Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zimebaki Siku Nane, Usikose Kongamano La kufungua Fursa




Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu Mizengo Pinda kufungua Maonyesho ya Nane Nane Kitaifa mkoani Lindi Agosti 3, mwaka huu

01

Lindi kumekucha, pilikapilika za maandalizi ya Maonyesho ya Nane Nane kitaifa mwaka huu zimepamba moto ambapo Mgeni Rasmi katika maonesho hayo yatakayofunguliwa Jumatatu Agosti 3, 2015 anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda. Maonyesho hayo ya mwaka huu yanaongozwa na kauli mbiu “Matokeo Mkubwa Sasa, Tuchague Viongozi Bora kwa Maendeleo ya Kilimo na Ufugaji”.

02

03

04

Mratibu wa Maonyesho ya Nane Nane kutoka wilaya ya Newala Ado Kiwangu akiwaonesha na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Maonesho ya Nane Nane kitaifa yanayofanyika mkoani Lindi yafikia siku ya sita

01.

Wananchi wote mnakaribishwa kutembela banda la Wizara ya Fedha na taasisi zilizo chini yake ikiwemo UTT AMIS, Mfuko wa Pensheni PPF, GPSA na UTT PID uwanja wa maonesho ya kilimo ya Nane Nane Kitaifa Ngongo mkoani Lindi.

04

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA), Josephat Mwambega akipokea fomu ya kujiunga na Mfumo wa Amana inayotolewa na Mfuko wa Pensheni wa PPF kutoka kwa Afisa Masoko wa Mfuko huo Nelusigwe Mwalugaja wakati alipotembelea banda la Wizara ya Fedha. Wa...

 

11 years ago

Michuzi

MEGATRADE YAWAWEZESHA MOSHI VETERANI KWENDA KUKIPIGA TABORA SIKU KUUU YA NANE NANE.

Meneja Mauzo wa Kampuni ya Megatrade Investiment Ltd Kanda ya Kaskazini, Edmund Rutaraka,akikabidhi hundi ya kiasi cha shilingini milioni moja kwa mwenyekiti wa klabu ya Moshi veterani ya mkoani Kilimanjaro Tumaini Mungete .wengine ni baadhi ya viongozi wa klabu ya Moshi Veterani,Wilson Stephen na Aggrey Makia(upande wa kulia) upande wa kushoto ni wafanyakazi wa Megatrade mkoani Kilimanjaro.Meneja Mauzo wa Kampuni ya Megatrade Investiment Ltd ,Kanda ya Kaskazini, Edmund
Rutaraka,akikabidhi...

 

11 years ago

GPL

ZIMEBAKI SIKU 100 ZA DUNIA YOTE YA SOKA KUELEKEA BRAZIL

Ni siku 100 tu, ni vigumu kuamini kuwa iko karibu. Inaonekana kama jana tu kwamba Brazil imethibitishwa kuwa muandaaji wa FIFA World Cup 2014. Nakumbuka msisimko niliohisi na kuona kuwa nchi yangu inaenda kwenye hatua muhimu ya mpira katika Dunia hii. Hata ingawa mimi sitakuwa uwanjani, lakini nimeanza kupata vipepeo tumboni kama ambavyo nilikuwa nikikaribia mechi kubwa. Baada ya yote kumalizika FIFA World Cup, itakuwa ni ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK kufungua kongamano la utafiti

RAIS Jakaya Kikwete anatarajia kufungua kongamano la 19 la utafiti wa kimataifa Aprili 9. Kongamano hilo litakalowashirikisha watafiti, watunga sera na wadau wa maendeleo kutoka ndani na nje ya nchi,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

JK kufungua kongamano la kisayansi

RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano la kisayansi la 31 na mkutano mkuu wa mwaka wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania (TPHA), utakaofanyika Novemba 24 hadi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani