Dk. Bilal kufungua mkutano wa wanasanyasi vijana duniani
MAKAMU wa Rais Dk. Mohamed Bilal anatajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa wanasayansi vijana duniani utakaofanyika Agosti 11 hadi 14 mwaka huu, jijini Dar es Salaam. Mkutano huo utashirikisha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog08 Aug
Makamu wa Rais Dkt. Bilal Mgeni rasmi mkutano wa wanasayansi vijana duniani
Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilal.
Na Rose Masaka, MAELEZO
Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilal anatarajia kuwa mgeni rasmi wa kongamano la wanasayansi vijana duniani linalotajiwa kufanyika Jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 11 hadi 14 Agosti mwaka huu.
Lengo la kongamano hilo ni kubuni mikakati na mipango ya pamoja katika tansia ya jiolojia ya madini hususani maendeleo na usimamizi rasilimali hizo kwa manufaa ya ukuaji uchumi na fursa kwa nchi husikak, ambapo jumla ya Mataifa 40...
9 years ago
Habarileo02 Sep
Bilal kufungua mkutano wa tabianchi
MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal anatarajiwa kufungua mkutano unaowashirikisha Mawaziri na viongozi mbalimbali 250 kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, Nchi za Pembe ya Afrika na Nchi za visiwa vya bahari ya Hindi.
11 years ago
Habarileo09 Aug
Dk Bilal kufungua mkutano wa mitaala ya Kiislamu
CHUO Kikuu cha Waislamu cha Morogoro (MUM) kwa kushirikiana na Taasisi ya International Islamic Thought (IIIT) yenye makao yake makuu nchini Marekani, kimeandaa mkutano wa kimataifa juu ya Epistimolojia ya Kiislamu na Maendeleo ya Mitaala.
11 years ago
Michuzi10 Jun
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-z9CkHPbYg5E/U-kJBB8Ec2I/AAAAAAAF-nU/91gA8HsTTjk/s72-c/unnamed+(18).jpg)
UFUNGUZI MKUTANO WA TATU WA WANASAYANSI VIJANA DUNIANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-z9CkHPbYg5E/U-kJBB8Ec2I/AAAAAAAF-nU/91gA8HsTTjk/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JL93zLelp9U/U-kJAPhjX3I/AAAAAAAF-nM/smkPOVyNp8I/s1600/unnamed+(19).jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe awasili Arusha tayari kwa kufungua mkutano wa vijana viongozi wa China na Afrika Ngurudoto
Rais wa Zimbabwe Mh. Robert Mugabe akishuka kwenye Ndege wakati alipowasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro International Airport (KIA) tayari kwa kufungua mkutano wa Vijana Viongozi wa Afrika na China (African- China Young Leaders Forum) unaofanyika kwenye hoteli ya Ngurudoto Mkoani Arusha kwa siku 4 ukijumuisha vijana kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika na China, Mzee Robert Mugabe amepokelewa na Makamu wa Rais Mh. Dr. Gharib Bilal kulia na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu...
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ahutubia wawakilishi wa Afrika katika mkutano wa mazingira duniani (Cop20) Jijini Lima, Peru
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mwenyekiti wa Kamati ya Wataalam ya Afrika katika masuala ya Majadiliano ya Mabadiliko ya Tabianchi kutoka nchini Sudan, Nagmeldin El-Hassan, wakati alipokuwa akiwasili katika ukumbi wa mikutano kwa ajili ya kuzungumza na wawakilishi wa Afrika katika mkutano wa Mazingira Duniani (Cop20) unaoendelea jijini Lima, nchini Peru. (Picha na OMR).
Mheshimiwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-G6jewoasusE/VDg8cczXevI/AAAAAAAGpCs/7xTkemtKCzw/s72-c/1%2B(1).jpg)
Tanzania yawakilishwa katika Mkutano wa Wabunge Vijana kutoka Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Mjini Geneva,Uswis
![](http://4.bp.blogspot.com/-G6jewoasusE/VDg8cczXevI/AAAAAAAGpCs/7xTkemtKCzw/s1600/1%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_xGa8-cIkZA/VDg8cVQFuII/AAAAAAAGpCw/h5Sh0GrgQLs/s1600/2%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SjtOoHa3_Dc/VDg8kjS8_qI/AAAAAAAGpDA/jozNcwkAS-I/s1600/5%2B(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zlW8cMMTuzo/VIflvKpGskI/AAAAAAAG2Ts/prU2wEwQqXY/s72-c/3.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUTUBIA KATIKA MKUTANO WA 20 WA KIMATAIFA KUHUSU MABADILIKO YA TABIA NCHI DUNIANI (COP 20) UNAOENDELEA JIJI LIMA NCHINI PERU