoz na Msami kwenye After School Bash 2015 (video)

Ni kutoka kwenye tamasha ‘After Skul Bash’ lililoandaliwa na XXL ya CloudsFM December 12 2015 Escape One Mikocheni Dar es salaam ambapo wakali wengi wa bongofleva walitokea kuonyesha uwezo wao kwenye jukwaa bonyeza play kwenye hii video ujionee.. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda […]

The post ON STAGE: WEUSI, Maua, FA, AY, Blue, Belle 9, Dimpoz na Msami kwenye After School Bash 2015 (video) appeared first on...

 

10 years ago

GPL

OMMY DIMPOZ, VANESSA MDEE WAFUNIKA FIESTA DAR

Msanii wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz akitumbuiza kwa staili yake kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta 2014 Dar Leaders Club. Msanii wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee akifana yake na Ommy Dimpoz.…

 

9 years ago

Bongo5

Diamond, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz washinda tuzo za Afrimma

Diamond Platnumz ameibuka na ushindi mkubwa zaidi kwenye tuzo za Afrimma zilizofanyika Dallas, Marekani alfajiri ya leo kwa saa za Afrika Mashariki. Diamond ameshinda jumla ya tuzo tatu ikiwemo ya msanii wa mwaka Muimbaji huyo ameshinda tuzo tatu; Best Dance Video ya wimbo wake Nana, Best Male East Africa na Artiste Of The Year. “EA […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Diamond, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz waenda Marekani kwenye tuzo za Afrimma

Tuzo za African Muzik Magazine Awards, Afrimma zinatarajiwa kutolewa Jumamosi hii Oct. 10 jijini Dallas, Texas Marekani ambapo Tanzania inawakilishwa na wasanii saba. Baadhi ya wasanii wa Tanzania wanaowania tuzo hizo akiwemo Diamond, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz tayari wameondoka nchini kuelekea Marekani kuhudhuria sherehe ya utoaji wa tuzo hizo. “Asante Sana Tanzania nyie wapenzi […]

 

10 years ago

Bongo5

Diamond, Alikiba, Vanessa, Jaydee, Ommy Dimpoz, Mpoto watajwa kuwania tuzo za AFRIMMA

Majina ya wasanii watakaowania tuzo za African Muzik Magazine Awards AFRIMMA yametolewa jioni ya Jumatatu. Tuzo hizo zitatolewa October 10 wakati wa Black Academy of Arts and Letters, Dallas nchini Marekani. Diamond ndiye aliyeongoza kwa kutajwa kwenye vipengele vingi zaidi ambavyo ni takriban saba. Hii ndio orodha kamili: 1. Best Male West Africa Davido (Nigeria) […]

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee awashauri wasanii kuwekeza kwenye muziki kama yeye, Diamond na Ommy Dimpoz

Hii itakuwa ni wiki nzuri sana kwa Vanessa Mdee ambaye weekend iliyopita alifanikiwa kushinda tuzo ya Afrimma huko Dallas, Marekani pamoja na kuachia wimbo mpya ‘Never Ever’ na video yake. Vee Money ambaye amewashinda Victoria Kimani, Juliana Kanyomozi na Khadija Kopa kwenye kipengele cha ‘Best Female East Africa’, ametoa ushauri kwa wasanii wengine wa Tanzania […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani