Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK kufungua kongamano la kisayansi

RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano la kisayansi la 31 na mkutano mkuu wa mwaka wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania (TPHA), utakaofanyika Novemba 24 hadi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kongamano la 31 la kisayansi laendelea mjini Bagamoyo

DSC_0825

Maximilian Mapunda kutoka shirika la Afya Duniani (WHO-Country Officer) akiwasilisha mada kwenye kongamano hilo.

Na Andrew Chale, Bagamoyo

Pichani ni baadhi ya picha za matukio ya siku ya pili, jana Novemba 25 kwenye kongamano la Kisayansi la 31, ’31th Annual Scientific Conference and Annual General Meeting’.. lililoandaliwa na Tanzania Public Health Association (TPHA).

Mkutano huo unafanyika mjini hapa Bagamoyo katika Ukumbi wa Stella Maris, Bagamoyo, Pwani Tanzania.

Kongamano hilo la...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kongamano la kisayansi kuanza leo Bagamoyo

KATIBU Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando leo anafungua kongamano la 31 la kisayansi na mkutano mkuu wa mwaka wa Chama cha Afya ya Jamii...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK kufungua kongamano la utafiti

RAIS Jakaya Kikwete anatarajia kufungua kongamano la 19 la utafiti wa kimataifa Aprili 9. Kongamano hilo litakalowashirikisha watafiti, watunga sera na wadau wa maendeleo kutoka ndani na nje ya nchi,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Li Yuanchao kufungua kongamano la biashara

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya watu wa China, Li Yuanchao, anatarajiwa kufungua kongamano kubwa la biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na China kesho jijini Dar es Salaam. Kiongozi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Bilal kufungua kongamano NIMR

MAKAMU wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, anatarajia kufungua kongamano la 28 la Sayansi la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) sambamba na kukabidhi tuzo kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Makamu wa Rais wa China kufungua kongamano

MAKAMU wa Rais wa China, Li Yuanchao, anatarajiwa kufungua kongamano kubwa la biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na China Jumatatu jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani