Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Bilal kufungua kongamano NIMR

MAKAMU wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, anatarajia kufungua kongamano la 28 la Sayansi la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) sambamba na kukabidhi tuzo kwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DK. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA 28 NIMR NA KONGAMANO LA WANASAYANSI WATAFITI LEO

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akionesha vitabu  vya Mpango wa Mkakati wa Nne wa Utafiti Bora wa Afya alivyovizindua leo. Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilali akimkabidhi tuzo ya Mwanasayansi Bora wa mwaka kitaifa wa masuala ya afya, kwa Dk. Steven Magesa (kulia) wakati wa mkutano Mkuu wa mwaka wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu Tanzania (NIMR) na kongamano na Wanasayansi wataifi ulioanza jana Dar es Salaam. Katikati...

 

11 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua kongamano la 28 la mwaka la Wanasayansi la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Tiba (NIMR)

1

 Makamu  wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akizindua rasmi Kongamano la 28 la Mwaka la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Tiba (NIMR). Kongamano hilo lililofanyika kwenye Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam, limeandaliwa na Taasisi hiyo ya (NIMR). (Picha na OMR).

2

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifungua pazia kuashiria kuzindua rasmi Kongamano la 28 la Mwaka la Taasisi ya Taifa...

 

11 years ago

Michuzi

DKT. BILAL AWASILI MJINI UNGUJA KUFUNGUA KONGAMANO LA MUUNGANO KESHO

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya maafisa na viongozi wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mjini Zanzibar leo jioni kwa ajili ya kufungua rasmi Kongamano la Muungano, linaloanza kesho katika Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort. Wa pili (kulia) ni mkewe Mama Zakia Bilal. Picha na OMR

 

11 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS,DKT. BILAL AWASILI JIJINI MWANZA JIONI YA LEO,KUFUNGUA KONGAMANO LA UWEKEZAJI KANDA YA ZIWA KESHO

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib Bilal akishuka kwenye ndege wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Mwanza jioni ya leo,tayari kwa ufunguzi Kongamano la uwekezaji kwa Kanda ya Ziwa,linaotarajiwa kuanza kesho kwenye Hoteli ya Malaika jijini Mwanza.  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib Bilal akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Mh. Everist Ndikilo wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Mwanza jioni ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

JK kufungua kongamano la kisayansi

RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano la kisayansi la 31 na mkutano mkuu wa mwaka wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania (TPHA), utakaofanyika Novemba 24 hadi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK kufungua kongamano la utafiti

RAIS Jakaya Kikwete anatarajia kufungua kongamano la 19 la utafiti wa kimataifa Aprili 9. Kongamano hilo litakalowashirikisha watafiti, watunga sera na wadau wa maendeleo kutoka ndani na nje ya nchi,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Li Yuanchao kufungua kongamano la biashara

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya watu wa China, Li Yuanchao, anatarajiwa kufungua kongamano kubwa la biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na China kesho jijini Dar es Salaam. Kiongozi...

 

11 years ago

Habarileo

Makamu wa Rais wa China kufungua kongamano

MAKAMU wa Rais wa China, Li Yuanchao, anatarajiwa kufungua kongamano kubwa la biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na China Jumatatu jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani