Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kongamano la kisayansi kuanza leo Bagamoyo

KATIBU Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando leo anafungua kongamano la 31 la kisayansi na mkutano mkuu wa mwaka wa Chama cha Afya ya Jamii...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kongamano la 31 la kisayansi laendelea mjini Bagamoyo

DSC_0825

Maximilian Mapunda kutoka shirika la Afya Duniani (WHO-Country Officer) akiwasilisha mada kwenye kongamano hilo.

Na Andrew Chale, Bagamoyo

Pichani ni baadhi ya picha za matukio ya siku ya pili, jana Novemba 25 kwenye kongamano la Kisayansi la 31, ’31th Annual Scientific Conference and Annual General Meeting’.. lililoandaliwa na Tanzania Public Health Association (TPHA).

Mkutano huo unafanyika mjini hapa Bagamoyo katika Ukumbi wa Stella Maris, Bagamoyo, Pwani Tanzania.

Kongamano hilo la...

 

10 years ago

Tanzania Daima

JK kufungua kongamano la kisayansi

RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano la kisayansi la 31 na mkutano mkuu wa mwaka wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania (TPHA), utakaofanyika Novemba 24 hadi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tamasha la 34 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo kuanza rasmi leo

festival

 

Ratiba Ya Ufunguzi Wa Tamasha 2015 by andrewchale

 

10 years ago

Michuzi

Mashindano ya Bagamoyo Historical Marathon 2015 yazinduliwa mjini Bagamoyo leo

Mkurugenzi wa kampuni ya 4Beli, Gilbert Herman (kulia) akihutubia wakati uzinduzi wa mashindano ya Mbio Ndefu ya Bagamoyo Historical Marathon 2015 yanatarajiwa kutimua vumbi Juni 14 mwaka huu mjini Bagamoyo Mkoani Pwani. Uzinduzi huo ulifanyika Bagamoyo, Pwani leo. Wengine kutoka kushoto ni, Kaimu Ofisa Michezo Wlaya ya Bagamoyo, Hamisi Kimenya, Mwenyekiti wa Riadha Tanzania Mkoa wa Pwani, Joseph Luhende na Mkurugenzi Msaidizi Ukaguzi na Uhakiki wa Ubora wa Hudumaza Afya kutoka Wizara ya...

 

11 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DK. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA 28 NIMR NA KONGAMANO LA WANASAYANSI WATAFITI LEO

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akionesha vitabu  vya Mpango wa Mkakati wa Nne wa Utafiti Bora wa Afya alivyovizindua leo. Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilali akimkabidhi tuzo ya Mwanasayansi Bora wa mwaka kitaifa wa masuala ya afya, kwa Dk. Steven Magesa (kulia) wakati wa mkutano Mkuu wa mwaka wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu Tanzania (NIMR) na kongamano na Wanasayansi wataifi ulioanza jana Dar es Salaam. Katikati...

 

10 years ago

Michuzi

BODI YA MRADI WA KILIMO CHA UMWAGILIAJI GEREZA KIGONGONI - BAGAMOYO,SHIRIKA LA MAGEREZA NA KAMPUNI YA TARBIM WAKUTANA LEO MJINI BAGAMOYO

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tarbim, Bw. Baddal Calikusu akitoa maelezo mafupi kabla ya Ufunguzi wa Kikao cha kwanza cha Bodi ya Mradi wa Ubia wa Kilimo cha Umwagiliaji unaotarajiwa kuanza rasmi kutekelezwa katika eneo la Magereza, Gereza Kigongoni Bagamoyo(kushoto) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Magereza, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza, John Masunga. Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Green Park iliyoko Bagamoyo. Wajumbe wa Bodi ya mradi wa Kilimo cha...

 

10 years ago

GPL

KONGAMANO LA UONGOZI KUANZA KESHO DAR

Mmoja wa wasemaji wa kongamano hilo kutoka Afrika Kusini, Gary Rivas (kushoto) Mkurugenzi Mkazi, Mbutho Chibwaye (katikati) na Meneja wa kongamano, Kiongozi Bwesa. Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa katika mkutano huo.…

 

10 years ago

GPL

TAMASHA LA 33 LA TASUBA KUANZA 22 SEPTEMBA BAGAMOYO

Mwenyekiti wa tamasha la kimataifa la sanaa na utamaduni, Abraham Bura (kulia),  Kaimu Mkuu wa Idara ya Taaluma, Gabriel Kiiza, Mkuu wa Chuo, Michael Kadinda, na Afisa Habari, Sophia Mtakasimba.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani