Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Bilal: Muhimbili boresheni maslahi

MAKAMU wa Kwanza wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, ameutaka uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kutumia fedha zinazotokana na huduma za wagonjwa binafsi, yaani ‘Intramural Private Practice’ (IPPM) kuboresha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAJULIA HALI MAWAZIRI WALIOLAZWA MUHIMBILI

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya, aliyelazwa katika jengo la Moyo Hospitali ya Taifa Muhimbili, wakati alipofika kumjulia hali leo, Jan 15, 2014. Kulia ni mke wa Makamu, Mama Zakia Bilal (kushoto) ni Meneja wa Jengo hilo la Moyo, Sr. Salome Kassanga.  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib...

 

11 years ago

Michuzi

DKT. BILAL AZINDUA KITUO CHA TIBA, UCHUNGUZI NA MAFUNZO YA MAGONJWA YA SARATANI, MATUMBO NA INI UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI CHAFUNGULIWA MUHIMBILI

Kituo cha uchunguzi na mafunzo ya magonjwa ya saratani, matumbo na ini Ukanda wa Afrika Mashariki kimefunguliwa rasmi mwishoni mwa juma. Sherehe hizo zilifanyika katika Hospitali ya Taifa Muhimbili mwishoni mwa juma ambapo Mgeni rasmi alikuwa Makamu wa Rais, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal. Fuatilia katika picha matukio wakati wa ufunguzi. Description: DSC_1474 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akipongezana na Profesa Meinrad Classen wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Boresheni hali ya wafanyakazi :Amnesty

Shirika la Haki za binadamu la Amnesty International ,linasema Qatar inalazimika kuboresha hali ya wafanyakazi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magufuli: Wafanyakazi boresheni mahusiano

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amelitaka Baraza la Wafanyakazi la wizara yake kujadili namna ya kuboresha mahusiano kati ya taasisi inazozisimamia kwa kuwa uhusiano uliopo si wa kuridhisha. Akitoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kila la heri ZAWA boresheni utendaji wenu

NCHI nyingi hivi karibuni ikiwemo Tanzania ziliadhimisha Siku ya Maji Duiani, Machi 22. Sasa ni miaka 11 tokea maadhimisho haya kufanyika baada ya azimio la Umoja wa Mataifa (UN) kuwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Dkt. Bilal afungua kituo cha tiba, uchunguzi na mafunzo ya magonjwa na saratani za matumbo na Ini cha hospitali ya Taifa Muhimbili, Jijini Dar

01

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati wa hafla ya ufunguzi wa Jengo la Kituo cha Tiba, Uchunguzi na Mafunzo ya Magonjwa na Saratani za Matumbo na Ini cha Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati wa Hafla fupi ya ufunguzi huo iliyofanyika Hospitalini hapo jijini Dar es Salaam, jana  Mei 30, 2014. (Picha na OMR).

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (katikati) Mwakilishi wa Taasisi ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Maslahi ya UG, Sudan Kusini

Serikali ya Uganda imekiri kuwapeleka wanajeshi wake kusaidia wanajeshi wa Sudan kupambana na waasi wa Riek Machar

 

11 years ago

Habarileo

Wanasheria kuboreshewa maslahi

SERIKALI inaangalia uwezekano wa kuboresha maslahi kwa wanasheria wa Serikali, ili ofisi ya Mwanasheria Mkuu na Mwendesha Mashitaka zitekeleze majukumu yao ipasavyo. Rais Jakaya Kikwete alisema hayo jana, wakati wa Siku ya Sheria nchini, ambayo huadhimishwa kuashiria kuanza kwa shughuli za mahakama kila mwaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani