Dk Khamis Kigwangala: Mbunge wa Jimbo la Nzega
Dk Hamisi Andrea Kigwangalla alizaliwa Agosti 7, 1975 mkoani Kigoma, hivyo Agosti mwaka huu atafikisha umri wa miaka 40. Baba yake mzazi Nasser Kigwangalla alikuwa mfanyakazi wa benki na baadaye mwandishi wa habari, huku mama yake mzazi, Bagaile Lumola akiwa mwalimu na baadaye akaingia katika siasa ndani ya CCM.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/115.jpg)
MBUNGE WA JIMBO LA NZEGA DK KHAMIS KIGWANGALA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS 2015
10 years ago
Michuzi07 Sep
MBUNGE WA JIMBO LA NZEGA DR.KHAMIS KINGWANGALLAH ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS 2015
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/115.jpg)
BOFYA HAPA KUSOMA HOTUBA YAKE
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-q-tycRCDJkE/VDRxGaOBvEI/AAAAAAAGomc/aFwX7Ej_zYE/s72-c/download%2B(5).jpg)
Hotuba ya Dkt. Hamisi Kigwangalla, Mbunge wa Jimbo la Nzega na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya TAMISEMI Alipopokelewa Jimboni Nzega Baada ya Kutangaza Nia Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-q-tycRCDJkE/VDRxGaOBvEI/AAAAAAAGomc/aFwX7Ej_zYE/s1600/download%2B(5).jpg)
Nitumie fursa hii kwa namna ya kipekee kuwashukuru nyote kwa kuacha shughuli zenu kuja kunipokea na kushiriki mkutano huu. Mmenipa heshima kubwa sana na mimi nawajibika tu kusema ‘ahsanteni sana’.
Mimi hapa ni aidha mtoto wenu, mjukuu wenu ama mdogo wenu, mnapoacha shughuli zenu...
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Mbunge mteule katika jimbo la Manonga mkoani Tabora, Seif Khamis Gulamali (CCM) awashukuru wananchi kwa kumchagua
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jl2Pp1hhvZ0/VjXjPo8rf1I/AAAAAAABYZ8/BRDvaJVsAfk/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JG7d6BNnYDE/VjXjQOQAOfI/AAAAAAABYZ4/YeZV95gh_Pw/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I6G8QLUhxrk/VjXjRlwHAVI/AAAAAAABYaI/yiwIv0wO6Ks/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-l3wJtp8Ip0Y/VjXjUoat1PI/AAAAAAABYao/bCirDFiafEA/s640/7.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IImj5ORIEU0/VjXozS5cWOI/AAAAAAABYbE/OdX272f0dS0/s72-c/11.jpg)
MBUNGE MTEULE KATIKA JIMBO LA MANONGA MKOANI TABORA , SEIF KHAMIS GULAMALI (CCM) AWASHUKURU WANANCHI KWA KUMCHAGUA
![](http://2.bp.blogspot.com/-IImj5ORIEU0/VjXozS5cWOI/AAAAAAABYbE/OdX272f0dS0/s640/11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VQq_Osx7Pf4/VjXjVLAlOTI/AAAAAAABYaw/NCGhU5kP0Yg/s640/9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0Vhz7Q19jPw/VjXjP5_sSmI/AAAAAAABYZ0/XM7uCFH5xP4/s640/10.jpg)
11 years ago
Dewji Blog11 May
Kinana afunika Nzega, Kigwangala na Bashe wachuana kutoa misaada mbele yake
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa Nzega njini kwenye mkutano uliofanyika kwenye viwanja vya Parking hapo Nzega ambapo aliitaka serikali kupunguza vikwazo na maamuzi juu ya maendeleo ya wananchi yasichukue muda mrefu.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wananchi wa wilaya ya Nzega kwenye mkutano uliofanyika Nzega mjini na kuwaambia wananchi hao kuwa wasisumbuke na wapinzani kwani wapinzani hawapo kwa ajili ya maslahi ya maendeleo ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SqosI_WlAEY/XuX8Uqb09EI/AAAAAAALtyM/ZdMs0Ia_v98uEYOeqiExS13KKxueZwM1ACLcBGAsYHQ/s72-c/picha-3AAA-2-768x512.jpg)
DKT. KIGWANGALLA AELEZA MAFANIKIO YA CCM JIMBO LA NZEGA VIJIJINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-SqosI_WlAEY/XuX8Uqb09EI/AAAAAAALtyM/ZdMs0Ia_v98uEYOeqiExS13KKxueZwM1ACLcBGAsYHQ/s640/picha-3AAA-2-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/picha-4AAA-1024x684.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TW86LlOyD8Q/XrIGEaqBVeI/AAAAAAALpRc/RqjqhOhWPL82FV6eRV22UJZKE0IcHyu8QCLcBGAsYHQ/s72-c/g3.jpg)
MIAKA MINNE NA MIEZI NANE YA MAFANIKIO, MBUNGE WA MANONGA SEIF KHAMIS GULAMALI AWASHUKURU WANANCHI
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVIKIWA Taifa linaelekea katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba Mwaka huu, mafanikio katika Jimbo la Manonga Wilayani Igunga yameonekana dhahiri na hiyo ni baada ya jitihada zilizofanywa na Mbunge wa Jimbo hilo Seif Khamis Gulamali katika kutekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) pamoja na kutekeleza ahadi alizoahidi hasa katika sekta ya Elimu na Afya.
![](https://1.bp.blogspot.com/-TW86LlOyD8Q/XrIGEaqBVeI/AAAAAAALpRc/RqjqhOhWPL82FV6eRV22UJZKE0IcHyu8QCLcBGAsYHQ/s400/g3.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-kCfwItAexIo/VatiyqgZRkI/AAAAAAAA36c/menfWDSjxTM/s72-c/mkotya%2B1.jpg)
HARIRI WA GAZETI LA MTANZANIA,KHAMIS MKOTYA ACHUKUA FOMU ZA UBUNGE KUPAMBANA NA NKAMIA JIMBO LA CHEMBA,DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-kCfwItAexIo/VatiyqgZRkI/AAAAAAAA36c/menfWDSjxTM/s640/mkotya%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EOOZgmycYOI/Vatiye14DXI/AAAAAAAA36g/2739rTF8Xww/s640/mkotya%2B2.jpg)